Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Panya buku nyie , kabla ya game unaweza sema ni vipanga wa hatari
20260412_131947.jpg
 
Wamekimbia jukwaa kwa muda.
Wanataka tutulie kwanza ndio warudi ,, kubabeki safari hii hatuwaachii yaani tutawapelekea moto huu uzi utageuka jehanamu kwao
Watarud kwa Newcastle Na wagongwe Tena 😂
 
Ubingwa wa msimu huu utaamuliwa kwa goal difference, kama ilivyokuwa msimu wa 2011/2012

We will win the premier League this season,They like it or not.
 
Wamekimbia jukwaa kwa muda.
Wanataka tutulie kwanza ndio warudi ,, kubabeki safari hii hatuwaachii yaani tutawapelekea moto huu uzi utageuka jehanamu kwao
Tumewaachia nafasi mteme sumu zenu mkishachoka tutarudi tu.
Timu zenu zenyewe zimeshindwa kuwapa furaha sasa inabidi msherehekee anguko la Arsenal
 
Tumewaachia nafasi mteme sumu zenu mkishachoka tutarudi tu.
Timu zenu zenyewe zimeshindwa kuwapa furaha sasa inabidi msherehekee anguko la Arsenal
Dogo.
Unaulizia furaha kwa washabiki gani? Man U ?
Liverpool??
Chelsea??

Embu niambie timu gani kwa miaka 20 katika hizo unaizid mafanikio?
 
Back
Top Bottom