Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna asenali ya jukwaani ya wazee w mapenzi upofu na asenali ya kule wingereza yenye kina kai... ANGALIZO Moja ni matokeo yake unaambiwa kabla ya mechi pili matokeo yake baada ya mechiiiialoooo usizichanganye utapata kifukutoooo......
Poleni asenali lia lia,arteta kajitahidi ila supakompyuta limemuangusha
wapi Masingeliii mzee wa Supa kompyuta
 
IMG_20240418_084805.jpg
ataki futiboli 🤣
 
Hiviwewe unadhani unachukua tu kama unachukua tonge la ugali kwa sahani?

Huwa mnawaza kweli?

kuchukua ni lazima ujipange ndio na ndipo niliposema kwa msimu ujao kama huu hatpata chochote.. excuse yake itakuwa ni ubingwa wa EPL ama mashindano ya ulaya na si vinginevo.

ikishindikana itabidi afanye kama xavi.. unkaa pembeni.. mwingine anakuja kuendleza pale ulipoishia.
 
Arsenali ana world class player mmoja tu
Declan Rice
Wengine wote ni a bunch of average players
Mpaka mtakapokubaliana na hili ndio mtafanya maamuzi magumu kwa Transfer market
rice saka odegard hawa ni worldclass players walio baki hawawezi ingia squad ya Madrid wala city
 
Una kona kama hii dakika ya mwna tena kwenye UCL halafu unapiga kama uko kwenye mazoezi
Arsenal mmetolewa kwa sababu hamna uzoefu na haya mashindano na kocha wenu hata kama ni mzuri hana naye uzoefu wa haya mashindano. Mnafikiri kumiliki mpira sana ndio kushinda

Real Madrid wamemiliki mpira kwa 30%
Sisi tulipocheza na Bayern 2012 tulimiliki mpira nadhani kwenye hiyo hiyo 30 au chini ya hapo hadi tukafikia penalti tukawatoa



Angalieni jinsi wanaume wanavyokaza tunapokuwa kwenye michuano mikubwa na timu kubwa kama Bayern Munich

 
Madrid na City hawawezi kukuzia wachezaji waje wawe worldclass in your team...

hawa kina zincheko g. jesus wanaweza wakawa ni project ya pep ndani ya arsenal bila wao kujua

the same tu man utd upande wao wanapenda kununua magarasa washed out player wakina case varane huwez toa 100m for them hapo bado wanaweza jazwa na yule mafia perez awape kross na modric kwa another 100m
 
shida sio quality ya hao experience players bought shida ni consistency jee wanaweza toboa 15 games without injuries
 
Masingeli aliziaminisha hizi Kondoo zake kua hakuna kombe rahisi kubeba kama Uefa, Masingeli alitaka hizi Kima za humu ziamini hata kombe la Fa ni ngumu mno kuchukua kuliko Uefa
Chawa watiifu arsenal2004 na mkorea sijui wana hali gani sasa hivi huko walikoView attachment 2967145
Tumeshatolewa...mmeridhika sasa??...roho ya kwann tu
 
Hapa duniani timu ninayoipenda kuliko zote ni Arsenal FC ikifuatiwa na Simba SC na national teams za Tanzania na France.

Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.

Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.

Barcelona iliweza kubeba makombe kwasababu walikuwa na Messi, Xavi na Iniesta, pia Puyol, Alves, Bosquet, Pique, Villa etc. Mara kadhaa walicheza kwa kasi na kupiga counter lakini mostly walitegemea hao wachezaji hatari.

Sasa hapa kwetu Arsenal kuna wachezaji sita ambao angalau wana winning mentality ni Rice, Saliba, Martinelli, Trossard, Partey na Saka. Na hawa wote ukiondoa Saliba na Rice ni normal players, sio exceptional.

Wachezaji ambao nawaona ni squad players na watakupa output ya kueleweka mostly kwenye mechi ndogo ni Odegaard, Magalhaes, White, Zinchenko, Tomiyasu na Gabriel Jesus. Nawapa muda Kiwior na Raya.

Wachezaji mizigo ni Elneny, Nelson, Havertz, Vieira, Nketiah, Rowe, Ramsdale na Soares. Hawa waondolewe haraka maana hawana faida yoyote. Akina Lokonga na Marquinhos waliopo mkopo wasirudi.

Kwahiyo katika hali hii nategemea Arsenal tutatolewa UCL kwenye robo fainali na tutaingia top 4 ya EPL kwa tabu sana. Tutatolewa FA siku chache zijazo.

Mwezi huu wa December tunaweza kupata point chache sana maana tumeshapoteza kwa aston villa na hapo bado broghton, liverpool, westham na fulham.

January apatikane beki wa kati, winga wa kulia na mshambuliaji hatari ili angalau kuokoa jahazi lisizame kuanzia February 2024.

Arteta na Edu waache kuleta wachezaji laini na waache huu mpira slow slow.
Biashara imekwisha kama nilivyoandika hapa. Nakumbuka Akina hamis77 Will Jr Castr Montserrat waliniita pessimist.

Vijana kubalini kukaa chini na kujifunza kwa watu waliotangulia kuufahamu mpira wa miguu. Nimeangalia mpira miaka mingi na ninaifahamu Arsenal.

Jana Arsenal imekuwa outplayed na dominated na timu iliyochoka kama bayern. Timu inaonewa kwenye ligi lakini imetutesa Arsenal.

Jana nadhani mmeona jinsi Arsenal tulivyo na classic players wawili tu, Saliba na Rice. Wachezaji wengine ni mid table watupu.

Ondoa Arteta pamoja na takataka zake akina Odegaard, Zinchenko, Magalhaes, Gabriel Jesus, Havertz, Nketiah, Jorginho, Rowe nk.

Timu ianze upya na icheze objective football.
 
Biashara imekwisha kama nilivyoandika hapa. Nakumbuka Akina hamis77 Will Jr Castr Montserrat waliniita pessimist.

Vijana kubalini kukaa chini na kujifunza kwa watu waliotangulia kuufahamu mpira wa miguu. Nimeangalia mpira miaka mingi na ninaifahamu Arsenal.

Jana Arsenal imekuwa outplayed na dominated na timu iliyochoka kama bayern. Timu inaonewa kwenye ligi lakini imetutesa Arsenal.

Jana nadhani mmeona jinsi Arsenal tulivyo na classic players wawili tu, Saliba na Rice. Wachezaji wengine ni mid table watupu.

Ondoa Arteta pamoja na takataka zake akina Odegaard, Zinchenko, Magalhaes, Gabriel Jesus, Havertz, Nketiah, Jorginho, Rowe nk.

Timu ianze upya na icheze objective football.
 
Biashara imekwisha kama nilivyoandika hapa. Nakumbuka Akina hamis77 Will Jr Castr Montserrat waliniita pessimist.

Vijana kubalini kukaa chini na kujifunza kwa watu waliotangulia kuufahamu mpira wa miguu. Nimeangalia mpira miaka mingi na ninaifahamu Arsenal.

Jana Arsenal imekuwa outplayed na dominated na timu iliyochoka kama bayern. Timu inaonewa kwenye ligi lakini imetutesa Arsenal.

Jana nadhani mmeona jinsi Arsenal tulivyo na classic players wawili tu, Saliba na Rice. Wachezaji wengine ni mid table watupu.

Ondoa Arteta pamoja na takataka zake akina Odegaard, Zinchenko, Magalhaes, Gabriel Jesus, Havertz, Nketiah, Jorginho, Rowe nk.

Timu ianze upya na icheze objective football.
Arsenal imekua outplayed na dominated?

Wewe umeangalia mpira?
 
Biashara imekwisha kama nilivyoandika hapa. Nakumbuka Akina hamis77 Will Jr Castr Montserrat waliniita pessimist.

Vijana kubalini kukaa chini na kujifunza kwa watu waliotangulia kuufahamu mpira wa miguu. Nimeangalia mpira miaka mingi na ninaifahamu Arsenal.

Jana Arsenal imekuwa outplayed na dominated na timu iliyochoka kama bayern. Timu inaonewa kwenye ligi lakini imetutesa Arsenal.

Jana nadhani mmeona jinsi Arsenal tulivyo na classic players wawili tu, Saliba na Rice. Wachezaji wengine ni mid table watupu.

Ondoa Arteta pamoja na takataka zake akina Odegaard, Zinchenko, Magalhaes, Gabriel Jesus, Havertz, Nketiah, Jorginho, Rowe nk.

Timu ianze upya na icheze objective football.
Wewe jamaa unaongeaga ukweli mchungu sana ambao asilimia kubwa ya mafalse hopes ya humu hua hayapendi kuusikia, mara nyingi hua unaongelea uhalisia wa timu yenu ilivyo kitu ambacho kinasababisha wanazi wasiopenda kusikia madhaifu ya timu yao wakuchukie, humu wengi wanataka kusikia mazuri ya timu tu, ukiongelea mapungufu watu wanakuona ni mamluki au haujui kitu kuhusu mpira.
 
Masingeli aliziaminisha hizi Kondoo zake kua hakuna kombe rahisi kubeba kama Uefa, Masingeli alitaka hizi Kima za humu ziamini hata kombe la Fa ni ngumu mno kuchukua kuliko Uefa
Chawa watiifu arsenal2004 na mkorea sijui wana hali gani sasa hivi huko walikoView attachment 2967145

Sisi tulikua tunamtaka Madrid kmmk😂😂😂😂😂😂. Ilikua lazima tujiamini Flank, sio kinyonge😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom