Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Kwanini mkuu?Wewe muongo muongo kinoma
Kwanini mkuu?Wewe muongo muongo kinoma
Pepe wiki hii anaondoka ,then analetwa Winga Mwingine ,sio backup Bali anayeweza akaanza na saka akakaa bench na Moto ukawaka vile vileArsenal inahitaji strong CM mwenye uwezo wa ku link vzr na sehemu ya ushambuliaji. Pia mtu wa kumsaidia Saka, the guy is exhausted sana game hizi tatu za mwanzo. Then haitakuwa tena kuwania top 4 bali kuwania u champion
Hata tetesi za jina lake hakuna daah kweli Edu kaamua kua msiliPepe wiki hii anaondoka ,then analetwa Winga Mwingine ,sio backup Bali anayeweza akaanza na saka akakaa bench na Moto ukawaka vile vile
Shida mlikuwa na MAGWAYA mwaisa, Ronaldo anafunga yeye anaachia 🤣Nakumbuka hata sisi msimu uliyoisha zile mechi 4 za mwanzo ni ushindi tu, mara tumempiga mtu goli 7 kelele zikawa nyiiiingi kua huu ni msimu wetu, tena tupo na GOAT mwenyewe lazima tuchukue Epl, wazee wa kosi la dunia tukawa ni mkosi kweli duniani ligi inaisha tuko na GD 0.
Ila yote heri tuombe uzima ili tuendelee kupata burudani ya EPL.
Pepe aende kabisa, mpira wa Uingereza umemshinda.Pepe wiki hii anaondoka ,then analetwa Winga Mwingine ,sio backup Bali anayeweza akaanza na saka akakaa bench na Moto ukawaka vile vile
Game inayofata ni vs Fulham tukiwa home naamini atafanya vizuriOfficial: Gabriel Jesus has been awarded Man of the Match for his performance vs. Bournemouth this evening. [Sky] #afc
View attachment 2329889
View attachment 2329895
Uliona wapi mlevi akaongelea biblia, au mwemdesha ferrari akaizungumzia toyota, mlima machunga hawezi zungumzia minazi, mtu wa moshi eti akautaje mlima udzungwa badala ya kilimanjaro. 😂Ila we jamaa ulivyong'ang'ania ushoga
Una ajenda gani? Au ndo unatetea haki zako
nakuona mbwa umekaa jalalaniArsenyeto mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale![]()
Hawezi kua German shepherd in wale koko tuUchague kabisa kama ni German shepherd au jibwa koko tu![]()


Tukiwa Emirates tunacheza kwa Swagger Hadi rahaGame inayofata ni vs Fulham tukiwa home naamini atafanya vizuri
Kuna uwezekano akawa mchezaji bora wa mwezi.
Hii game ni ngumu inabidi tujipange vizuri Fulham wazuri,Saliba ajipange vyema kumdhibiti Mitrovic.😂😂😂 weekend ijayo Marco Silva si ndo yupo Fulham sasa hivi eh.
Tunampa dakika 30 akiweza kuzimudu tutamwacha salama .