Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Arsenal haijawahi kuwa The mighty, katika mechi kama hizi points 3 ni muhimu zaidi kuliko chochote ndo tofauti kati false hopers and champions inavyoonekana .Mechi haikuwa na maajabu yoyote
expected philosophy wanasema,
Liverpool (0.34) 1 - 0 Arsenal ( 0.39)
so the free kick changed everything
lakini im hurting cus timu yangu ina capability ya kuonesha zaidi ya tunachokionesha sasa,
Arsenal ni ya kutengeneza threat ya 0.39 kwenye dakika 90 kweli? kwa mechi ile ilivyokuwa wazi hii ndio threat anayopose The Mighty Arsenal? Ni lini our attacking dynamics will pose enough threats? ndio maana nasema kwa sasa Eze gives me hope.
Arsenal haina ladha kabisa hii pole false hoper, chance creations 0 kuanzia game ya man utd mpaka ya leo pia naona safari ndefu sana ya vilio.
Why msirudie lile pira lenu la inverted midfielder zincheko anasogea juu kidogo ule mwaka kweli false hopers mlitandaza ball 🔥 sio jesus sio odergard wote walikua 🔥.
Zincheko nowdays mmemtenga kabisa dogo janja wa watu wakati yeye ndo alikua kiranja wakuwatuliza na kuwaita pale katikati ya uwanja mkishafungwa.
Eze kweli mtu atleast anaweza kupiga pasi za mwisho na kumtoka mtu nakuachia hilo sikupingi false hoper , zubimendii pale bana mngebaki na partey tu wakuu hamna kazi pale mchezaji anapoteza mipira kila mda au ngoja tumpe muda.
