Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna ile aura na series ya matukio favourable yanaikuta timu iliyo kwenye form hapa ndiyo hata pasi inaonekana inatoka nje unashangaa kuna mchezaji wao mpira unamfuata.

Nyinyi mkipiga pasi mnampa mpinzani.

Ukitaka kuona vizuri kabisa hii inawezekana vipi ikumbuke game ya Chelsea vs Arsenal tuliyowafunga tano halafu kuna goli White alifunga likasababisha mtangazaji asema "Arsenal are so good they score by mistake"

Sasa City ndiyo ipo hapo sasa hivi. Yaani ni timu inacheza ipo sure inashinda. Burnley anakosa na ukicheki ni aura inatishia.
Energy drinks, trauma, short on target standard and now aura 😄
Mtaongea yote ila sisi tuna neno Moja juu yenu ARSENAL HATABEBA UBINGWA AS USUAL.
Arsenal nimekubali ni wazee wa standard wamekaa nafasi ya Kwanza kwa siku 200+ na Bado watakosa ubingwa . False hopes for 200+days .
 
Kuna muda mpaka nashikwa na huruma , nembu Leo tusahau yote tujadili kiungwana tu wakuu.
Tatizo la timu yetu ni Nini ?? Katika game ya 31 tulikua tunaongoza kwa difference ya point 9 zikiwa zimebaki game 7 , only 7 games to go tukakubaliana kila mmoja ashinde games zake, ghafla tu saivi ni goals difference ndio tunaongelea from 9 points ahead.

Ukitaka kuamini mashabiki wa arsenal ni wendawazimu still wanaamini watashindaa hili kombe kwa goal difference 😅 kutoka kwenye 9 points ahead.
Nyinyi msimu huu hili jukwaa ni either libadilishe jina liwe false hopers au muendelee na jina lenu ila kwa shartii Moja tu tuwaite kwenye HQ za JF tuwachape viboko hadharani.
Maana mtaueleza Nini tuwaelewe?
 
Energy drinks, trauma, short on target standard and now aura 😄
Mtaongea yote ila sisi tuna neno Moja juu yenu ARSENAL HATABEBA UBINGWA AS USUAL.
Arsenal nimekubali ni wazee wa standard wamekaa nafasi ya Kwanza kwa siku 200+ na Bado watakosa ubingwa . False hopes for 200+days .
Wanaona kila aina ya Rangi sasa hivii.
 
Kubabeki jmosi mpo na kina GORDON
Mtachagua mpige chafya kwa mdomo au naniii
downloadfile.gif
 
Mbweha nyie.... mshapoteana, kila siku tunawaambia humu....ubingwa hamuwezi shinda...Arteta sio kocha, hana mbinu..mmbahatishaji tu !!!!

Mwizi agewe energy drink??
 
Hua namuona Arteta miyeyusho kwa kusajili wachezaji wa Chelsea.

Na hua namuona miyeyusho kwa kuruhusu hata wasiojua mpira kuhisi wanaujua.

Hapa kuna timu hazitaenda CL wala Europa.

Kuna timu zitakua nje ya 10 bora ila sasa hivi wote utawaona hapa wanandika kila IQ yao inavyowatuma.

At this point Arsenal ikiachana na Arteta haitanishangaza ila itakua ni uhusiano uliokua promising halafu ukaishia njiani kwakua delivery ya Arteta ni questionable.

Regardless kama kuna majeruhi au piling schedule sitashangaa.
 
Hua namuona Arteta miyeyusho kwa kusajili wachezaji wa Chelsea.

Na hua namuona miyeyusho kwa kuruhusu hata wasiojua mpira kuhisi wanaujua.

Hapa kuna timu hazitaenda CL wala Europa.

Kuna timu zitakua nje ya 10 bora ila sasa hivi wote utawaona hapa wanandika kila IQ yao inavyowatuma.

At this point Arsenal ikiachana na Arteta haitanishangaza ila itakua ni uhusiano uliokua promising halafu ukaishia njiani kwakua delivery ya Arteta ni questionable.

Regardless kama kuna majeruhi au piling schedule sitashangaa.
Nikajua kuna muujiza labda false hoper kazinduka nilipoendelea kusoma nimeweka simu chini nikacheka sana 😅. Nikajiuliza hivi aliyeandika hivi ni mtu mzima kweli maana toka August tulikua tunaongea lugha mmoja tu Arsenal habebi ubingwa lakini amekaza fuvu ila saivi anahamishia lawama kwa Chelsea maestro.
Chelsea wanahusika vipi kwenye 9 points ahead up to zero point.
Ni false hopes after false hopes.
 
Hua namuona Arteta miyeyusho kwa kusajili wachezaji wa Chelsea.

Na hua namuona miyeyusho kwa kuruhusu hata wasiojua mpira kuhisi wanaujua.

Hapa kuna timu hazitaenda CL wala Europa.

Kuna timu zitakua nje ya 10 bora ila sasa hivi wote utawaona hapa wanandika kila IQ yao inavyowatuma.

At this point Arsenal ikiachana na Arteta haitanishangaza ila itakua ni uhusiano uliokua promising halafu ukaishia njiani kwakua delivery ya Arteta ni questionable.

Regardless kama kuna majeruhi au piling schedule sitashangaa.
Vip Energy drink zimeisha store??
jamaa mmewapa energy drink baada ya kuamka kawazidi na mbio😀😀
 
Arsenal inafurahisha sana hili ni timu la burudani si kwa fans wake ila kwa wote wasio mashabiki wake.

Anatokea fan mmoja anakuambia anamuona arteta miyeyusho kwa kuruhusu wasiojua mpira kuona wanajua : Arteta hajaruhusu ila kalazimishwa vipigo , wewe na kocha wako wote hamjui mpira .
Kwanza zile energy drinks alizokutuma ushazileta?😄


CL unaenda Kila msimu lakini unaenda zurura tu.

Wewe ulipata chance ya kukimbia madueke alivyosajiliwa ukasema mpira wa arsenal basi hufuatilii tena ila ukakimbia nakurudia ndala ndio kosa ulilofanya. Sasa imepatikana chance nyingine nasikia mpo kwenye hatuna za mwisho kumchukua Jackson na Garnacho.

Hio ndio chance ya mwisho tupa hizo energy drinks ulizotumwa na Arteta kimbia usigeuke nyuma kufuata ndara . Ujumbe huu ukufikie Castr .
 
Back
Top Bottom