HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Kwa hiyo kuingia nusu fainali ni uhakika?Njia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,
Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana
Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja
Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,
Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid
Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid
Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana