Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

KITU PEKEE GYOKERES AMEPATA MECHI YA LEO NI YELLOW CARD
 

Attachments

  • 20250831_202512.jpg
    20250831_202512.jpg
    617 KB · Views: 12
Truth be told, with the mentality of the game in this match YOU CAN NOT WIN THE LEAGUE. Too much Arsene Wengeric mentality of a scared dog.
 
Sema hii timu Inalaana hamjijui tu.
Haiwezekani timu haijawahi kushinda UEFA miaka yake yote, yaani MANYUMBU ×3, LIVERPOOL ×6, CHELSEA ×2
Na j4 na j5 mnakuaga kwenye TV kutazama nini sasa?,, muwe mnasubiri weekend kama hivi tu.
 
At the end of this season nadhani Berta anawezakuwa na kazi nyingine kubwa ya kutafuta kocha mpya ambaye yuko matured kutuvusha hapa tulipo. Huyu kocha asipokuwa makini ataishia kuwa a new Mauricio Pochetino.
 
Well done Arsenal. It was a tough game away today, japo Liverpool kwa mechi ya leo walikua kawaida.. we could have gone with them toe to toe without Arteta's arrogance.

Free kick ndio imefanya mabadiliko, otherwise sikuona matokeo tofauti zaidi ya sare kwa timu zote zilivokua zikicheza.

All in all, nategemea mambo mazuri msimu huu maana pamoja na injuries bado tunabaki na timu nzuri.
 
Hii game Arteta alitegemea bahati zaidi kuliko uhalisia.. Mapungufu ya Martinelli alikuwa ameshaanza kuyaona tangia muda ndio maana hata mechi ya Leeds hakumuanzisha.. Unakuja kumuanzisha mechi ya Liverpool eti kwasababu ana bahati na Liverpool.. Bado mapema sana lakini Martinelli sio tena mtu wa kuanza kwa wachezaji waliopo kwa sasa
 
Back
Top Bottom