Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi nitakuwa napita daily humu kuwakumbusha, mpaka mashindano yote 23/24 yaishe.

1. Carabao cup : ❌❌❌❌

2:EPL loading : FALSE HOPE 🔞

3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞

4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
Kukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.

1. CARABAO: MMETOLEWA❌❌❌❌

2. FA CUP: MMETOLEWA❌❌❌❌

3. UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MMETOLEWA❌❌❌❌

4. PREMIER LEAGUE: BADO MNADANGANYANA MTASHINDA(🔞🔞🔞🔞)
 
kwenye ku dribble utamuonea ,hiyo kazi haiwezi

Wewe mpe kazi tu ya kuwasumbua mabeki wanaojifanya wajuaji


Kai ni mrefu sana futi 6 na inchi kadhaa

Halafu sio lain kama wengi wanavyodhani ,


Halafu ni mcheza rafu mzuri sana za kimya kimya ,

Hakuna beki anafurahia kucheza na Kai
Duh
 
Mikel anasema Kai amebadili mfumo wa Arsenal,kwasasa hakuna wakumtoa pale CF, Jesus imebidi arudi pembeni akapambanie namba kwa Martinelli na Saka ,

Kai as CF anachofanya ni ngumu kuona usipokuwa makini


Ni mcheza rafu za kimya kimya kwa mabeki, urefu wake unawasumbua sana mipira ya juu ,mabeki hawapend hicho kitu


Silaha yake kubwa ni movement,

Nilimtabiria Goli 15 all competition


Hadi sasa nadhani ana goli 13 kama sikosei

Assist 5


G/A 18 hivi Hadi sasa

Arteta anasema Bado hajampata Kai anayemtaka

Reminder that,Kai ana miaka 24 tu Bado hajafikia peak yake ,


Kitu kingine Kai , Availability yake ni kubwa ,huwezi kusikia eti ana injury, View attachment 2956100
Asee
 
Njia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,


Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana


Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja


Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,

Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid


Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid

Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana
Mmh
 
Bayern anakufa jumanne , Allianz Arena tunampigia Haram football,

Since day one kama unakumbuka nimekuwa nikisema kama tunamkwepa city ,hakuna timu ulaya yakutusumbua


Kwanza tunacheza aina 3 za mpira ,

Porto walileta harama football tukaenda nao wanavyotaka

Mancity mechi itakuwa ndefu itaamuliwa kwa small details, kila mechi ya Arsenal na city kwasasa imekuwa inakuja na mbinu mpya ,


Vs Madrid mapema tu tupo fainal


Shida ipo hapa Madrid ataweza kuhimili msako wa mancity, last season alikula 4-0
Asee
 
BEFORE
Screenshot_20240418-101224.jpg



AFTER
images (8).jpeg
 
Site na Arsenal kama simba na yanga.

Matarajio makubwa mbuzi mmoja akatulizwa na penati mwingine akala fimbo moja.

Kama kuna shabiki wa Arsenal ambaye amekuaa disappointed kufungwa jana basi itakua hakumsikia Arteta au alimsikia ila aliamini maneno ya waliosema tunaweza pambana na kila timu duniani.

Of course we can. Ila usisahau kwamba hizo timu zinaweza kupambana na sisi pia.

ST na forwards wa Site waliposhindwa kuiingia low block ya madrid nani aliwaokoa? CM.

ST na forwards wa bayern waliposhindwa kuscore nani kawaokoa? CM.

Hua nasema mid zetu zinahitaji kua long shot takers haswa tukichezewa haram football. Kuanzia kwa Newcastle, Westham, Villa, Porto, Bayern kote huko CMs ilibidi wawe vichaa wa shots.

Anyway, Arteta alisema tunahitaji kutalii msimu wa kwanza CL kabla ya kwenda kuufuata ubingwa next season.

Sasa tuwe tunasikilizana nikiwa nawaambia kitu kuhusu mpira. Nimeiona Bayern ya Khan, Madrid ya Beckham, United ya Beckham, Newcastle ya Alan Shearer but I chose Arsenal.

This is my team. I love this team. Nahuzunishwa na wachache wanaofurahia tukitoka kwenye tournaments kwa hoja kwamba sasa tutafocus na hiki hapa.

Haya sasa Site katoka CL means atafocus na nini? Ligi. Ambayo sisi tumeibottle wiki iliyopita.

Muwe mnaona zaidi ya mnachoambiwa, be logical. Judge umri, uwezo na akili ya mchezaji ukimuangalia.
 
Back
Top Bottom