😂😂😂😂😂Inabidi tupige invincible 2.0 msimu huu
😂😂😂😂😂Inabidi tupige invincible 2.0 msimu huu
Why was he delayed?Nimemuona Eze ni mtu sana. Mambo mazuri yanakuja.
Leo yamekuwa ndiyo maisha 🤣🤣😅 nipo, ndo maisha hayo
Yaliyopita si ndwele, tugange yajayoLeo yamekuwa ndiyo maisha 🤣🤣
Haupo sawa kichwani haikua tishio na imechukua pointi 3 mzee umepagawa nini😂🤣🤣🤣🤣Mechi haina ladha kabisaaa, tofauti na lile goli nadhani ndo ingekuwa mechi kubwa ya Kwanza mbovu. Mzani uko balance lakini level iko chini kabisa... Sijui Arsenal kimewakuta nini maana Liverpool haikuwa tishio kabisaaa.
Mpira sio wa kuelezea mdomoni kama hiviHata Madueke hakupaswa kutoka kwa dk zilizobaki maana alikua anaweka pressure upande wa kulia.. angalau angemuingiza Nwaneri kidogo yuko sharp na ni mpigaji mzuri.
Umechanganyikiwa wewe yaani utoe sare na bingwa kirahisi hivyo eti au hujui kama Liverpool ni mabingwa🤣🤣🤣🤣🤣Well done Arsenal. It was a tough game away today, japo Liverpool kwa mechi ya leo walikua kawaida.. we could have gone with them toe to toe without Arteta's arrogance.
Free kick ndio imefanya mabadiliko, otherwise sikuona matokeo tofauti zaidi ya sare kwa timu zote zilivokua zikicheza.
All in all, nategemea mambo mazuri msimu huu maana pamoja na injuries bado tunabaki na timu nzuri.
😂😂😂😂😂 kirahisi tuYaliyopita si ndwele, tugange yajayo
Nitarudi 😁😂😂😂😂😂 kirahisi tu
Timu iliyo vizuri haifungwi ukifungwa we ndio tayari hamna kitu hapoArsenal mko vizuri, sema forward sio threat na hawapo sharp na hii inampa wakati mgumu gyokeres.
Arteta ni kiburi kama amorin...arteta ajitahidi squad selection