HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Unajua nini bro...Mkuu...ukiniwekea hapa Kai na Ozil kwa ligi ya sasa naenda na Kai🤠🤠....Ozil ni fundi na anakuamulia mechi yyte ila Kai kama kuna vita sehemu mchukue nenda naye...na uleule wembamba wake mnaenda kuibuka washindi kwny hyo vita....wamerudi wachezaji wte ila bdo yupo first eleven...na hatokaa atoke...haumii hovyohovyo....na anacheza faulo za akili sana...hyu inatakiwa Chelkenge tuwaongezee hata aftatu maana tumewapiga kwny bei
Ushasikia mtu anaitwa "kibonge mwepesi"? Yaani mtu ana mwili lakini matendo yake katika mambo flani hayaendani na mwili wake na kukushangaza?
Kai naye anakitu kama ukibonge wepesi kwa jinsi alivyo alivyo tu. Kwa wembamba wake anaonekana kama hana nguvu lakini anazo vizuri tu na anaenda bega kwa bega na kina VVD.
Anavyokimbia ni kama hana mbio lakini anazo. Anaopopokea mipira anaonekana kama hana ball control nzuri ila ball control yake si haba (tena sometimes anakuwa under pressure ya mabeki).
Anakasura ka upole na ka kizembe zembe ila uwanjani jamaa ni mhuni mhuni na katili, kama Saliba na Gabriel. Nilishangaa kuona jamaa ana kadi 8 za njano. Marefa wakimuadhibu kwa faulo au kumpa kadi unaona kama wanamuonea.
Maybe, kama ilivyokuwa kwa Ozil, jinsi jamaa alivyo alivyo tu unawafanya watu wa mjudge tofauti na uhalisia. Ndiyo maana mimi najitahidi kuangalia uchezaji wake zaidi ya jinsi alivyo alivyo, na kuna mambo jamaa huwa anafanya yanaudhi mashabiki balaa 😄.
Nilishakiri kuwa miongoni mwa wasiomkubali Kai na huwa natafuta na kuona machache mabaya anayofanya kwenye game kati ya mengi mazuri anayofanya 😄😄

0-3 vs. Brighton
0-0 vs. Man City