Mikel anasema Kai amebadili mfumo wa Arsenal,kwasasa hakuna wakumtoa pale CF, Jesus imebidi arudi pembeni akapambanie namba kwa Martinelli na Saka ,
Kai as CF anachofanya ni ngumu kuona usipokuwa makini
Ni mcheza rafu za kimya kimya kwa mabeki, urefu wake unawasumbua sana mipira ya juu ,mabeki hawapend hicho kitu
Silaha yake kubwa ni movement,
Nilimtabiria Goli 15 all competition
Hadi sasa nadhani ana goli 13 kama sikosei
Assist 5
G/A 18 hivi Hadi sasa
Arteta anasema Bado hajampata Kai anayemtaka
Reminder that,Kai ana miaka 24 tu Bado hajafikia peak yake ,
Kitu kingine Kai , Availability yake ni kubwa ,huwezi kusikia eti ana injury,
View attachment 2956100