Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,825
- 4,729
Uwiano wanao vizuri tu ndio maana wanafunga hadi goli 5, sema walikutana na timu bora 🤣Hii imesababisha na kocha wenu kuwekeza nguvu nyingi kwenye kujilinda badala ya kutafuta uwiano mzuri wa kushambulia na kudefence