ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,553
- 24,429
José Mourinho:
"Kwa mawazo yangu Mimi lakini, Arsenal FC haina sifa yoyote ya kuwa timu kubwa."
"Kila mara utasikia timu Ina nguvu (strong) lakini hamna Cha maana wanafanya kupata Mataji."
"Hakuna timu kubwa ambayo inacheza vizuri bila kupata Mataji."
"Kwa mawazo yangu Mimi lakini, Arsenal FC haina sifa yoyote ya kuwa timu kubwa."
"Kila mara utasikia timu Ina nguvu (strong) lakini hamna Cha maana wanafanya kupata Mataji."
"Hakuna timu kubwa ambayo inacheza vizuri bila kupata Mataji."
