Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
Killing squad 🤣🤣🤣
Killing squad 🤣🤣🤣
Mechi mbovu Mzee, wewe hujui kitu. Nazungumzia level ww unawaza point Nani asiyejua kuwa Liverpool imeshinda?, level ilikuwa chini kabisa.Haupo sawa kichwani haikua tishio na imechukua pointi 3 mzee umepagawa nini😂🤣🤣🤣🤣
Nilisema mapeema kabisa !!!! Nyie ni madudukweMna uhakika martineli na madueke wanawapa pwenti 3 mbele ya majogoo ? Hamko serious nyie !
Zubimendi aanze kujadiliwa kiwango chake ama hajazoea ligi tusubiri ?
Nenda kacheze wewe Ili iwe nzuri ulivyo rofa hata danadana 5 huwezi kupiga sisi tunachojua szobslai kapiga bonge la GoriMechi mbovu Mzee, wewe hujui kitu. Nazungumzia level ww unawaza point Nani asiyejua kuwa Liverpool imeshinda?, level ilikuwa chini kabisa.
Hahah nilidhani najadiliana na sportsmen kumbe shabiki maandazi ambaye hajui kitu hahah nilikosea Bana kukujibu, Haya tufanye umeshinda.Nenda kacheze wewe Ili iwe nzuri ulivyo rofa hata danadana 5 huwezi kupiga sisi tunachojua szobslai kapiga bonge la Gori
We ndio shabiki maandazi nenda kacheze wewe kama ni rahisiHahah nilidhani najadiliana na sportsmen kumbe shabiki maandazi ambaye hajui kitu hahah nilikosea Bana kukujibu, Haya tufanye umeshinda.
.Huyu kipa wetu fala sana
Kepa huyu huyu ama mwingine, Raya still ni kipa bora epl , punguza hasiraKepa ni golikipa mzuri sanaaa kuliko Raya
Nipo mkuu , tunahangaika kuweka mambo sawa pale st james kidogo . Mwaka huu transfer imekua ngumu sana kwetu ila mwishoni vijana wanakuja. Nimefurahi kukuona umerudi kwa notification ya eze , hope na mwenyekiti atarudi sijui na notification gani maana ya kombe haitakuepoHahaha yule jamaa wa Newcastle yupo?
False hopers bana😂😂 leo raya kafanya kosa gani sasa?? Mnatafuta kumuangushia jumba bovu jamaa wa watu kwamba ile free kick kepa angedaka .Nadhani Kepa apewe nafasi, Raya hana nidhamu, ni kipa mzuri lakini anarudia makosa yanayotucost kila siku, hivi ajiulizi kwanini Ramsdale aliondolewa? anadhani Ramsdale alikuwa kilaza?
Which world???😂😂😂 ila wajinga mnamikwara sana daahThe world is not ready for this!View attachment 3456218View attachment 3456220View attachment 3456221