Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,409
- 102,310
UongoArsenal fans only, hebu njooni tujadili huu mtazamo
View attachment 3577267
UongoArsenal fans only, hebu njooni tujadili huu mtazamo
View attachment 3577267
Mseng mwenyewe, arsenal bingwa wa epl amini kwambaLeo City anashinda kwa goli nyingi, anaongoza ligi..
Ndo imeisha hio, hapotezi tena....
Waseng****mnadema dema !!!!!
Poleni sana , tunawaombea njaa yaan, ile roho mbaya
Kwamba arsenal itashinda mechi zote zilizobaki? Aisee tuweni serious. Hapa hamna kocha, huwezi sajili Madueke na Havertz ambao ni Chelsea rejects na utegemee mafanikio. Ujuaji ulimponza, wenzake wameongeza wachezaji January yeye anatoa kwa mikopo!!Hata tukiukosa ubingwa msimu huu Arteta haendi popote.
Basi nina imani huu msimu tutatwaa taji
Labla udinywe ww mkuu 😂Man city Leo anadinywa haswa!
Niko paleeee!
Bao linarudi na kuongezwa.Labla udinywe ww mkuu 😂
😂😂 Endelea kujipa matumainiCity ana mechi ngumu zilizobaki kuliko Arsernal
Kwamba arsenal itashinda mechi zote zilizobaki? Aisee tuweni serious. Hapa hamna kocha, huwezi sajili Madueke na Havertz ambao ni Chelsea rejects na utegemee mafanikio. Ujuaji ulimponza, wenzake wameongeza wachezaji January yeye anatoa kwa mikopo!!
Arteta ni failure
City ana mechi ngumu zilizobaki kuliko Arsernal
Energy drinks, trauma, short on target standard and now aura 😄Kuna ile aura na series ya matukio favourable yanaikuta timu iliyo kwenye form hapa ndiyo hata pasi inaonekana inatoka nje unashangaa kuna mchezaji wao mpira unamfuata.
Nyinyi mkipiga pasi mnampa mpinzani.
Ukitaka kuona vizuri kabisa hii inawezekana vipi ikumbuke game ya Chelsea vs Arsenal tuliyowafunga tano halafu kuna goli White alifunga likasababisha mtangazaji asema "Arsenal are so good they score by mistake"
Sasa City ndiyo ipo hapo sasa hivi. Yaani ni timu inacheza ipo sure inashinda. Burnley anakosa na ukicheki ni aura inatishia.