Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
View attachment 3454693
Hatuko vibaya sana. Tuko vizuri tu on paper. Ila wenzangu akina Flano na akina Mkohoti sasa...


Hizo ni takwimu za kujifariji za kwenye makaratasi, hazina tofauti yoyote na zile takwimu za biashara ya matikiti maji. Ukitaka kujua kua mambo ni magumu ingia sokoni sasa uone, utashangaa Ødegaard hauziki zaidi ya £20m, Saka £25m Saliba £35m hapo ndio unajikuta unaishiwa power.
Kwa Brighton kidogo biashara yao inaonekana ina uhalisia maana tayari wameshafanya vizuri sokoni na bado bidhaa zao zina uhitaji mkubwa mpaka dakika hii, ila Arsenyau tokea kuumbwa sidhani kama wameshawahi kuuza mchezaji kwa zaidi ya £50m.