Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna asenali ya jukwaani ya wazee w mapenzi upofu na asenali ya kule wingereza yenye kina kai😂... ANGALIZO Moja ni matokeo yake unaambiwa kabla ya mechi pili matokeo yake baada ya mechiiii😂😂😂😂aloooo usizichanganye utapata kifukutoooo......
Poleni asenali lia lia,arteta kajitahidi ila supakompyuta limemuangusha😂😂😂😂
 
Polish_20240418_014011380.png
 
Mwaka jana muda kama huu Nzi tulijaa humu hivi hivi plastic arsenal fan wakala chocho wakabaki ma hardcore wa timu yao
walio kunywa maji ya bendera

msimu ukaanza tena yudas wakarudi na takwim zao
Na hapa msimu unaelekea mwisho Nzi zimerudi tena kuleta fujo

Guess what ni repetition plastic fans wametoroka tena mpaka msimu ujao
 
Mwaka jana muda kama huu Nzi tulijaa humu hivi hivi plastic arsenal fan wakala chocho wakabaki ma hardcore wa timu yao
walio kunywa maji ya bendera

msimu ukaanza tena yudas wakarudi na takwim zao
Na hapa msimu unaelekea mwisho Nzi zimerudi tena kuleta fujo

Guess what ni repetition plastic fans wametoroka tena mpaka msimu ujao
Yule mchambuzi wao nguli mwenye badge ya fifa toka zurich anapotoroka kipindi kama hiki anapoteza uhalali wa maoni yake kupewa uzito unaostahili. Sasa kazi yote kamuachia HENRY14 na Castr wanapata shida toka kwa nzi wote wa EPL.
 
Wakati nyumbu wakiendelea kutupa kejeli na kumtukana bwana mikel arteta naomba mkumbuke hiii.. tulikua worse than this season so we still believe in arteta na chama letu .... nyie endeleni kupitia mkataba wenu mliosema martial atapata balon d'or
 

Attachments

  • Screenshot_20240418_081853_Gallery.jpg
    Screenshot_20240418_081853_Gallery.jpg
    84.8 KB · Views: 18
msimu huu imebaki EPL pekee ;arteta hata kama akiikosa tena auchukulie huu msimu kama somo na uzoefu kupata ila kashajitengenezea mazingira magumu ya kupewa tena muda zaidi kuendlea kubaki arsenal mana kitakachotizamwa ni ubingwa wa EPL ama mashindano ya ulaya na si kingine kwa msimu ujao.
 
msimu huu imebaki EPL pekee ;arteta hata kama akiikosa tena auchukulie huu msimu kama somo na uzoefu kupata ila kashajitengenezea mazingira magumu ya kupewa tena muda zaidi kuendlea kubaki arsenal mana kitakachotizamwa ni ubingwa wa EPL ama mashindano ya ulaya na si kingine kwa msimu ujao.
Hivi wewe unadhani unachukua tu kama unachukua tonge la ugali kwa sahani?

Huwa mnawaza kweli?
 
Hivi mlikosa wachezaji mkaona mumsajili Odegaard yani Ameshindwa fundi Ozil fundi fabregas eti Odegaard ndio aweze.?
Tafuteni kocha wa kueleweka na kiungo mshambuliaji wa kueleweka.
Umeona Hao ,kina Henry walishindwa kuchukua CL na Arsenal ......hili kombe sio poa kabisa joto lake sio la kitoto .....huwa nawacheki Hawa wazee wanavosema mwanzo WA msimu tunachukua pl na UEFA ....mpaka tunachukua uefa tumepitia nyakati ngumu Sana ambazo hazielezeki ....harafu Hawa kina ordegad tu wajuzi et wafike wanachukua CL mamaeeee
 
msimu huu imebaki EPL pekee ;arteta hata kama akiikosa tena auchukulie huu msimu kama somo na uzoefu kupata ila kashajitengenezea mazingira magumu ya kupewa tena muda zaidi kuendlea kubaki arsenal mana kitakachotizamwa ni ubingwa wa EPL ama mashindano ya ulaya na si kingine kwa msimu ujao.
Ww n kichwa maji, AssAnal akimuacha Arteta Ujue Ndio mtarudi Kule kule kupambania nafasi na akina Everton na usishangae akachukuliwa na big teams.

Mm n shabiki wa Chelsea lkn Arteta namkubali knoma mana amewatoa shimoni Mpaka sasa mmeanza kuiona atmosphere Kwa uzuri. Achana na maneno ya mashabiki wa timu zngn zikiwa zinamponda Arteta huo n ushabiki tuu ila kila mfatiliaji wa mpira anajua umuhimu wa arteta hapo AssAnal
 
Back
Top Bottom