Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna kitu inaninyima amani kama kuwaona mashabiki wa Arsenyau wakiwa na furaha, starehe yangu kubwa ni kuyaona maArsenyau yana hasira na huzuni humu kila inapofika mwisho wa msimu
Unaambiwa siku hizi wachawi sio wazee tena. Hii inatufundisha ukikosa unaanza kuwa mwanga
 
Kesho Bruno atacheza beki 2🤠🤠...halafu Ten Hag akipata hata draw kwny press atakumbushia tena ile mechi ya Emirates kwmba bila VAR angeshinda ile game🤠🤠
We jamaa aisee unamjua vizuri sana 7hag. Watapigwa kinoma lakini kwenye press baada ya mechi atasema walitawala mchezo na walistahili kushinda, na atasema kuwa hata ile mechi ya Arsenal walitakiwa washinde .
 
0-3 vs. Brighton
2-0 vs. Luton
0-0 vs. Man City
2-1 vs. Brentford
0-6 vs. Sheffield Utd
4-1 vs. Newcastle
0-5 vs. Burnley
0-6 vs. West Ham
3-1 vs. Liverpool
1-2 vs. Nottingham Forest
5-0 vs. Crystal Palace

31/33 #PL points in 2024 for Arsenal.
 
Flano Friends wenu huku
IMG-20240406-WA0037.jpg
 
Kai Havertz's game by numbers vs. Brighton [RANK]:

100% tackles won []
4 chances created []
2 big chances created []
2 shots []
1 assist []
1 goal []

MOTM.
KAI bado ana mambo ya kipuuzi. Dribbling yake hainifurahishi bado na awereness yake ya space iliyomzunguka bado iko chini. Kuna mipira anapewa nategemea atageuka aelekee golini tuanzishe maana yuko peke yake in acres of space, yeye anarudisha mpira nyuma. Pasi ya kupiga chini ya kasi, yeye anachop mpira na unasonga taratibu mpaka mpinzani ana intercept. Mpinzani asipouwahi basi mchezaji wetu anayepokea pasi ana kazi ya kucontrol ndiyo aweze kusonga nao. Mimi leo nilikuwa najisemea kuwa jamaa ni kama Chamakh tu 😄😄😄

Ila nimependa vingi tu kwake leo, ikiwemo kufunga na assist.
 
Kai Havertz on what it means to prove his haters wrong:

“A lot! I mean it’s part of the game. There’s always people that don’t like you or speak bad about you. I accepted it. You cannot make everyone happy. I try to make myself happy and the people that are important to me.”
 
Kai Havertz on what it means to prove his haters wrong:

“A lot! I mean it’s part of the game. There’s always people that don’t like you or speak bad about you. I accepted it. You cannot make everyone happy. I try to make myself happy and the people that are important to me.”
Huyu jamaa ntakula nae sahani moja mpaka aanze kucheza jinsi nnavyoona anatakiwa kucheza (kamix ka Henry, Giroud na Van Persie flani hivi)
 
Huyu jamaa ntakula nae sahani moja mpaka aanze kucheza jinsi nnavyoona anatakiwa kucheza (kamix ka Henry, Giroud na Van Persie flani hivi)
kwenye ku dribble utamuonea ,hiyo kazi haiwezi

Wewe mpe kazi tu ya kuwasumbua mabeki wanaojifanya wajuaji


Kai ni mrefu sana futi 6 na inchi kadhaa

Halafu sio lain kama wengi wanavyodhani ,


Halafu ni mcheza rafu mzuri sana za kimya kimya ,

Hakuna beki anafurahia kucheza na Kai
 
Liver Akijichanga akateteleka kwa Droo tuu Amekwisha, Narudia tena AMEKWISHAAAA..

Kwenye points Tukiwa Squared tuu, Hana chake, iwe
Kwa H2H au Goal Differences.
 
Ki
KAI bado ana mambo ya kipuuzi. Dribbling yake hainifurahishi bado na awereness yake ya space iliyomzunguka bado iko chini. Kuna mipira anapewa nategemea atageuka aelekee golini tuanzishe maana yuko peke yake in acres of space, yeye anarudisha mpira nyuma. Pasi ya kupiga chini ya kasi, yeye anachop mpira na unasonga taratibu mpaka mpinzani ana intercept. Mpinzani asipouwahi basi mchezaji wetu anayepokea pasi ana kazi ya kucontrol ndiyo aweze kusonga nao. Mimi leo nilikuwa najisemea kuwa jamaa ni kama Chamakh tu 😄😄😄

Ila nimependa vingi tu kwake leo, ikiwemo kufunga na assist.
Kifupi ubovu wa kai unafichwa na matokeo ya arsenal.
Kai ana matatizo mengi kuliko mazuri yake.
 
999 chatta acha kuudanganya umma, hapa duniani hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa wadangaji, ukiliona lidangaji linajifanya linakupenda sana tambua tu kua linataka kukuchuna
Sisi mashabiki wa Unyumbuni tayari tumeshasema kesho Liverpunda atakua on the top of table.
Ni fedheha kubwa sana kwa ligi kuu ya Uingereza kuongozwa na katimu kama kaArsenyau katika mechi za mwisho za ligi.
Labda nyie manyumbu wa bongo.....Ila pale viunga vya Jiji la Manchester ni matusi makubwa sana untd kudhalilishwa na livakuku
 
Huyu jamaa ntakula nae sahani moja mpaka aanze kucheza jinsi nnavyoona anatakiwa kucheza (kamix ka Henry, Giroud na Van Persie flani hivi)
Mkuu...ukiniwekea hapa Kai na Ozil kwa ligi ya sasa naenda na Kai🤠🤠....Ozil ni fundi na anakuamulia mechi yyte ila Kai kama kuna vita sehemu mchukue nenda naye...na uleule wembamba wake mnaenda kuibuka washindi kwny hyo vita....wamerudi wachezaji wte ila bdo yupo first eleven...na hatokaa atoke...haumii hovyohovyo....na anacheza faulo za akili sana...hyu inatakiwa Chelkenge tuwaongezee hata aftatu maana tumewapiga kwny bei
 
Back
Top Bottom