Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Njia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,


Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana


Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja


Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,

Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid


Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid

Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana
 
Timu zote zinawaza zitakabiliana vipi na sisi. Wale wakupaki basi wanajua sisi ni wafungaji bora na tutawatoboa tu. Wale vinara wa mashambulizi wanajua sisi ni wazuiaji bora na kutufunga itakuwa mtihani. Man City na Tottenham ndio nawaona wanaweza kutupa shida tukiwa kwenye form nzuri. Wengine naona watatuweza tukiwa tumeamka vibaya siku hiyo.
The lowest xG conceded in the Premier League in 2024:

1. Arsenal - 4.98
2. Manchester City - 12.28
3. Liverpool - 13.56

The Gunners are in a league of their own. View attachment 2956196
 
Njia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,


Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana


Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja


Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,

Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid


Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid

Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana
Kwa hiyo kuingia nusu fainali ni uhakika?
 
Kwa hiyo kuingia nusu fainali ni uhakika?
Bayern anakufa jumanne , Allianz Arena tunampigia Haram football,

Since day one kama unakumbuka nimekuwa nikisema kama tunamkwepa city ,hakuna timu ulaya yakutusumbua


Kwanza tunacheza aina 3 za mpira ,

Porto walileta harama football tukaenda nao wanavyotaka

Mancity mechi itakuwa ndefu itaamuliwa kwa small details, kila mechi ya Arsenal na city kwasasa imekuwa inakuja na mbinu mpya ,


Vs Madrid mapema tu tupo fainal


Shida ipo hapa Madrid ataweza kuhimili msako wa mancity, last season alikula 4-0
 
Hata me ninachotarajia ni labda Liver ajisimamishe mwenyewe kwa pressure ya kupata matokeo kutokana na race ilivyo.

United sio wa kuwachukulia poa sana kwa kuwa ni kama hawana cha kupoteza, team ya namna hii inakuwa na minimum pressure ambayo inaweza kukupa surprise perfomance in any game.

Pia hii ni derby game, regardless of current forms, game ya derby wakati flani huwa matokeo yake hayazingatii form kabisa. Kwa United akimfunga liver kwa sasa ni kama katwaa EPL, ni game ya muhimu sana kwao kushinda ila utayari wao ni mdogo, lets see anyway!!
United amekua kwenye nafasi ya kutokua na cha kupoteza kwa misimu zaidi ya nane nyuma.

Na amekua anakutana na Liver.

Na amefungwa mara nyingi mpaka 7
 
Utasikia

"hata ile mechi ya Arsenal ilibidi tushinde"

"Hatuna majeruhi kama Arsenal"

"Garnacho hakua offiside pale Emirates"

Hapo anacheza na timu zingine kabisa.

Kwa sasa sio ajabu kumsikia Ten hag kwenye post match talk…

Reporter, “what’s your overrall analysis of the 90 mins?”

Ten hag, “pretty good, even Arsenal once lost against Liverpool at the Emirates so it’s not a bad result to be fair, I mean no offence.”

Hii Arsenal imekuwa SI Unit kwa sasa!!
 
Bayern anakufa jumanne , Allianz Arena tunampigia Haram football,

Since day one kama unakumbuka nimekuwa nikisema kama tunamkwepa city ,hakuna timu ulaya yakutusumbua


Kwanza tunacheza aina 3 za mpira ,

Porto walileta harama football tukaenda nao wanavyotaka

Mancity mechi itakuwa ndefu itaamuliwa kwa small details, kila mechi ya Arsenal na city kwasasa imekuwa inakuja na mbinu mpya ,


Vs Madrid mapema tu tupo fainal


Shida ipo hapa Madrid ataweza kuhimili msako wa mancity, last season alikula 4-0
Na iwe hivyo.

Binafsi nilikuwa nataka tumpate Bayern ili tumpige msako na kichapo heavy ili kulipiza kisasi kwa mateso aliyotupa hapo awali. Ushindi mkubwa kwangu ni kumpiga vibaya mno Bayern tu. Mengine yaende vyovyote vile.
 
United amekua kwenye nafasi ya kutokua na cha kupoteza kwa misimu zaidi ya nane nyuma.

Na amekua anakutana na Liver.

Na amefungwa mara nyingi mpaka 7

Yes, uko sahihi ila they have their chance especially at home in front of their fans, lets not right them off 100%.
 
Bayern anakufa jumanne , Allianz Arena tunampigia Haram football,

Since day one kama unakumbuka nimekuwa nikisema kama tunamkwepa city ,hakuna timu ulaya yakutusumbua


Kwanza tunacheza aina 3 za mpira ,

Porto walileta harama football tukaenda nao wanavyotaka

Mancity mechi itakuwa ndefu itaamuliwa kwa small details, kila mechi ya Arsenal na city kwasasa imekuwa inakuja na mbinu mpya ,


Vs Madrid mapema tu tupo fainal


Shida ipo hapa Madrid ataweza kuhimili msako wa mancity, last season alikula 4-0
Brother madrid hii sio kama madrid ya msimu uliopita the same thing nilikisema kwa arsenal hii sio kama arsenal ya msimu uliopita ukitumia context ya kwamba madrid alipigwa 4-0 na city etihad its the same na arsenal kupigwa 4-1 na city etihad

ila haimaanishi kuwa yale matokeo yatajirudia nikupe vitu vi 3
kwanini madrid anamuondoa city mapema sana

1 city nsimu uliopita walitumia kila mbinu silaha nguvu mentality kumuondoa madrid kwani walijuaga ipo siku itafika janja janja za madrid na vi comeback plus individual brilliance zitafika tamati soo pep ali m study vizur sana madrid na akamua kwenda kumchinja kwa tactic bora the same tu arsenal mlivopigwa 4-1 mlizidwa na city but arteta had to study the game and go toe to toe with city usifikiri kuwa Ancelotti uko alipo yupo tu kalala uki angalia ana free week ya training session ya kuwa overload players with tactics huku city akiwa na msululu wa match to match mpaka kufikia friday

2 city ana mechi nyingi sababu ana tamaa ya makombe yote yalio mbele yake uefa fa epl haya yote anayapambania sababu ni opportunity na sio kwamba eti imekuja from no where na anataka ku prove ataondoka na 1-2 kati ya hayo kutokana na umiara wa kikosi chake yani squad depth asa shida ipo unapo nga'ng'ania viwili kimoja huponyoka sababu ni injury utakazo zitapata refer to Liverpool best form walienda kwa tamaa ya makombe maa 4 wakaja waka drop sababu ya injury na hio its the same to city

3 city anaogopeka na baadhi ila hii city it's not the same without their proper decisive players naongelea kuondoka kwa gundogan na kina mahrez na palmer city lethal depth imepungua kule mbele kunakuwa kugumu pale ambapo watu watakuwa wame mmark debruyn na rodri basi safari yao inabaki ku possess mpira na hatari inapungua
 
Njia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,


Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana


Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja


Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,

Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid


Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid

Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana

Greatest Ramli ever

Hizi posts zako zitakurudia mwenyewe muda ukifika
 
Kuwashabikia man u Leo nikutafuta magonjwa ya moyo yasiyo na lazima, Mabeki wao waliofit ni Maguire na kambwala , Wana abiria sio chini ya wanne ,

Plus mbinu za Erik Ten hag, kila baada ya dk 1 wanapelekewa moto

Kama unataka kumuona Prof. Janabi ,shabikia Manjesta leo
kambwala ndo nani mkuu
 
Brother madrid hii sio kama madrid ya msimu uliopita the same thing nilikisema kwa arsenal hii sio kama arsenal ya msimu uliopita ukitumia context ya kwamba madrid alipigwa 4-0 na city etihad its the same na arsenal kupigwa 4-1 na city etihad

ila haimaanishi kuwa yale matokeo yatajirudia nikupe vitu vi 3
kwanini madrid anamuondoa city mapema sana

1 city nsimu uliopita walitumia kila mbinu silaha nguvu mentality kumuondoa madrid kwani walijuaga ipo siku itafika janja janja za madrid na vi comeback plus individual brilliance zitafika tamati soo pep ali m study vizur sana madrid na akamua kwenda kumchinja kwa tactic bora the same tu arsenal mlivopigwa 4-1 mlizidwa na city but arteta had to study the game and go toe to toe with city usifikiri kuwa Ancelotti uko alipo yupo tu kalala uki angalia ana free week ya training session ya kuwa overload players with tactics huku city akiwa na msululu wa match to match mpaka kufikia friday

2 city ana mechi nyingi sababu ana tamaa ya makombe yote yalio mbele yake uefa fa epl haya yote anayapambania sababu ni opportunity na sio kwamba eti imekuja from no where na anataka ku prove ataondoka na 1-2 kati ya hayo kutokana na umiara wa kikosi chake yani squad depth asa shida ipo unapo nga'ng'ania viwili kimoja huponyoka sababu ni injury utakazo zitapata refer to Liverpool best form walienda kwa tamaa ya makombe maa 4 wakaja waka drop sababu ya injury na hio its the same to city

3 city anaogopeka na baadhi ila hii city it's not the same without their proper decisive players naongelea kuondoka kwa gundogan na kina mahrez na palmer city lethal depth imepungua kule mbele kunakuwa kugumu pale ambapo watu watakuwa wame mmark debruyn na rodri basi safari yao inabaki ku possess mpira na hatari inapungua
Me naamini Madrid atapita kwasababu City ya sasa hivi ni rahisi sana kumfikia goalkeeper wao, defence yao siyo nzuri
 
chengine madrid are getting into shape na injury wanaanza kurudi kwenye squad

linapokuja swala la UEFA kamwe usija ukam underestimate Madrid kwani hao jamaa wana zaidi ya uzoefu wa hayo mashindano kuliko unavo fikiri unweza ukawa unaombea ukutane nae kisa mko kwenye form nzuri team yenu ipo full compact

una backline ya Gabriel saliba midfield full of best kama rice jerigino partey odergad una wing lethal zakina saka martnel una st kama kina saka harvet

lakini unakutana na timu yenye highly mentality kama madrid yale makombe 14 usizani ni bahat yapo kabatini they are there for a reason you have to respect them in order to fight them

refer to Liverpool and their obsesseion of fighting with madrid in uefa huyo salah alikua hadi anaombea akutane na Madrid level yoyote ile klop anawaambia wanahabari book a hotel and tickets of the next ucl final chaa ajabu anakuja kupangiwa Madrid in the
round 16 ... mechi inaanza wanaongoza 2 bila then the rest became history
 
Arteta alisema msimu wa 3 tunaenda CL tunatalii tunaondoka.

Msimu unaofuata tunaenda kuchukua kombe kabisa.

Kwa kikosi finyu ilibidi liva apate kimoja kimoja hakuweza kuchukua ligi na cl kwa pamoja. Changamoto hiyo ya kikosi tunayo Arsenal pia.

Nini kitakua tofauti kwetu mpaka kuweza kupata vyote viwili? Notice sisi ni wageni CL, Bayern are shittier ila wana uzoefu mule wanajua kudisrupt rhythm ya mchezo kama Porto walichotufanyia.

Madrid ana mid nzuri, ana wings nzuri, ana goalscorer kijana. Ana beki nzuri pia. Kiukweli timu ambayo naona tunaweza ifunga bila kujiuliza ni PSG na Barca.
 
Last night reactions
Snapinsta.app_435683488_946246537052603_4032269473149657780_n_1080.jpg
Snapinsta.app_434423172_3784593935102941_7272180597539398299_n_1080.jpg
Snapinsta.app_435694505_436206065526410_2216745083975843387_n_1080.jpg
Snapinsta.app_435716943_962181488611211_2472550562333510368_n_1080.jpg
 
Back
Top Bottom