hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,642
Njia yetu ya UCL ni ngumu nusu fainal ,
Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana
Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja
Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,
Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid
Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid
Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana
Binafsi hata kabla makundi hayajapangwa nimekuwa namuomba Madrid huyu nammudu vzr sana
Mancity vs Arsenal ni mechi ya mbinu na commitment kubwa , hutakiwi kusinzia hata dakika moja
Tukifika Fainal basi kazi imeisha ,
Fainal tutakutana na PSG ,Barca au Atletico Madrid
Mziki upo nusu ambapo naona kabisa Mancity anaenda kumla kichwa Madrid
Kama Madrid atapita basi nacheza Wembley mapema sana