Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 45,996
- 100,888
Dogo yaani uni linganishe na mayanki ka nyinyi!, wewe dogo mi niko area since zama za mwinyi.Wewe ambaye umeanza kuangalia mpira 2008? Unajua 2008 sisi mapenzi na arsenal ndiyo yapo peak!!! Hata fainali 2006 kumbe ulikua bado unaangalia maigizo nyumbani .
Kama nilivyokua Nina uhakika na nyinyi kutokuchukua kombe ndivyo nilivyo na uhakika wewe ni chaliii kwangu.
Toka jana nime pokea mention 100, na reaction 300+ aisee kuweni na adabu kwa wazee