Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,374
- 112,308
Nmesema labda, ni timu gani haitotaka huduma ya kipara?kwaiyo mnamtaka kipara?
Nmesema labda, ni timu gani haitotaka huduma ya kipara?kwaiyo mnamtaka kipara?
Yaani nasema hivi, huyo hamiss matakwimu hatakiwi kuja kuchambua soka humu.
Maana yeye ndo ana pelekea, wapinzani wetu Watu sumbue.
Usikute ni li chelsea lile![]()


Masingeli ni Man Utd damu, sasa hivi unaweza mkuta kajifungia zake chooni anawacheka mpaka anakaa chini.Yule nimesha msoma, ana tujaza ma ujinga.Masingeli ni Man Utd damu, sasa hivi unaweza mkuta kajifungia zake chooni anawacheka mpaka anakaa chini.
Tulia we MWANAMAMA.Huyu nae kashalewa goli moja
Tutaenda mnadani tutanunua hata vikombe vya kunywea uji.HAHAHA!!! Arsenyani mnamaliza msimu bila kombe tena.
Yule ni Manchester utd fan damu huwa anajifichia huku kujipa matumani ya mpiraYule nimesha msoma, ana tujaza ma ujinga.
Kumbe ni kenge mmoja tu
inakubidi upumzike sasa ujiandae na europa keshoNa ligi EPL msahau kunusa pua zenu kwenye title , fixtures zinazokuja mtakiona cha mtema kuni , ni makonzi na mbata tu mtatembezewa mpaka msimu uishe.
Mna wolves ,spurs ,Chelsea , halafu bado mna audacity ya kuongelea ubingwa .
Mtapigika na kuchakaa sana .
Loosers Efusiiiiii
Arsenyetoz ni loosers
Yule nimesha msoma, ana tujaza ma ujinga.
Kumbe ni kenge mmoja tu


Double agent yupo kazini, ila Masingeli ana ushawishi wa hali ya juu sana, ukiwa kichwa maji hauwezi kumshtukia kua kazi yake ni kuwaingiza mkenge.Tutaenda mnadani tutanunua hata vikombe vya kunywea uji.
Fresh tu![]()




Niliwaambia mapemaBado City
Tutaweka hata chipsi kuku tu, 😂
Hii tumerudisha kwenye redio au vipindi vya michezo 😂Kai ameingia kambani wakuu ngoma ipo extra timeView attachment 2966850