Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta amekuwa kama MUNG'UNYA 😂🤣🤣

Mwanzo fresh linakuja kuharibikia mwishoni kabisa 🤣😂 na huyu kai wake ndio anatuharibu.

Kesho masheikh wenzangu woote tukutane viwanja vya biafra kutakuwa na dua maalum ya kumpiga kai na kitu kizito atuachie timu yetu, hatuwezi kukosa amani kisa jamaa mmoja mwenye miguu kama ndege john😂

Kai kabla ya kupasiwampira ni kijana, akipasiwa tu ni kibabu cha miaka 70, hajiwezi, anakimbia kama ana kibunzi makalioni...


Yote kwa yote bado tuna chama la matumaini ni marekebisho tu mpaka tutakaa sawa, ni bora arsenal ya sasa maumivu mara moja moja kuliko ile ya misimu kadhaa nyuma, unakunywa panadol kabla ya game na katikati ya game na baada ya game.🤣😂
 
Madrid huwa anahitaji 1% ya bahati kupita

na huwa hawapendi zarau na Mazoea na kombe lao hilo
 
IMG_0760.jpeg
 
Arteta amekuwa kama MUNG'UNYA

Mwanzo fresh linakuja kuharibikia mwishoni kabisa na huyu kai wake ndio anatuharibu.

Kesho masheikh wenzangu woote tukutane viwanja vya biafra kutakuwa na dua maalum ya kumpiga kai na kitu kizito atuachie timu yetu, hatuwezi kukosa amani kisa jamaa mmoja mwenye miguu kama ndege john

Kai kabla ya kupasiwampira ni kijana, akipasiwa tu ni kibabu cha miaka 70, hajiwezi, anakimbia kama ana kibunzi makalioni...


Yote kwa yote bado tuna chama la matumaini ni marekebisho tu mpaka tutakaa sawa, ni bora arsenal ya sasa maumivu mara moja moja kuliko ile ya misimu kadhaa nyuma, unakunywa panadol kabla ya game na katikati ya game na baada ya game.
Masterclass in failure.
Tafuteni kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu mtaishia kua wasindikizaji tu huku mkihadaiwa na phase zisizoisha.
 
Arteta amekuwa kama MUNG'UNYA

Mwanzo fresh linakuja kuharibikia mwishoni kabisa na huyu kai wake ndio anatuharibu.

Kesho masheikh wenzangu woote tukutane viwanja vya biafra kutakuwa na dua maalum ya kumpiga kai na kitu kizito atuachie timu yetu, hatuwezi kukosa amani kisa jamaa mmoja mwenye miguu kama ndege john

Kai kabla ya kupasiwampira ni kijana, akipasiwa tu ni kibabu cha miaka 70, hajiwezi, anakimbia kama ana kibunzi makalioni...


Yote kwa yote bado tuna chama la matumaini ni marekebisho tu mpaka tutakaa sawa, ni bora arsenal ya sasa maumivu mara moja moja kuliko ile ya misimu kadhaa nyuma, unakunywa panadol kabla ya game na katikati ya game na baada ya game.
 
Masterclass in failure.
Tafuteni kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu mtaishia kua ni wasindikizaji tu huku mkihadaiwa na phase zisizoisha.
Sisi tunaenjoy n tumeridhika alipotutoa na sasa tulipo ni PAKUBWA MNOOOO

Mengine ni furahisha genge, nae ni binadau lazima akosee lakini mazuri na makosa yake haviendani, mazuri yake mengi mnoooo
 
Wazee wa overload. positional play, inverted pressing na aerial duels won sijui watakuwa wana hali gani uko waliko. Ndani ya wiki moja wanapoteza matumaini ya makombe 2 mfululizo. Rudini Dubai mkafanye mazoezi yenu ya kunyanyua vyuma tena.

Kusema kweli Arsenal wanalazimisha kucheza sexy football isiyowanufaisha kimatokea hasa mechi kubwa na muhimu kama hizi. Wanamiliki mipira na vipasi vingi visivyokuwa na maana, kila wakati wana recycle mipira tu na mbinu yao inakuwa ile ile kila mara.

Leo mganga wa Trossard naona hajaamka vizuri hivyo tukutane msimu ujao
 
Back
Top Bottom