Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kabisa MkuuHuyu kipa wetu fala sana
Kama vipi tumrudishe tu Mtanesco
Mzee wa ubweche,ugali na Soda 🔥
Kabisa MkuuHuyu kipa wetu fala sana
Uwiano wanao vizuri tu ndio maana wanafunga hadi goli 5, sema walikutana na timu bora 🤣Hii imesababisha na kocha wenu kuwekeza nguvu nyingi kwenye kujilinda badala ya kutafuta uwiano mzuri wa kushambulia na kudefence
Mimi bahati nzuri huwa tukifungwa hiyo wiki pia ndiyo kazini nakuwa busy kinyama yaani mara 2 zaidi ya kawaida.Ila mlizitaka point wenyewe mkashindwa kuzichukua saivi mmekimbia uzi 😂
Mkuu Leeds ndio kipimo sahihi kweli kwa kuwafunga magoal mengi?Uwiano wanao vizuri tu ndio maana wanafunga hadi goli 5, sema walikutana na timu bora 🤣
Tupo bosi, karibuMbona wenye uzi wao hatuwaoni
Kugombania ni ruksa ila katika kugombania huko mtatoka na nundu kibao kama kipigo cha mandongatupo na tutagombania ubingwa mwaka huu,nilichokiona liverpool wanatimu zaifu mwaka huu
Acha bwana 😂😂Inabidi tupige invincible 2.0 msimu huu
😂😂😂 false hope ya invincible imeyeyuka mapema sana yaani mechi ya 3 .Acha bwana 😂😂
Hakuna mwenye hasira hapa, ligi ndio bado mechi ya kwanza, by the way nilijua Liverpool ni timu ya wazee tu, kumbe hata watoto mpo!Hasira za nini ushatiwa kidole we ndio ulikuja anfield kutafuta sare umeikosa umekalia dole la kati moja
kuna squad yenye balance kutuzidi sisi EPL, au uwiano upi unaongelea wewe? mechi ya Liverpool muda mwingi walicheza Martinelli, Gyokeres, Merino na Madueke...hii haiwezi kukupa threat sawa na Saka, Eze, Harvertz/ Gyokeres na Odegaard.Hii imesababisha na kocha wenu kuwekeza nguvu nyingi kwenye kujilinda badala ya kutafuta uwiano mzuri wa kushambulia na kudefence
Ngoja nikublock bwegeHata Mimi nilijua arsenal Ina mashabiki wazee pia kumbe hata watoto wapo