mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Tunaenda kuweka nguvu ligi na uefamkorea una hali gani sasa hivi huko uliko?
Masingeli alijua kuwaharibu sana mentalities zenu wewe pamoja na arsenal2004
Ukipata nafasi uwe unakaa hata na HENRY14 awe anakufundisha mawili matatu kuhusu arsenyo na mpira kwa ujumla. View attachment 3200057
FA na carabao kwa Arsenal bado ni failure

