ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Usije ukarudi hapa kuomba msaada eti kuna vipele vidogo vidogo vimekutokea kuzunguka uume.Ngoja niende online nitafute kazi ya kuspend nayo usiku. Nishashikwa na hasira.
Usije ukarudi hapa kuomba msaada eti kuna vipele vidogo vidogo vimekutokea kuzunguka uume.Ngoja niende online nitafute kazi ya kuspend nayo usiku. Nishashikwa na hasira.
Wewe wa wapi tena?Mimi ni united Lia Lia, timu yetu Bado sana lakini arsenal Kuna kitu wanakikosa, hawana "aura" ya aina yoyote ile na hata mentality, wana shida kubwa, nilitegemea timu kama arsenal imekaa muda sana kujengeka basi mechi kwao ingekuwa rahisi zaidi baada ya ile Kadi. Hata aura of authority tu hamna, sajilini aisee, toeni hela aisee, itakuwa kituko mmejenga timu nzuri halafu Kila siku muwe runners. It's not good at all wazee.
Hizi kima roho zimewauma jinsi zilivyobebwa na refa halafu zimefungwa, roho zinawauma zaidi zimekosa sababu ya kumlaumu refaUmeongea kitu cha maana sana ambacho hakuna shabiki wa arse8 atataka kukisikia.


Hahah usinichekeshe bana, timu yetu Bado sana, hatujaingia vizuri kwenye mfumo wa kocha na Bado tuna kazi ya kuleta baadhi ya watu. Mechi mbili kubwa si kipimo halisi, bali kinachotakiwa ni kuwa na consistency na kuutawala mchezo.Wewe wa wapi tena?
1. Uliangalia ile derby ya Man U vs Liverpool? Nani alikuwa anaombea mpira uishe (kumbuka liverpool ndio timu bora kwa sasa)
2. Umeangalia hii mechi na arse8 akiwa kwake na tukiwa pungufu na mabeki wetu wote kila mmoja akiwa amepewa yellow?
United kwa sasa iko vizuri sana.


Nukuu 3 muhimu toka kwa kocha la ball, Masterclass, tactician, The genius, professional football manager Mikel Arteta baada ya kutolewa kwenye mashindano ya FA. Phase ya ngapi sasahivi?Project ya msimu huu kwa mujibu wa Edu alisema Ni kuleta Quality players TU
Hivo wanasema Winger anayekuja sio backup Kama wengi tunavyodai ,Ni anayeweza kuingia kikosin na akakupa A performance
Edu alisema phase ya ku implement structure ilikuwa last season, ndio maana wachezaji waliosajiriwa Ni Potential na wanaoingia kwenye mfumo wa mwalimu , Kina Aaron Ramsdale, Odegaard, Tomiyasu, n.k ,
Phase ya 2 Ni kuweka mawe tu
🚨 Arsenal’s primary focus in the last days of the window will be bringing a wide player. The club only want a player that they’re convinced that will add top quality. Reports, @David_Ornstein.View attachment 2328699
😂😂😂😂😂😂Siku hizi Arsenal unaiangalia huku mguu uko juu.. No stress!
Kwanza wachezaji hawatoki hata jasho. Wanagusa tu!
Now you know eeh? 😂😂😂😂😂Sijajua kwanini pep alimuuza zinchenko
Alifuatisha jina tu Mh kocha la dunia.Acha tusemeView attachment 3200997
Kweli ndugu yangu, nasikia dirisha hili wanamtaka joshua mutale, yule atatufaa sana kufanya positional play na kina kai na kuongeza attacking firepower kule mbele.Arteta na Edu wanajua kutafuta wachezaji aisee!... Yaani Sasa hivi Hata nikisikia wanamtaka mayele, nitawaamini tu!
Hapa ilikua baada ya mechi ya 3 tu ya ule msimu wa 2022/23, lakini cheki hesabu zilizokua zinapigwa hapa.M binafsi nimeanza kujichanga ikitokea tumelinyanyua kweli game ya kukabidhiwa ndoo lazima niwe Emirates pale kumpokea mwali![]()
Na Deborah akapige inverted left back. Hatari na nusu.Kweli ndugu yangu, nasikia dirisha hili wanamtaka joshua mutale, yule atatufaa sana kufanya positional play na kina kai na kuongeza attacking firepower kule mbele.
Daaaah. Mkuu hizi umeniwahi kuzituma mkuu. Kocha amekata tamaa kabisa.Nukuu 3 muhimu toka kwa kocha la ball, Masterclass, tactician, The genius, professional football manager Mikel Arteta baada ya kutolewa kwenye mashindano ya FA.
Arteta: I love my players. I love our team and I love how good they are and what they do because in 1000 games, you should loose one and probably it was this one.
Mikel Arteta: "What this team produces every three days is incredible, regardless of what happens... It's very difficult to ask something else of our players.
Mikel Arteta: "Are we going to win big trophies? I don't know."
View attachment 3201488
Kocha mdwanzi sana huyu...Daaaah. Mkuu hizi umeniwahi kuzituma mkuu. Kocha amekata tamaa kabisa.
Zina hizo kauli Zina tofauti Gani na zile za ETHView attachment 3201722
Maneno mengi vitendo sufuri bin sufri.Baada ya ishu ya abuse ya Kai nahisi Arsenal imebidi waonyeshe kuna juhudi wanafanya ili kuimarisha kikosi.
Juhudi ya kwanza ni kufunguka kwamba Zubimendi yupo kwenye advanced talks na ya pili ni Arteta kusema hii January wanatafuta wa kusajili. Tofauti na mwanzo alivyodai hana mpango.
Hii itawapoza mashabiki.
Umbwa huyu.