Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,936
- 3,940
Havertz ni k*ma


Wakati wewe unamtukana mcheki hapa chini ndugu yako Masingeli alivyokua anaudanganya umma kuhusu Havertz.Ila hamiss alizidisha duuuh!!!!Wakati wewe unamtukana mcheki hapa chini ndugu yako Masingeli alivyokua anaudanganya umma kuhusu Havertz.
Mc Masingeli huko aliko sijui hata ana hali gani, leo sijamuona kabisa kwenye jukwaa la Utd.View attachment 3200754
Ila hamiss alizidisha duuuh!!!!


Kumfananisha Harvez na hizo kima nyingine zote mimi haikuniuma. Kilichoniuma ni kuifananisha hiyo takataka yake na King Ng'olo Kante. Na wasi wasi na umri wake atakua below 20, kuna muda alikua anaongea pumba na kusifia kwingi mpaka unajiuliza huyu kaijua arsenal jana!Ila hamiss alizidisha duuuh!!!!
Not loading, already kapa just waiting for the formalities.2022/23
"Huu msimu kombe sio malengo yetu, lengo ni kufuzu uefa na kutengeneza timu ambayo itaanza kupambania makombe msimu ujao.
Tukichukua msimu huu itakua bonasi tu"
2023/24
Kapa
2024/25
Another kapa loading
Yale mahaba yalizidi yule si mdogo yule.Na wasi wasi na umri wake atakua below 20, kuna muda alikua anaongea pumba na kusifia kwingi mpaka unajiuliza huyu kaijua arsenal jana!
Arteta ana cha ku prove tena sajili zenyewe za veterans.
Halafu ni vijana wabichi kabisa.Calafiori na Tomiyasu. Trip shamba, trip gerejiView attachment 3200999
ZIRKZEE ni m'bovu sana lakini kwa beki za arse8 ameonekana striker la dunia.View attachment 3200038Ukiwakuta sasa wanadanganyana mpaka mishipa inawatoka utasikia yani trosadiii trosadiii sijui maliti neliiiii 😅 faken kabisaaaaa. Unafungwa na bruno mwenye matatizo ya macho tokea udogoni😄
Umeongea kitu cha maana sana ambacho hakuna shabiki wa arse8 atataka kukisikia.Arsenyo huyu jamaa yenu leo mmemuangusha sana, nahisi yeye leo ndio ameumia kuliko shabiki yoyote wa Arsenyo.
Siku nyingi mkiwa mnabebwa jitahidini mbebeke Kima nyie. View attachment 3200041