Mchele ana kitaco fulani hv nachurali.Mchele mchele
View attachment 3575707
Naona damu tuu hapo 😂Dunia haina huruma kabisa. Kuna muda nawaonea huruma lakin nikikumbuka shombo za masingeli Castr na Mkorea nasema aaaaaah bora Mgongwee
View attachment 3575733
Watoto wadogo.Naona damu tuu hapo 😂
Na jana waliingia na hirizi nyeusi na bado wakalombwa 😂Watoto wadogo.
Wanapiga picha training muda wote, hawajui Kipara anafundisha namna ya kupiga bao.
Wamekimbia jukwaa kwa muda.Na jana waliingia na hirizi nyeusi na bado wakalombwa 😂
Watarud kwa Newcastle Na wagongwe Tena 😂Wamekimbia jukwaa kwa muda.
Wanataka tutulie kwanza ndio warudi ,, kubabeki safari hii hatuwaachii yaani tutawapelekea moto huu uzi utageuka jehanamu kwao
Newcastle atakufa nyingi SanaWatarud kwa Newcastle Na wagongwe Tena 😂
Tumewaachia nafasi mteme sumu zenu mkishachoka tutarudi tu.Wamekimbia jukwaa kwa muda.
Wanataka tutulie kwanza ndio warudi ,, kubabeki safari hii hatuwaachii yaani tutawapelekea moto huu uzi utageuka jehanamu kwao
Dogo.Tumewaachia nafasi mteme sumu zenu mkishachoka tutarudi tu.
Timu zenu zenyewe zimeshindwa kuwapa furaha sasa inabidi msherehekee anguko la Arsenal
Hakuna mchezaji humo, vuta bange hilo.Hili tapeli eti ndio beki tegemezi 🤣🤣🤣🤣🤣