Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo City anashinda kwa goli nyingi, anaongoza ligi..

Ndo imeisha hio, hapotezi tena....

Waseng****mnadema dema !!!!!
Poleni sana , tunawaombea njaa yaan, ile roho mbaya
 
View attachment 3577503
downloadfile-23.jpg
 
Hata tukiukosa ubingwa msimu huu Arteta haendi popote.
Basi nina imani huu msimu tutatwaa taji
Kwamba arsenal itashinda mechi zote zilizobaki? Aisee tuweni serious. Hapa hamna kocha, huwezi sajili Madueke na Havertz ambao ni Chelsea rejects na utegemee mafanikio. Ujuaji ulimponza, wenzake wameongeza wachezaji January yeye anatoa kwa mikopo!!

Arteta ni failure
 
Kuna ile aura na series ya matukio favourable yanaikuta timu iliyo kwenye form hapa ndiyo hata pasi inaonekana inatoka nje unashangaa kuna mchezaji wao mpira unamfuata.

Nyinyi mkipiga pasi mnampa mpinzani.

Ukitaka kuona vizuri kabisa hii inawezekana vipi ikumbuke game ya Chelsea vs Arsenal tuliyowafunga tano halafu kuna goli White alifunga likasababisha mtangazaji asema "Arsenal are so good they score by mistake"

Sasa City ndiyo ipo hapo sasa hivi. Yaani ni timu inacheza ipo sure inashinda. Burnley anakosa na ukicheki ni aura inatishia.
 
Kwamba arsenal itashinda mechi zote zilizobaki? Aisee tuweni serious. Hapa hamna kocha, huwezi sajili Madueke na Havertz ambao ni Chelsea rejects na utegemee mafanikio. Ujuaji ulimponza, wenzake wameongeza wachezaji January yeye anatoa kwa mikopo!!

Arteta ni failure

Summer Arteta anavuta Garnacho another chelsea reject.
 
Back
Top Bottom