Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunakupiga La Penalty ili mpate cha kuongea.


.halafu tunakupiga La Msako na pasi 7000 haafu tunakumalizia na la Kaunta..

Tunakwaza ila ndio hivyo hatuna budi mkwazike
 
Nyie endeleeni tu kujipea false hopes, ila nina imani mnatambua wazi kabisa kua ile siku mtakayo kanyaga kwenye matofali ya kuchoma ndio itakua siku yenu ya mwisho kujipea matumaini hewa.
Security guard nimejitolea kuendelea kuwawangia humu mpaka mechi ya mwisho wa ligi.
 
We need new haters the old ones are becoming fans
20240406_232338.jpg
 
Arteta says Havertz form has forced a change of plan at Arsenal

@sr_collings
Hyu mhuni hatakaa atoke tena first eleven...Partey atakuwa anatumika kwny special mission...ili tum manage na majeraha yake....ila natamani sana Zinchenko awe anakula benchi mechi ngumu maana yule ndo weak link yetu...ule upande kule ni wa Super Hiroshima Tomiyasu au Polish monster Kiwior
 
Player of the Match, Arsenal's @kaihavertz29


1 goal,

1 assist

8 touches in Brighton's penalty area

13 sprints,

4 chances created

9 goals & 5 assists in @premierleague this season - highest totals in his PL career
 
Arteta ana mifumo hatari sana asilimia kubwa ya makocha na wachambuzi wameshaanza kumuogopa.
Kocha wa Luton anasema ,ukitaka kucheza physical,Arsenal wanakupa hiyo game ,ukitaka Total football wanakupa hiyo game,ukitaka Haram football ndio mafundi wenyewe ,

Angalia hapa picha ya kwanza , Wachezaji 9 wa Arsenal wapo kwenye zone ya Brighton ,hii Total football


Halafu angalia picha ya Pili

Wachezaji 9 wa Arsenal wapo kwenye zone Yao wameweka low block vs mancity
20240406_234911.jpg
20240331_212211.jpg
 
Kocha wa Luton anasema ,ukitaka kucheza physical,Arsenal wanakupa hiyo game ,ukitaka Total football wanakupa hiyo game,ukitaka Haram football ndio mafundi wenyewe ,

Angalia hapa picha ya kwanza , Wachezaji 9 wa Arsenal wapo kwenye zone ya Brighton ,hii Total football


Halafu angalia picha ya Pili

Wachezaji 9 wa Arsenal wapo kwenye zone Yao wameweka low block vs mancity View attachment 2955959View attachment 2955960
Zile dakika tano za mwsho kipindi cha kwanza...kuna mbinyo ulipigwa pale mpk nikawaonea huruma Brighton 🤠🤠...yaani kila wakitaka kutoka wanakwama...walikula ngeta moja metata sana mpk De Zerbi akawa anashangaashangaa haelewi kinachoendelea
 
Brighton wamekua na matokeo mabovu hivi karibuni mpaka siku hizi hausikii De Zerbi akifananishwa na Arteta wala hawaendi kusikiliza falsafa zake za mpira.

Ila walikuja na kuamua kutaka kufufukia kwetu. Yule Enciso kwangu alikua wa moto ila De Zerbi akamtoa, Jesus big chances 3 zote kamiss, mwanetu Kai ana shortcomings ila assist na goli vimeziba shortcomings zingine.

Our lethality in front of a goal is seriousl questionable at this point. Zingatia tupo kwenye title run, mwisho tutakuta wachezaji wetu wanaitwa Maagent kama Erik kichwa ngumu anavyosemwa ni jasusi toka Ajax
 
Yan Clean sht inashangiliwa hadi na Trossard nimeshangaa sana leoView attachment 2955975
Usiwapangie watu furaha Yao mkuu.......let them celebrate...that is what they train and play for!......kwanini wasipongezane kwa kazi nzuri ya kumlinda kipa wao aondeke na clean sheet?........yaan hapo wametimiza jukumu lao kama forward anapofunga TU....wewe unaumia Nini sasa........umeangalia game ya city....umeona Ortega alivyouchukua ule mpira kwa nyuma akiwa under pressure?.......washabiki wakati mwingine tunapenda kuona moment kama hizo....let people enjoy the game.... don't kill joy!
 
Usiwapangie watu furaha Yao mkuu.......let them celebrate...that is what they train and play for!......kwanini wasipongezane kwa kazi nzuri ya kumlinda kipa wao aondeke na clean sheet?........yaan hapo wametimiza jukumu lao kama forward anapofunga TU....wewe unaumia Nini sasa........umeangalia game ya city....umeona Ortega alivyouchukua ule mpira kwa nyuma akiwa under pressure?.......washabiki wakati mwingine tunapenda kuona moment kama hizo....let people enjoy the game.... don't kill joy!
Umeongea maneno mengi yasiyo na maana kwangu
 
Mikel anasema Kai amebadili mfumo wa Arsenal,kwasasa hakuna wakumtoa pale CF, Jesus imebidi arudi pembeni akapambanie namba kwa Martinelli na Saka ,

Kai as CF anachofanya ni ngumu kuona usipokuwa makini


Ni mcheza rafu za kimya kimya kwa mabeki, urefu wake unawasumbua sana mipira ya juu ,mabeki hawapend hicho kitu


Silaha yake kubwa ni movement,

Nilimtabiria Goli 15 all competition


Hadi sasa nadhani ana goli 13 kama sikosei

Assist 5


G/A 18 hivi Hadi sasa

Arteta anasema Bado hajampata Kai anayemtaka

Reminder that,Kai ana miaka 24 tu Bado hajafikia peak yake ,


Kitu kingine Kai , Availability yake ni kubwa ,huwezi kusikia eti ana injury,
20240406_235820.jpg
 
Back
Top Bottom