makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,853
- 103,977
Tutaweka hata chipsi kuku tu, 😂
Tutaweka hata chipsi kuku tu, 😂
Hii tumerudisha kwenye redio au vipindi vya michezo 😂Kai ameingia kambani wakuu ngoma ipo extra timeView attachment 2966850
watu wataomba poo spurs na wakina wolves kazi wanayoCity nae katolewa kwa penalties, hasira zake zote anaenda kumalizia kwenye ligi
Pole yao wale ambao wana mechi za ligi na City.
Arteta amekuwa kama MUNG'UNYA
Mwanzo fresh linakuja kuharibikia mwishoni kabisana huyu kai wake ndio anatuharibu.
Kesho masheikh wenzangu woote tukutane viwanja vya biafra kutakuwa na dua maalum ya kumpiga kai na kitu kizito atuachie timu yetu, hatuwezi kukosa amani kisa jamaa mmoja mwenye miguu kama ndege john![]()
Kai kabla ya kupasiwampira ni kijana, akipasiwa tu ni kibabu cha miaka 70, hajiwezi, anakimbia kama ana kibunzi makalioni...
Yote kwa yote bado tuna chama la matumaini ni marekebisho tu mpaka tutakaa sawa, ni bora arsenal ya sasa maumivu mara moja moja kuliko ile ya misimu kadhaa nyuma, unakunywa panadol kabla ya game na katikati ya game na baada ya game.![]()


Masterclass in failure.Arteta amekuwa kama MUNG'UNYA
Mwanzo fresh linakuja kuharibikia mwishoni kabisana huyu kai wake ndio anatuharibu.
Kesho masheikh wenzangu woote tukutane viwanja vya biafra kutakuwa na dua maalum ya kumpiga kai na kitu kizito atuachie timu yetu, hatuwezi kukosa amani kisa jamaa mmoja mwenye miguu kama ndege john![]()
Kai kabla ya kupasiwampira ni kijana, akipasiwa tu ni kibabu cha miaka 70, hajiwezi, anakimbia kama ana kibunzi makalioni...
Yote kwa yote bado tuna chama la matumaini ni marekebisho tu mpaka tutakaa sawa, ni bora arsenal ya sasa maumivu mara moja moja kuliko ile ya misimu kadhaa nyuma, unakunywa panadol kabla ya game na katikati ya game na baada ya game.![]()





Arsenal kumejaa matapeli wa mpira 😂Mchawi leo umechelewa kuingia kilingeni 😂😂😂
Kivumbi 😂😂
Msimu ujao upi mzee.? Kila siku n msimu ujao msimu ujao lkn hakuna jipya acha kuwapa imani ya uongo.Poleni sana GUNNERS mjipange msimu ujao bado mna timu nzuri sana
Msimu ujao upi mzee.? Kila siku n msimu ujao msimu ujao lkn hakuna jipya acha kuwapa imani ya uongo.









Sisi tunaenjoy n tumeridhika alipotutoa na sasa tulipo ni PAKUBWA MNOOOOMasterclass in failure.
Tafuteni kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu mtaishia kua ni wasindikizaji tu huku mkihadaiwa na phase zisizoisha.