Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,236
- 3,675
Tangu yale maspika yanayopiga kelele uwanja wa mazoezi “ you will never walk alone “ yawekwe pale bado hamjashinda game anfield. Mnapigia kelele tu majirani zenu spurs, Chelsea, westham ambao ni mabingwa wa europe.
Na lile mbwa “ win” limegoma kula linataka libadilishwe jina mnalidhalilisha tu kuitwa win , hamjawin trophy yoyote .
Arteta bana mara awashe glopu, mara anunue mbwa huku na kule maspika haya hapa uwanjani mara kuajiri waiba wallet , ligi inabebwa kwa kushinda games uwanjani na si hizi false hopes nyingine 😂😂😂.
Arteta pia asipewe lawama maana hata yeye kacheza hapo mpaka kastaafu hajawahi kuona kombe sasa lipi la kumfukuza hapo arsenal
Na lile mbwa “ win” limegoma kula linataka libadilishwe jina mnalidhalilisha tu kuitwa win , hamjawin trophy yoyote .
Arteta bana mara awashe glopu, mara anunue mbwa huku na kule maspika haya hapa uwanjani mara kuajiri waiba wallet , ligi inabebwa kwa kushinda games uwanjani na si hizi false hopes nyingine 😂😂😂.
Arteta pia asipewe lawama maana hata yeye kacheza hapo mpaka kastaafu hajawahi kuona kombe sasa lipi la kumfukuza hapo arsenal