Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
🤣🤣🤣🤣🤣sio siri yule Richard Hughes na kichwa duara wamedhamiria kutuua kwa presha. wamekomalia deals za attack halafu DM na CB kama hawaoni hivi
🤣🤣🤣🤣🤣sio siri yule Richard Hughes na kichwa duara wamedhamiria kutuua kwa presha. wamekomalia deals za attack halafu DM na CB kama hawaoni hivi
kwani Arsenal walikukosea nini?
![]()


Arsenyau hawa ni wanangu kabisa hawana baya, tatizo lao ni kamdomo tu halafu hawana kombe wanabeba.
Unaishiwa PAWA kabisa sio😀😀😀....nilivyoangalia mechi yenu jana nikawa nasema hiiiiiii😀😀😀....j2 tunakuja shehe....mkicheza kama jana mmekwisha ndugu zangu....Dah!, wanangu nikiangalia nyie muna Saliba halafu nikigeukia kule kwetu tuna Ibu Konate naumia sana. tugawieni hata Mosquera
aaa wapi, hamjalogwa kiasi hichoMosquera? Kwanini tusiwape Saliba na Gabriel kabisa?
Afadhali kaondoka.Edu ajifunze kwa hii mtu.
Zile dili zao na Arteta kwa kina Sambi hapana aisee.
Itakuwa wameona jinsi C115Y na sasa Livakuku wanavyomwaga mpunga bila madhara yoyote wakaona nao wasiachwe nyuma. Huyu akija naona atamwuweka bench Calafiori pale LB. Nimesoma mahali kuwa tunataka kumchukua kwa 'loan with obligation to buy' kwanza ili tukwepe adhabu za PSR. Litakuwa kama dili la Raya.Piero Hincapie,matajari wa arsenal safari mbona siwaelewi kabisaaa chuma kipya hicho
Next match tunashinda tena, bet weka figo
Kwahiyo Arsenal ana beki mbovu kiasi hicho mkuu!
Inawezekana ubora wa beki zetu lakini bado ikawa shughuli pevu Gyokeres akiwa anafanya mashambuliziKwahiyo Arsenal ana beki mbovu kiasi hicho mkuu!
😀😀😀 nilijua tu hii siku itafika 😃😃😃Jamani naombeni kuhamia Gunners msimu huu walau kwa mkopo tu.
Na bado…nataka nimuone sesko akifunga debut goal yake sijui itakua lini😅….najiuliza shida ni kocha ama😅..Jamani naombeni kuhamia Gunners msimu huu walau kwa mkopo tu.
Weekend hii mobutu seseko, atafunga kwenye game vs BurnleyNa bado…nataka nimuone sesko akifunga debut goal yake sijui itakua lini😅….najiuliza shida ni kocha ama😅..
Tukubaliane jina pekee la mwamba sa hivi ni mobutu baasi🙌🏿Weekend hii mobutu seseko, atafunga kwenye game vs Burnley
Mbona humu ni nyumbani, house of all football fans.Jamani naombeni kuhamia Gunners msimu huu walau kwa mkopo tu.

Ila matokeo yatakuwa tofauti sasa....Burnley 3 vs Sesko 1😀😀....hawa jamaa imeniingia huruma kwlikwli kuwaonea.....nilikuwa naangalia highlights za mechi ya Burnley juzi na Sunderland...kiukweli Manunu wajiandae....wale wajinga wanakuja kama nyuki yaaniWeekend hii mobutu seseko, atafunga kwenye game vs Burnley
Jamani naombeni kuhamia Gunners msimu huu walau kwa mkopo tu.


Halafu Mateso Utd umuachie nani?