Hatubishani, tunapeana mbili
3 za soka kaka.
Rudia kusoma ulichoandika mkuu, vinajifunga vyenyewe.
1.umesema
"thomas Partey hakuletwa kuchukua nafasi ya Xhaka ndio maana wapo wote uwanjani. Xhaka hakuwahi kushindwa kazi yake, kinacho kuchanganya na wengine wengi ni kudhani Xhaka ni DF.
Sote humu tulikuwa tunalalamika xhaka kutumika katika nafasi asiyoimudu, atumike kama anavyojicheza timu ya taifa, ikafika hatua tukagawanyika, wengine wakisema auzwe (mimi mmoja wapo), japo msimu huu kaimarika.
2. Umesema
"Xhaka alitumika hiyo nafasi unayosema "Kazi ilimshinda" kwa kuwa Wenger hakuwa na option ya ziada baada ya majeruhi ya Francis Coquelin, Jack Wilshire, Aaron Ramsey, Santi Cazorla, Chamberlain, inconsistency ya ElNeny, Flamini na Rosicky walikuwa wanondoka na Mikel Arteta alikuwa amestaafu"
Hapa kwa kilugha maana yake ushakubali xhaka katumika DF, basi partey hakuja kuchukua nafasi ya xhaka ila alikuja kuchheza nafasi ambayo sisi hatuna wa kuicheza kiasi xhaka analazimishwa kucheza hapo.
Mimi sikuwa huko kwanini xhaka anapata nafasi kwa kila kocha, wala partey kaja chukua nafasi, nilikuwa nazungumzia PARITEY KUONEKANA HANA IQ YA SOKA.
ukisoma tena uttanielewa kaka, nimezungumzia kuna vitu si cha mchezaji mmoja, ila ni timu nzima hao kina busquets si kazi ya mtu mmoja ila ni kazi ya timu nzima, na ndio maana ikaitwa timu(kiingereza TEAM)