Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,294
Ila Salaah amewekwa mfukoni na Calafiori
Martinelli ni bora acheze Trossard kwa sasa. Ila ule upande ushapata mtu, Eze anaweza km wide playmaker akawa anaingia ndani coz ni dribbler mzuri.Hii game Arteta alitegemea bahati zaidi kuliko uhalisia.. Mapungufu ya Martinelli alikuwa ameshaanza kuyaona tangia muda ndio maana hata mechi ya Leeds hakumuanzisha.. Unakuja kumuanzisha mechi ya Liverpool eti kwasababu ana bahati na Liverpool.. Bado mapema sana lakini Martinelli sio tena mtu wa kuanza kwa wachezaji waliopo kwa sasa
Kamdomo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Under Arteta tutasubiri sanaaaaa


Berta angekua yuko serious kweli kabla ya kutoa pesa kusajili wachezaji wa bei kubwa kwanza angeanza kusajili kocha.Kamdomo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂🤣Berta angekua yuko serious kweli kabla ya kutoa pesa kusajili wachezaji wa bei kubwa kwanza angeanza kusajili kocha.
#Tetea mitano tena. View attachment 3460505
Nili mwambia mkorea trosard ana takiwa mapema ilo ku balance mzani, huyo martineli ni kanjanja to.Martinelli ni bora acheze Trossard kwa sasa. Ila ule upande ushapata mtu, Eze anaweza km wide playmaker akawa anaingia ndani coz ni dribbler mzuri.
Ni hivyo tu Arteta mbishi mbishi.
Stats zimemkataa. Au kacheza vizuri?