Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
Figo ndio ikaenda hvyoNext match tunashinda tena, bet weka figo
Figo ndio ikaenda hvyoNext match tunashinda tena, bet weka figo
HIhihiSio tu Arsenal hata Liverpool nao shida ipo. Hizi timu ukiziangalia kwa jicho ambalo sio la kiushabiki utaona zina tatizo mbele kwenye nafasi za ushambuliaji. Ekitike kucheza 9 hapana aisee. Shukrani wamempata Isak.. Florian Wirtz bei yake pamoja na anachokitoa ni contrary. Ni kama pace na intensity ya ligi bado ni changamoto kwao. Lakini ni mapema sana kuwahukumu inahitaji muda zaidi kwasababu ukikurupuka sana utatafuta injury ambazo kwasasa ni Kisanga kwa wachezaji wengi. Miili bado imepoa. All in all, ni matokeo mazuri sana kwa Liverpool ukizingatia umeyapata kwa timu kama Arsenal. Cheza vibaya au vizuri muhimu ni point tatu.. Hilo ndio la kujifunza
Hizi ndio facts za kisenge, Liverpool aliyekuwa nyumbani alikuwa na 0.3 Xg, ukiangalia every attacking metrics we were a better team lakini unaambiwa Arsenal ndiye aliyekuwa anatafuta sare, mbongo kubishana naye kwenye mpira unaweza ukaumwa kichwaKwa huu mpira wa ujanja ujanja hata man utd round ya pili hampati matokeo
Jana arsenal waliingi wakitarajia draw
Kwa akili hizi ubingwa utatoka wapi , maspika yakusaidie kucheza anflield wakati una martineli na merino as AM 😂😂 , hizi false hopes za arsenal bana.
Nimesoma x3 na sijaelewa, dahTangu yale maspika yanayopiga kelele uwanja wa mazoezi “ you will never walk alone “ yawekwe pale bado hamjashinda game anfield. Mnapigia kelele tu majirani zenu spurs, Chelsea, westham ambao ni mabingwa wa europe.
Na lile mbwa “ win” limegoma kula linataka libadilishwe jina mnalidhalilisha tu kuitwa win , hamjawin trophy yoyote .
Arteta bana mara awashe glopu, mara anunue mbwa huku na kule maspika haya hapa uwanjani mara kuajiri waiba wallet , ligi inabebwa kwa kushinda games uwanjani na si hizi false hopes nyingine 😂😂😂.
Arteta pia asipewe lawama maana hata yeye kacheza hapo mpaka kastaafu hajawahi kuona kombe sasa lipi la kumfukuza hapo arsenal
😂😂😂 hujaelewa nini sasa hapo au ww sio arsenal?? Kama sio false hopers kuelewa ni ngumu.Nimesoma x3 na sijaelewa, dah
Broo nina wasiwasi wewe bado ni shabiki wa Arsenal kichinichini.. Ni kama vile unamkataa demu usoni ila moyoni unaumia.😂😂😂 hujaelewa nini sasa hapo au ww sio arsenal?? Kama sio false hopers kuelewa ni ngumu.
Arsenal wana mbwa anaitwa “ win” arteta alilileta kuwapa motisha players mpaka leo hakuna walicho win sio carabao sio epl sio fa cup.
Arteta alifunga spika pale training ground ikiwa inapiga “ you will never walk alone” ili wachezaji wazoee atsmophere ya anfield lakini wapi mpaka leo ushindi hamna vs liverpool.
Wanaelewa kina mkorea , henry na castr madueke maana scenario zote wanazijua na walikua wanatuletea hapa.
Kichapo kimoja tu mmeanza kuikimbia timu yenu.....na bado KENGE nyie.Sasa mbona mi sihusiki na usajili?
Eze yuko slow sana, kwa mpira wenu wa kukimbia kimbia kama wehu (mpaka Martinelly huwa anapitiliza goli) Eze hawezi ku-fit kabisa.Naomba aje mtu anayefahamu mpira na mwenye akili timamu aniambie sababu ya kuweka bechi kipaji/game changer kama Eze unasubiri zimebaki dakika 15 ndio anaingia.
Arteta, hamna kocha mule
Hasira za nini ushatiwa kidole we ndio ulikuja anfield kutafuta sare umeikosa umekalia dole la kati mojaHizi ndio facts za kisenge, Liverpool aliyekuwa nyumbani alikuwa na 0.3 Xg, ukiangalia every attacking metrics we were a better team lakini unaambiwa Arsenal ndiye aliyekuwa anatafuta sare, mbongo kubishana naye kwenye mpira unaweza ukaumwa kichwa
Erik Kichwa Ngumu amefukuzwa kazi Bayer Leverkusen.Kichapo kimoja tu mmeanza kuikimbia timu yenu.....na bado KENGE nyie.
Hii imesababisha na kocha wenu kuwekeza nguvu nyingi kwenye kujilinda badala ya kutafuta uwiano mzuri wa kushambulia na kudefenceIngawaje bado ni mapema sana kutoa hukumu na tuna wachezaji wapya ambao bado wanahitaji muda.. Ila Arsenal kwenye upande wa attacking tumerudi nyuma sana. Hata timu ikienda mbele unaona kabisa hakuna cha maana ni kama kila mchezaji ana uchezaji wake.. Uchoyo wa kuachia mipira mapema kwa watu kama wakina Martinelli, back pass nyingi. Briefly, kule mbele hakuna Chemistry.. Ni kama viungo watengenezaji wamekutana barabarani na Gyokeres wamemuomba wakacheze nae wakiwa hawajui anataka nini kuonesha ubora wake