Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwani Arsenal walikukosea nini?
Arsenyau hawa ni wanangu kabisa hawana baya, tatizo lao ni kamdomo tu halafu hawana kombe wanabeba.
1753461408716.jpg
 
Piero Hincapie,matajari wa arsenal safari mbona siwaelewi kabisaaa chuma kipya hicho
Itakuwa wameona jinsi C115Y na sasa Livakuku wanavyomwaga mpunga bila madhara yoyote wakaona nao wasiachwe nyuma. Huyu akija naona atamwuweka bench Calafiori pale LB. Nimesoma mahali kuwa tunataka kumchukua kwa 'loan with obligation to buy' kwanza ili tukwepe adhabu za PSR. Litakuwa kama dili la Raya.
 
Weekend hii mobutu seseko, atafunga kwenye game vs Burnley
Ila matokeo yatakuwa tofauti sasa....Burnley 3 vs Sesko 1😀😀....hawa jamaa imeniingia huruma kwlikwli kuwaonea.....nilikuwa naangalia highlights za mechi ya Burnley juzi na Sunderland...kiukweli Manunu wajiandae....wale wajinga wanakuja kama nyuki yaani
 
Back
Top Bottom