Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ngoja niende online nitafute kazi ya kuspend nayo usiku. Nishashikwa na hasira.
Usije ukarudi hapa kuomba msaada eti kuna vipele vidogo vidogo vimekutokea kuzunguka uume.
 
Mimi ni united Lia Lia, timu yetu Bado sana lakini arsenal Kuna kitu wanakikosa, hawana "aura" ya aina yoyote ile na hata mentality, wana shida kubwa, nilitegemea timu kama arsenal imekaa muda sana kujengeka basi mechi kwao ingekuwa rahisi zaidi baada ya ile Kadi. Hata aura of authority tu hamna, sajilini aisee, toeni hela aisee, itakuwa kituko mmejenga timu nzuri halafu Kila siku muwe runners. It's not good at all wazee.
Wewe wa wapi tena?
1. Uliangalia ile derby ya Man U vs Liverpool? Nani alikuwa anaombea mpira uishe (kumbuka liverpool ndio timu bora kwa sasa)
2. Umeangalia hii mechi na arse8 akiwa kwake na tukiwa pungufu na mabeki wetu wote kila mmoja akiwa amepewa yellow?

United kwa sasa iko vizuri sana.
 
Umeongea kitu cha maana sana ambacho hakuna shabiki wa arse8 atataka kukisikia.
Hizi kima roho zimewauma jinsi zilivyobebwa na refa halafu zimefungwa, roho zinawauma zaidi zimekosa sababu ya kumlaumu refa
1728754209983.jpg
 
Wewe wa wapi tena?
1. Uliangalia ile derby ya Man U vs Liverpool? Nani alikuwa anaombea mpira uishe (kumbuka liverpool ndio timu bora kwa sasa)
2. Umeangalia hii mechi na arse8 akiwa kwake na tukiwa pungufu na mabeki wetu wote kila mmoja akiwa amepewa yellow?

United kwa sasa iko vizuri sana.
Hahah usinichekeshe bana, timu yetu Bado sana, hatujaingia vizuri kwenye mfumo wa kocha na Bado tuna kazi ya kuleta baadhi ya watu. Mechi mbili kubwa si kipimo halisi, bali kinachotakiwa ni kuwa na consistency na kuutawala mchezo.

Kitu ambacho labda hukijui ni kwamba Kwa Sasa kocha kazi anayofanya ni timu kuutawala mchezo kwanza Kwa maana ya kucheza vizuri Ili kuwa hatarishi Kwa mpinzani Kila wakati tukiwa na mpira hata Kwa muda mchache, kama ulishawahi kuangalia hata mechi kumi za Sporting CP kipindi jamaa ni kocha utaelewa Hilo Kwa maana hatujafikia hata robo yake, huu ni mchakato, taratibu tutakuwa tunajiboresha.
 
Nukuu 3 muhimu toka kwa kocha la ball, Masterclass, tactician, The genius, professional football manager Mikel Arteta baada ya kutolewa kwenye mashindano ya FA.


Arteta: I love my players. I love our team and I love how good they are and what they do because in 1000 games, you should loose one and probably it was this one.


Mikel Arteta: "What this team produces every three days is incredible, regardless of what happens... It's very difficult to ask something else of our players.


Mikel Arteta: "Are we going to win big trophies? I don't know."
1736839695935.jpg
 
Project ya msimu huu kwa mujibu wa Edu alisema Ni kuleta Quality players TU

Hivo wanasema Winger anayekuja sio backup Kama wengi tunavyodai ,Ni anayeweza kuingia kikosin na akakupa A performance

Edu alisema phase ya ku implement structure ilikuwa last season, ndio maana wachezaji waliosajiriwa Ni Potential na wanaoingia kwenye mfumo wa mwalimu , Kina Aaron Ramsdale, Odegaard, Tomiyasu, n.k ,

Phase ya 2 Ni kuweka mawe tu


🚨 Arsenal’s primary focus in the last days of the window will be bringing a wide player. The club only want a player that they’re convinced that will add top quality. Reports, @David_Ornstein.View attachment 2328699
Phase ya ngapi sasahivi?
 
Arteta na Edu wanajua kutafuta wachezaji aisee!... Yaani Sasa hivi Hata nikisikia wanamtaka mayele, nitawaamini tu!
Kweli ndugu yangu, nasikia dirisha hili wanamtaka joshua mutale, yule atatufaa sana kufanya positional play na kina kai na kuongeza attacking firepower kule mbele.
 
Kweli ndugu yangu, nasikia dirisha hili wanamtaka joshua mutale, yule atatufaa sana kufanya positional play na kina kai na kuongeza attacking firepower kule mbele.
Na Deborah akapige inverted left back. Hatari na nusu.
 
Nukuu 3 muhimu toka kwa kocha la ball, Masterclass, tactician, The genius, professional football manager Mikel Arteta baada ya kutolewa kwenye mashindano ya FA.


Arteta: I love my players. I love our team and I love how good they are and what they do because in 1000 games, you should loose one and probably it was this one.


Mikel Arteta: "What this team produces every three days is incredible, regardless of what happens... It's very difficult to ask something else of our players.


Mikel Arteta: "Are we going to win big trophies? I don't know."
View attachment 3201488
Daaaah. Mkuu hizi umeniwahi kuzituma mkuu. Kocha amekata tamaa kabisa.

Zina hizo kauli Zina tofauti Gani na zile za ETH
Screenshot_20250114_160303_Chrome.jpg
 
Album Title: Arsenal

Tracklist:

1. This is our year
2. Corner bam ft. Saka
3. The ball is bad
4. Next season ft. Evra & Netflix
5. Not Arteta’s fault
5. Chelsea scammed us ft. Havertz & Sterling
6. Trophyless season again (Legacy)
 
Baada ya ishu ya abuse ya Kai nahisi Arsenal imebidi waonyeshe kuna juhudi wanafanya ili kuimarisha kikosi.

Juhudi ya kwanza ni kufunguka kwamba Zubimendi yupo kwenye advanced talks na ya pili ni Arteta kusema hii January wanatafuta wa kusajili. Tofauti na mwanzo alivyodai hana mpango.

Hii itawapoza mashabiki.
 
Baada ya ishu ya abuse ya Kai nahisi Arsenal imebidi waonyeshe kuna juhudi wanafanya ili kuimarisha kikosi.

Juhudi ya kwanza ni kufunguka kwamba Zubimendi yupo kwenye advanced talks na ya pili ni Arteta kusema hii January wanatafuta wa kusajili. Tofauti na mwanzo alivyodai hana mpango.

Hii itawapoza mashabiki.
Maneno mengi vitendo sufuri bin sufri.
 
Back
Top Bottom