Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋:Arsenal only need 5 wins to be the 2025/26 premier league champions
 
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋:Arsenal only need 5 wins to be the 2025/26 premier league champions
Hapo game ngumu ni huyo burnley. Technically tutakua tayari champions

Arsenal NDOO
Screenshot_20260315_111924_FotMob.jpg
 
Wiki kadhaa nyuma gap lilivyokua 2 kila kiazi kikajifanya expert na watoa laana wakajaa humu.

Nikaonya kwamba hiyo siyo mara ya kwanza kwa City kufikia gap hilo.

Fast forward to today. Gap sasa hivi ni points 9. Mentality monsters wapo hoi.

Timu inayosemwa kwamba inategemea set pieces ina magoli 61, ni magoli mengi kuliko timu yoyote EPL huku ikiwa imefungwa magoli machache kuliko timu yoyote EPL.
Kiukweli una imani kubwa sana na hii timu.

Kwa upande wangu imani ilishuka.
 
Clean sheet ya 15

Dowman on fire

Nzi wamefukuzwa
Yule bwana mdgo shabiki kindakindaki wa nyukesto nimeshamfanyia booking ndugu zangu...atakuja nyumbani kwangu kula ubwabwa tukisheherekea ubingwa....tusiingiliane🤠🤠
 
Back
Top Bottom