Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,145
- 4,292
kwaiyo mnamtaka kipara?Wale mliokuwa mnasema bayern ni wepesi kuliko atletico madrid nadhani sasa tumeelewana, gemu na bayern haitokaa ije iwe nyepesi kwetu labda tuwe na kocha pep Guardiola vinginevyo bayern ni timu tishio sana kwetu, sio ya kuichukulia poa.

