Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Hizi ng'ombe paka zitoke damu ndiyo zitaelewa kuwa arsenal ni kikundi cha maburudani kwenye mabonanza
Hapa hakuna kuinuka mkuu. Edu ametangulia, Arteta afateHaya sasa leo ni siku ingine. Tuachane na yaliyopita.
Nataka kuona jinsi gani tutainuka na kukamata form tena kwenye mechi zijazo. Maana ukifika hapa ni rahisi kuendelea kuanguka.
#ARTETAOUTKwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024
View attachment 3031822
i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe
View attachment 3031824
ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.
View attachment 3031825
III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m
View attachment 3031828
iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.
£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
Haya sasa leo ni siku ingine. Tuachane na yaliyopita.
Nataka kuona jinsi gani tutainuka na kukamata form tena kwenye mechi zijazo. Maana ukifika hapa ni rahisi kuendelea kuanguka.


Picha ya Arsenyo wakiinuka na kukamata fomu.
Sisi kama arsenal, hili kombe tunabeba kila msimu, hatuna mshindani lakini cha kushangaza bado kuna "wehu" wanakuja kusema arteta out.FA Emirates cup at Emirates stadium with Emirates referees and still we won the match.
View attachment 3200525
Naungana na arteta, mpira si makombe.
Ni ngumu sana kocha kukaa miaka mitano man u, liver, na timu nyingine kubwa bila kuchukua ubingwa mkubwa.
Ila ni jambo la kawaida kocha kukaa miaka 6 arsenal bila ubingwa wowote.


Arteta ni Eric Ten Haag anayevaa Modo, Hawezi kuwafikisha Asenyo popote.


Waache mkuu, phase ziko 70 na sasa wako phase 5. Na kila phase inachukua mwakaArteta ni Eric Ten Haag anayevaa Modo, Hawezi kuwafikisha Asenyo popote.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu.
Tetea sio kocha, yule ni mwalimu wa mazoezi ya viungo, la sivyo kila msimu nyinyi mtaendelea kua wapenzi wasindikizaji tu![]()
Hii mnalala mzee, achana na kuwa mnatimu mbovu, kingine mnagundu wazee
Arsenal hajawai kushinda na hii mijez miuepe


Aiseeee haya mkorea njoo ufute kauli yako, tunataka uelezee umma kati ya Arsenyau na Man Utd ni timu ipi ina Gundu. 

