Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi haikuwa na maajabu yoyote

expected philosophy wanasema,

Liverpool (0.34) 1 - 0 Arsenal ( 0.39)

so the free kick changed everything

lakini im hurting cus timu yangu ina capability ya kuonesha zaidi ya tunachokionesha sasa,

Arsenal ni ya kutengeneza threat ya 0.39 kwenye dakika 90 kweli? kwa mechi ile ilivyokuwa wazi hii ndio threat anayopose The Mighty Arsenal? Ni lini our attacking dynamics will pose enough threats? ndio maana nasema kwa sasa Eze gives me hope.
Arsenal haijawahi kuwa The mighty, katika mechi kama hizi points 3 ni muhimu zaidi kuliko chochote ndo tofauti kati false hopers and champions inavyoonekana .
Arsenal haina ladha kabisa hii pole false hoper, chance creations 0 kuanzia game ya man utd mpaka ya leo pia naona safari ndefu sana ya vilio.
Why msirudie lile pira lenu la inverted midfielder zincheko anasogea juu kidogo ule mwaka kweli false hopers mlitandaza ball 🔥 sio jesus sio odergard wote walikua 🔥.
Zincheko nowdays mmemtenga kabisa dogo janja wa watu wakati yeye ndo alikua kiranja wakuwatuliza na kuwaita pale katikati ya uwanja mkishafungwa.

Eze kweli mtu atleast anaweza kupiga pasi za mwisho na kumtoka mtu nakuachia hilo sikupingi false hoper , zubimendii pale bana mngebaki na partey tu wakuu hamna kazi pale mchezaji anapoteza mipira kila mda au ngoja tumpe muda.
 
Siku hizi sio Mimi mchangiaji kwenye hili jukwaa lakini nitatoa maoni yangu kwa hii timu
Kosa la Arsenal ni kumuacha Partey aondoke, hili linaweza kuwakosesha makombe
Pili, huwezi kupata rhythm ya mchezo kwa kubadilisha midfielder kwa midfielder
Kukosa uoni wa kutafuta striker
Umakini wa goalkeeper
Ujuaji wa coach

Kosa la Partey ni kubwa kuliko linavyotizamwa, huwezi kusubiri mpaka mwaka wa mwisho ndio ujadili mkataba wa mchezaji muhimu, case ya kubaka ya Partey kwa uoni wangu ni kumkomoa Partey kwa kutokubaliana na mkataba
Partey akicheza kati ilikuwa rahisi kwa Rice kufanya majukumu mengine lakini Zubimendi itamchukua muda mrefu na mazoezi magumu ya kuhimili ligi ngumu ya premium

Kubadilisha midfielder inahitaji maarifa kabla ya kubadilisha, ili kuweza kupata rhythm ya mchezo kulikuwa na ulazima kumtoa Martineli na kumuingiza midfielder aweze kucheza na Merino mpaka apate speedy ndio onamtoa Merino

Striker bado ni tatizo kwa Arsenal, Gyokeres sio ufumbuzi na ikiwa Arteta anafikiri amepata suluhisho tutakuja kuona mwisho wa msimu Gyokeres amefunga magoli mangapi

Goalkeeper ni nafasi ina lawama nyingi unapokosa umakini kwa sekunde tu, tayari utoe mpira wavuni, Raya anarejea makosa

Ujuaji wa coach ni mkubwa, binafsi ninampenda Maurinho kwa falsafa zake za ushindi
Hii team akipewa yeye haitochukuwa muda kupata makombe lakini Arteta itategemea bahati, inawezekana falsafa ya uongozi wa team sio kipaumbele chao

Ahsante
 
Hivi Arsenal mtaacha lini kusingizia mipira kila mkifungwa?
 
At the end of this season nadhani Berta anawezakuwa na kazi nyingine kubwa ya kutafuta kocha mpya ambaye yuko matured kutuvusha hapa tulipo. Huyu kocha asipokuwa makini ataishia kuwa a new Mauricio Pochetino.
mkiachana na Arteta kiwigi mtachelewa sana kumpata kocha mzuri, lakini Kiwigi hatochelewa kupata Club ya maana. Jichanganyeni Barcelona wamwagikane na Hansi Flick
 
At the end of this season nadhani Berta anawezakuwa na kazi nyingine kubwa ya kutafuta kocha mpya ambaye yuko matured kutuvusha hapa tulipo. Huyu kocha asipokuwa makini ataishia kuwa a new Mauricio Pochetino.
mkiachana na Arteta kiwigi mtachelewa sana kumpata kocha mzuri, lakini Kiwigi hatochelewa kupata Club ya maana. Jichanganyeni Barcelona wamwagikane na Hansi Flick
 
Nyie wajinga mnategemea kuchukua epl mwaka huu kweli hamna akili
Huwezi kununua wachezaji Crystal Palace na reject za Chelsea halafu utegemee ushinde ligi.
images-35.jpg
 
Well done Arsenal. It was a tough game away today, japo Liverpool kwa mechi ya leo walikua kawaida.. we could have gone with them toe to toe without Arteta's arrogance.

Free kick ndio imefanya mabadiliko, otherwise sikuona matokeo tofauti zaidi ya sare kwa timu zote zilivokua zikicheza.

All in all, nategemea mambo mazuri msimu huu maana pamoja na injuries bado tunabaki na timu nzuri.
even last season you went toe to toe with us na ubingwa ukaja Anfield. aliyewaiteni false hopers ajengewe sanamu
 
Mna vichaa nyie,,,,

Mnataka EPL na mudueke ? MArtineli ?

Huyu Zubimendi tumpe mechi mbili tena mtakuja kumkataa !

Victor Goyk huyu ni mshambuliaji machahari tu hamna kitu hawezi vuka 15G/A ,,, na hivi hamna creative mid mzuri wa kumpenyezea pasi za upendo ,,, Òde hamna kitu !
 
Ingawaje bado ni mapema sana kutoa hukumu na tuna wachezaji wapya ambao bado wanahitaji muda.. Ila Arsenal kwenye upande wa attacking tumerudi nyuma sana. Hata timu ikienda mbele unaona kabisa hakuna cha maana ni kama kila mchezaji ana uchezaji wake.. Uchoyo wa kuachia mipira mapema kwa watu kama wakina Martinelli, back pass nyingi. Briefly, kule mbele hakuna Chemistry.. Ni kama viungo watengenezaji wamekutana barabarani na Gyokeres wamemuomba wakacheze nae wakiwa hawajui anataka nini kuonesha ubora wake
 
Sio tu Arsenal hata Liverpool nao shida ipo. Hizi timu ukiziangalia kwa jicho ambalo sio la kiushabiki utaona zina tatizo mbele kwenye nafasi za ushambuliaji. Ekitike kucheza 9 hapana aisee. Shukrani wamempata Isak.. Florian Wirtz bei yake pamoja na anachokitoa ni contrary. Ni kama pace na intensity ya ligi bado ni changamoto kwao. Lakini ni mapema sana kuwahukumu inahitaji muda zaidi kwasababu ukikurupuka sana utatafuta injury ambazo kwasasa ni Kisanga kwa wachezaji wengi. Miili bado imepoa. All in all, ni matokeo mazuri sana kwa Liverpool ukizingatia umeyapata kwa timu kama Arsenal. Cheza vibaya au vizuri muhimu ni point tatu.. Hilo ndio la kujifunza
 
Back
Top Bottom