Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaambiwa ivi, hakuna mchezaji wa Bournemouth aliegusa mpira kwenye boksi (18yard) la arsenal😅😅
 
Siku hizi Arsenal unaiangalia huku mguu uko juu.. No stress!

Kwanza wachezaji hawatoki hata jasho. Wanagusa tu!
Huu Ni mpira unaohitaji technical players ,

Tuliucheza kipind Cha Kwanza kwa palace ,na Emirates juz, kadri siku zinavyosogea tutakuwa tunampigia mtu full
 
Back
Top Bottom