jombaa askari
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 494
- 531
2-0 captain kaweka tena
Mwaka huu tutawapelekea moto hadi maji muite mmaaArsenal mmekuwa wa motoo![]()
Arsenal mnaunguzaaaa
Au sio😂😂ili ujue epl ni Nini subili uone game yenu na bounmounth ,Hilo goli moja unalosema utalitafuta kwa manati![]()
Huwezi kuona hiyo inataka watu wenye manne Kama kina willjrFocus yangu ipo kwa partey ambaye anadaiwa ana low IQ ya football nataka kudhibitisha hilo today
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Huwezi kuona hiyo inataka watu wenye manne Kama kina willjr![]()






Haya tuonyeshe manati iko wapi!ili ujue epl ni Nini subili uone game yenu na bounmounth ,Hilo goli moja unalosema utalitafuta kwa manati![]()
MBWA IN ADVANCE!Arsenyeto mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale![]()
Ndio nilisema juz hapa ,Mambo ya kuhold ya nn Tena, Kwanza tunapunguza majeruhi yalazimaSiku hizi Arsenal unaiangalia huku mguu uko juu.. No stress!
Kwanza wachezaji hawatoki hata jasho. Wanagusa tu!
Huu Ni mpira unaohitaji technical players ,Siku hizi Arsenal unaiangalia huku mguu uko juu.. No stress!
Kwanza wachezaji hawatoki hata jasho. Wanagusa tu!