Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe ambaye umeanza kuangalia mpira 2008? Unajua 2008 sisi mapenzi na arsenal ndiyo yapo peak!!! Hata fainali 2006 kumbe ulikua bado unaangalia maigizo nyumbani .
Kama nilivyokua Nina uhakika na nyinyi kutokuchukua kombe ndivyo nilivyo na uhakika wewe ni chaliii kwangu.
Dogo yaani uni linganishe na mayanki ka nyinyi!, wewe dogo mi niko area since zama za mwinyi.

Toka jana nime pokea mention 100, na reaction 300+ aisee kuweni na adabu kwa wazee
 
Dogo.
Unaulizia furaha kwa washabiki gani? Man U ?
Liverpool??
Chelsea??

Embu niambie timu gani kwa miaka 20 katika hizo unaizid mafanikio?
Katika kipindi cha hiyo miaka 20 unayoolengea unadhani Kati ya hizo timu ni timu gani haijawahi shinda kombe lolote

Arsenal
Manchester city
Liverpool
Chelsea
Manchester United

Kwenye hiyo list naomba uondoe timu ambayo unadhani haijawahi shinda chochote katika kipindi cha miaka 20 iliyopita
 
Arsenal’s remaining league fixtures:

Newcastle (h)
Fulham (h)
West Ham (a)
Burnley (h)
Crystal Palace (a)

Manchester City’s remaining league fixtures:

Crystal Palace (h)*
Burnley (a)
Everton (a)
Brentford (h)
Bournemouth (a)
Aston Villa (h)

It will be won on goal difference
 
Arsenal’s remaining league fixtures:

Newcastle (h)
Fulham (h)
West Ham (a)
Burnley (h)
Crystal Palace (a)

Manchester City’s remaining league fixtures:

Crystal Palace (h)*
Burnley (a)
Everton (a)
Brentford (h)
Bournemouth (a)
Aston Villa (h)

It will be won on goal difference
480w_s.jpg
 
Katika kipindi cha hiyo miaka 20 unayoolengea unadhani Kati ya hizo timu ni timu gani haijawahi shinda kombe lolote

Arsenal
Manchester city
Liverpool
Chelsea
Manchester United

Kwenye hiyo list naomba uondoe timu ambayo unadhani haijawahi shinda chochote katika kipindi cha miaka 20 iliyopita
Naona umekimbilia kwenye chochote.
Ukisema chochote haifai maana utaleta vidomestic cups vyako hapa.
Man u Epl & UCL
Liverpool EPL&UCL
chelsea EPL & UCL
Arsenal ....... malizia mwenyewe
 
🚨 Siku kama ya Leo mwaka 2018 Arsène Wenger alitangaza kuwa anaondoka Arsenal FC baada ya kudumu kwa miaka 22

Arsene Wenger ndio Kocha pekee kwenye Historia ya Premier League kumaliza msimu bila kupoteza Mchezo katika michezo 38.


Huyu mzee alibeba EPL ngapi miaka yote iyo🤔🤔
 
Back
Top Bottom