toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,911
- 12,370
Sana sana na kipara katolewa kule na huku premier league kabaki na kina west ham aloo kazi ipoHatari 😂😂😂😂
Sana sana na kipara katolewa kule na huku premier league kabaki na kina west ham aloo kazi ipoHatari 😂😂😂😂
Kukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.Mimi nitakuwa napita daily humu kuwakumbusha, mpaka mashindano yote 23/24 yaishe.
1. Carabao cup : ❌❌❌❌
2:EPL loading : FALSE HOPE 🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
Duhkwenye ku dribble utamuonea ,hiyo kazi haiwezi
Wewe mpe kazi tu ya kuwasumbua mabeki wanaojifanya wajuaji
Kai ni mrefu sana futi 6 na inchi kadhaa
Halafu sio lain kama wengi wanavyodhani ,
Halafu ni mcheza rafu mzuri sana za kimya kimya ,
Hakuna beki anafurahia kucheza na Kai
SawaArteta says Havertz form has forced a change of plan at Arsenal
@sr_collings
AseeMikel anasema Kai amebadili mfumo wa Arsenal,kwasasa hakuna wakumtoa pale CF, Jesus imebidi arudi pembeni akapambanie namba kwa Martinelli na Saka ,
Kai as CF anachofanya ni ngumu kuona usipokuwa makini
Ni mcheza rafu za kimya kimya kwa mabeki, urefu wake unawasumbua sana mipira ya juu ,mabeki hawapend hicho kitu
Silaha yake kubwa ni movement,
Nilimtabiria Goli 15 all competition
Hadi sasa nadhani ana goli 13 kama sikosei
Assist 5
G/A 18 hivi Hadi sasa
Arteta anasema Bado hajampata Kai anayemtaka
Reminder that,Kai ana miaka 24 tu Bado hajafikia peak yake ,
Kitu kingine Kai , Availability yake ni kubwa ,huwezi kusikia eti ana injury, View attachment 2956100
MmhNjia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,
Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana
Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja
Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,
Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid
Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid
Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana
AseeBayern anakufa jumanne , Allianz Arena tunampigia Haram football,
Since day one kama unakumbuka nimekuwa nikisema kama tunamkwepa city ,hakuna timu ulaya yakutusumbua
Kwanza tunacheza aina 3 za mpira ,
Porto walileta harama football tukaenda nao wanavyotaka
Mancity mechi itakuwa ndefu itaamuliwa kwa small details, kila mechi ya Arsenal na city kwasasa imekuwa inakuja na mbinu mpya ,
Vs Madrid mapema tu tupo fainal
Shida ipo hapa Madrid ataweza kuhimili msako wa mancity, last season alikula 4-0
Aya bhnUkitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba...
King KaiView attachment 2956276
Wewe jamaaa utawauaKukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.
1. CARABAO: MMETOLEWA
2. FA CUP: MMETOLEWA
3. UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MMETOLEWA
4. PREMIER LEAGUE: BADO MNADANGANYANA MTASHINDA()



HAHAHA!!! Arsenyani mnamaliza msimu bila kombe tena.


Asno ni kama chizi tu, anatoka asubuhi anaenda kuzurura halafu jioni anarudi na makopo


UnavutaArsenali ana world class player mmoja tu
Declan Rice
Wengine wote ni a bunch of average players
Mpaka mtakapokubaliana na hili ndio mtafanya maamuzi magumu kwa Transfer market