Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama huwezi kucontrol games ukishakufa 3-1 kwa Newcastle then ukapata hata draw mshukuru mungu, kwa aggression waliyonayo Newcastle off the ball, the increased technique with the ball, especially wakiwa home unahitaji high IQ players all over the pitch kuwafunga, I'm sure the fit Liverpool can do that.
Na liva ndiyo anapigishwa kwata muda huu
 
Moja kati ya timu yenye kikos finyu, Liverpool nae yupo
Ukiondoa ile starring 11 yake, bench hakuna watu
Katika hiko kikos chake cha kwanza. Wazee 90% na katika hao wazee pancha zipo za kutosha humo
Alcantara ndio pro pancha
Livekuku nisipo muona top4 wala sitashangaa


Man u, hii ni maiti ambayo jana imemng'ang'a muoshaji
Ukuta wa nyumbu una breach sana,
Jana bahati tu haikuwa upande wa liverkuku


Chelsea, huyu ni kama mgonjwa wa kichaa. Huwa kinatulia
Lakin muda wowote kinaamka(kupata matokeo mabovu)

City huyu ndio anatishia amani kwa sasa
Japo game alizo cheza so far
Sio yule city ambae anakutafuta kweli kweli
Haland ni finisher mzuri, lakin anapoza mashambulizi


Katika hizi game tatu, ARSENAL ameonesha kiwango kikubwa sana na mpira mzuri
Yani kila mchezo ni mzuri kuliko uliopita, hii inamaana gari linawaka kwenye mteremko

Arteta ni kocha wa mwezi as things stand

Liverpool na city wakiendelea hivi, basi watupe hilo kombe kuokoa muda

Come on you gunners
 
Moja kati ya timu yenye kikos finyu, Liverpool nae yupo
Ukiondoa ile starring 11 yake, bench hakuna watu
Katika hiko kikos chake cha kwanza. Wazee 90% na katika hao wazee pancha zipo za kutosha humo
Alcantara ndio pro pancha
Livekuku nisipo muona top4 wala sitashangaa


Man u, hii ni maiti ambayo jana imemng'ang'a muoshaji
Ukuta wa nyumbu una breach sana,
Jana bahati tu haikuwa upande wa liverkuku


Chelsea, huyu ni kama mgonjwa wa kichaa. Huwa kinatulia
Lakin muda wowote kinaamka(kupata matokeo mabovu)

City huyu ndio anatishia amani kwa sasa
Japo game alizo cheza so far
Sio yule city ambae anakutafuta kweli kweli
Haland ni finisher mzuri, lakin anapoza mashambulizi


Katika hizi game tatu, ARSENAL ameonesha kiwango kikubwa sana na mpira mzuri
Yani kila mchezo ni mzuri kuliko uliopita, hii inamaana gari linawaka kwenye mteremko

Arteta ni kocha wa mwezi as things stand

Liverpool na city wakiendelea hivi, basi watupe hilo kombe kuokoa muda

Come on you gunners
Mwaka jana Chelsea alitembeza fimbo ,Tena sio hizo game tatu ,game 12 anawasha tu mpaka kina ambangile wakampa ubingwa ....unijua epl wewe yaani upewe kombe kwa game 3 aiseee Kama hujawahi ona maajabu ya Dunia keep watching English premier league ....!
 
Mwaka jana Chelsea alitembeza fimbo ,Tena sio hizo game tatu ,game 12 anawasha tu mpaka kina ambangile wakampa ubingwa ....unijua epl wewe yaani upewe kombe kwa game 3 aiseee Kama hujawahi ona maajabu ya Dunia keep watching English premier league ....!
Ndio maana nikakuambia Chelsea ni kama mgonjwa wa kichaa
Huwa hakiponi, kinatulia tu
Chelsea kupata matokeo mabovu ni wakati wowote na muda wowote

Ngolo, umri unamtupa na injuries zinamsumbua

Forwards line ya Chelsea inakamatika vizuri sana
Yan, sterling, mount, kai, pulisic,
Hao hautumii nguvu wala akili kuwadhibiti

Sterling anahitaji nafasi 5 ashinde moja


Arsenal tulipoishia, ndio tunapoendelezea

Arsenal akiwasha moto huwa anawasha kweli, hapa tunawaangalia wapinzani wetu tu
Currently ni city peke yake
 
Moja kati ya timu yenye kikos finyu, Liverpool nae yupo
Ukiondoa ile starring 11 yake, bench hakuna watu
Katika hiko kikos chake cha kwanza. Wazee 90% na katika hao wazee pancha zipo za kutosha humo
Alcantara ndio pro pancha
Livekuku nisipo muona top4 wala sitashangaa


Man u, hii ni maiti ambayo jana imemng'ang'a muoshaji
Ukuta wa nyumbu una breach sana,
Jana bahati tu haikuwa upande wa liverkuku


Chelsea, huyu ni kama mgonjwa wa kichaa. Huwa kinatulia
Lakin muda wowote kinaamka(kupata matokeo mabovu)

City huyu ndio anatishia amani kwa sasa
Japo game alizo cheza so far
Sio yule city ambae anakutafuta kweli kweli
Haland ni finisher mzuri, lakin anapoza mashambulizi


Katika hizi game tatu, ARSENAL ameonesha kiwango kikubwa sana na mpira mzuri
Yani kila mchezo ni mzuri kuliko uliopita, hii inamaana gari linawaka kwenye mteremko

Arteta ni kocha wa mwezi as things stand

Liverpool na city wakiendelea hivi, basi watupe hilo kombe kuokoa muda

Come on you gunners
Tusiongee sana kuna Europa league na World Cup competitions na EPL bado mbichi anything can happen kwa sasa tuendelee kuangalia upepo hadi December after Christmas tuendelee kupata good results kwa sasa Arsenal last season katika game 3 alikuwa ana point 0 na Manchester United 7 points na tukamaliza juu yake kwa gape kubwa la points tutulie

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Nimeamin ushabiki wa mpira huwezi kuutenga na hisia na mihemko

Man utd juz tu walikua wanyonge, vichwa chini
matumaini waliyo yapata pre season yakayeyuka lawama kibao kwa wachezaji mpaka kocha wakawa wanamwona kilaza

Jana wameshinda wameanza kuota ubingwa
Washa sahau
 
Nimeamin ushabiki wa mpira huwezi kuutenga na hisia na mihemko

Man utd juz tu walikua wanyonge, vichwa chini
matumaini waliyo yapata pre season yakayeyuka lawama kibao kwa wachezaji mpaka kocha wakawa wanamwona kilaza

Jana wameshinda wameanza kuota ubingwa
Washa sahau
Wanasema mlete arteta....
 
Tusiongee sana kuna Europa league na World Cup competitions na EPL bado mbichi anything can happen kwa sasa tuendelee kuangalia upepo hadi December after Christmas tuendelee kupata good results kwa sasa Arsenal last season katika game 3 alikuwa ana point 0 na Manchester United 7 points na tukamaliza juu yake kwa gape kubwa la points tutulie

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Arsenal alianza Ligi vibaya kwasababu alikosa wachezaji muhuminu karibu 8 , tofauti kabisa na man u ambaye had kina cr7 wapo, tuneanza Ligi Auba,laca,Ben White, Odegaard, Ramsadale, Tomiyasu,Partey,hawapo

CF Balogun, mabeki walikuwa kina Kolasinac ,
 
Arsenal tunaweza kufungiwa kusajiri tusipokuwa makini,.

🚨 Arsenal are among 20 European clubs on a UEFA watchlist of teams who may be in danger of breaching Financial Fair Play. Arsenal have had among the highest losses in the Premier League over the past three years, a total of £213m. [@martynziegler] #afc
 
TAARIFA

Arsenal nashangaa kuchunguzwa wakati matumizi yetu sio makubwa
Screenshot_20220823-122412_Instagram.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Arsenal alianza Ligi vibaya kwasababu alikosa wachezaji muhuminu karibu 8 , tofauti kabisa na man u ambaye had kina cr7 wapo, tuneanza Ligi Auba,laca,Ben White, Odegaard, Ramsadale, Tomiyasu,Partey,hawapo

CF Balogun, mabeki walikuwa kina Kolasinac ,
Arsenal kuna players ambao inabidi kuomba wasiwe majeruhi Jesus Partey Zichenko Saliba licha most players wote wapo vizuri ila hao nliowataja ndio wameongeza kitu plus Partey hata last season baada ya kuumia Partey na Tierney (imagine two players)wakaifanya Arsenal ikose balance na kuambulia vipigo mechi za mwisho na kukosa top 4

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Arsenal have won their opening three games of a Premier League season for only the third time - 2003-04, 2004-05 and 2022-23.
 
TAARIFA

Arsenal nashangaa kuchunguzwa wakati matumizi yetu sio makubwaView attachment 2332260

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu nimeona fafanuzi Zaidi


🚨 Arsenal insiders insist they are & will be compliant with UEFA’s rules & have received no warning from the European governing body. UEFA declined to comment but it is believed it will initiate discussions with any clubs perceived to be at risk. [@martynziegler]

No worries with Arsenal and any FFP breaches. Was looked at because #AFC were spending money and quickly dismissed by Uefa. Dealing within their means and can still spend lots more this summer if they want.
 
Tusiongee sana kuna Europa league na World Cup competitions na EPL bado mbichi anything can happen kwa sasa tuendelee kuangalia upepo hadi December after Christmas tuendelee kupata good results kwa sasa Arsenal last season katika game 3 alikuwa ana point 0 na Manchester United 7 points na tukamaliza juu yake kwa gape kubwa la points tutulie

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Exactly, ni mapema mno kuanza kuongelea ubingwa. Ni kweli tunafanya vizuri lakini let's take one game at a time kwa kwa sababu hapo katikati kuna World Cup, wachezaji wetu wataenda huko, kuna injuries na fatigue...bado sana! Mwanzo mzuri ila May ni mbali sana.
 
Arsenal tunaweza kufungiwa kusajiri tusipokuwa makini,.

Arsenal are among 20 European clubs on a UEFA watchlist of teams who may be in danger of breaching Financial Fair Play. Arsenal have had among the highest losses in the Premier League over the past three years, a total of £213m. [@martynziegler] #afc

Hamis, let me try to explain this in a simple language: the main purpose of introducing FFP evolved from International Accounting Standard IAS 38( accounting for intangible assets).it principally aims at preventing economic doping. Kama tunavyolalamika hapa Kroenke hatoi hela za kununua wachezaji (pengine tunalamika bila kujua) na pengine tunalalamika bila kujua maswala ya uhasibu wa timu za mpira yanakuwaje. Timu za mpira zinatakiwa kujiendesha kutokana na mapato yake (self generated revenues), this is one of the objectives of FFP mengine ikiwa ni transparency, credibility etc.
utaona hapa kwamba wanalenga kuua utegemezi wa wamiliki wa timu kuendesha timu kwa kiwango kikubwa. Ndio maana timu kama Newcastle haijanunua wachezaji wengi.
 
🚨 || Youri Tielemans price is expected to drop before the end of the window, with Leicester likely to accept a sale and Arsenal still very much keen on him [Via - @Nieuwsblad_BE].
 
Hamis, let me try to explain this in a simple language: the main purpose of introducing FFP evolved from International Accounting Standard IAS 38( accounting for intangible assets).it principally aims at preventing economic doping. Kama tunavyolalamika hapa Kroenke hatoi hela za kununua wachezaji (pengine tunalamika bila kujua) na pengine tunalalamika bila kujua maswala ya uhasibu wa timu za mpira yanakuwaje. Timu za mpira zinatakiwa kujiendesha kutokana na mapato yake (self generated revenues), this is one of the objectives of FFP mengine ikiwa ni transparency, credibility etc.
utaona hapa kwamba wanalenga kuua utegemezi wa wamiliki wa timu kuendesha timu kwa kiwango kikubwa. Ndio maana timu kama Newcastle haijanunua wachezaji wengi.
FACT na sababu Guardiola amewauza Jesus Zichenko Sterling kaleta Halaand ila PSG analaumiwa sana ni kweli havunji hii sheria?bosi wa Newcastle bila hizi sheria angewanunua Ronaldo Messi Mbappe Neymar na kuwalipa pesa wanayotaka

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom