Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu...ukiniwekea hapa Kai na Ozil kwa ligi ya sasa naenda na Kai🤠🤠....Ozil ni fundi na anakuamulia mechi yyte ila Kai kama kuna vita sehemu mchukue nenda naye...na uleule wembamba wake mnaenda kuibuka washindi kwny hyo vita....wamerudi wachezaji wte ila bdo yupo first eleven...na hatokaa atoke...haumii hovyohovyo....na anacheza faulo za akili sana...hyu inatakiwa Chelkenge tuwaongezee hata aftatu maana tumewapiga kwny bei
Unajua nini bro...

Ushasikia mtu anaitwa "kibonge mwepesi"? Yaani mtu ana mwili lakini matendo yake katika mambo flani hayaendani na mwili wake na kukushangaza?

Kai naye anakitu kama ukibonge wepesi kwa jinsi alivyo alivyo tu. Kwa wembamba wake anaonekana kama hana nguvu lakini anazo vizuri tu na anaenda bega kwa bega na kina VVD.
Anavyokimbia ni kama hana mbio lakini anazo. Anaopopokea mipira anaonekana kama hana ball control nzuri ila ball control yake si haba (tena sometimes anakuwa under pressure ya mabeki).

Anakasura ka upole na ka kizembe zembe ila uwanjani jamaa ni mhuni mhuni na katili, kama Saliba na Gabriel. Nilishangaa kuona jamaa ana kadi 8 za njano. Marefa wakimuadhibu kwa faulo au kumpa kadi unaona kama wanamuonea.

Maybe, kama ilivyokuwa kwa Ozil, jinsi jamaa alivyo alivyo tu unawafanya watu wa mjudge tofauti na uhalisia. Ndiyo maana mimi najitahidi kuangalia uchezaji wake zaidi ya jinsi alivyo alivyo, na kuna mambo jamaa huwa anafanya yanaudhi mashabiki balaa 😄.

Nilishakiri kuwa miongoni mwa wasiomkubali Kai na huwa natafuta na kuona machache mabaya anayofanya kwenye game kati ya mengi mazuri anayofanya 😄😄
 
Zile dakika tano za mwsho kipindi cha kwanza...kuna mbinyo ulipigwa pale mpk nikawaonea huruma Brighton 🤠🤠...yaani kila wakitaka kutoka wanakwama...walikula ngeta moja metata sana mpk De Zerbi akawa anashangaashangaa haelewi kinachoendelea
Arsenal waliniudhi sana kwa kutofunga bao katika ule mbinyo aisee.
 
kwenye ku dribble utamuonea ,hiyo kazi haiwezi

Wewe mpe kazi tu ya kuwasumbua mabeki wanaojifanya wajuaji


Kai ni mrefu sana futi 6 na inchi kadhaa

Halafu sio lain kama wengi wanavyodhani ,


Halafu ni mcheza rafu mzuri sana za kimya kimya ,

Hakuna beki anafurahia kucheza na Kai
Kai ananikumbusha mimi nilivyokuwa shule nilikuwa mpole sana mpaka sikuweza kufikiriwa kuhusishwa na vitendo vyovyote visivyo sawa vya wanafunzi.

Kuna siku mwalimu mmoja aliniudhi nikarivenji kwa kumuaribia mali yake flani. Baadae nikakutana nae akiwa amesikitika sana na akaanza kunieleza jinsi kuna mwanafunzi ameharibu mali yake, mimi namsikiliza tu. Akaniambia kabisa "Halafu HENRY14, namjua kabisa ni nani amefanya hivyo, na nitakachomfanya, maji ataita mma". Mimi nikampa pole pale nikamuaga nikasepa zangu.

Huwezi kudhani kama Kai ana kauhuni uwanjani.
 
Kai ananikumbusha mimi nilivyokuwa shule nilikuwa mpole sana mpaka sikuweza kufikiriwa kuhusishwa na vitendo vyovyote visivyo sawa vya wanafunzi.

Kuna siku mwalimu mmoja aliniudhi nikarivenji kwa kumuaribia mali yake flani. Baadae nikakutana nae akiwa amesikitika sana na akaanza kunieleza jinsi kuna mwanafunzi ameharibu mali yake, mimi namsikiliza tu. Akaniambia kabisa "Halafu HENRY14, namjua kabisa ni nani amefanya hivyo, na nitakachomfanya, maji ataita mma". Mimi nikampa pole pale nikamuaga nikasepa zangu.

Huwezi kudhani kama Kai ana kauhuni uwanjani.
Kai anacheza rafu sana ,halafu mpole sana, VVD na Konate wanamjua vzr alichowafanya

Kai off the ball ni mzuri zaidi kuliko hata akiwa na mpira

Anafanya movement nyingi sana za kuwatoa watu mchezoni

Pia sio Abiria uwanjani ,anacheza false 9 lakini bila mpira anarudi katikati kabisa, Arsenal wakiwa na mpira ,sekunde yupo mbele ,


Wachezaji kama huyu ambao sio abiria uwanjani ngumu kuwanyima nafasi


Arsenal inavyocheza haihitaji mchezaji abiria kama kina mactominay, rashford,Bruno


Ndio maana hakuna mchezaji wa manjesta hata mmoja anayeingia hata benchi la Arsenal
 
Arsenal waliniudhi sana kwa kutofunga bao katika ule mbinyo aisee.
Huu hapa , wachezaji 9 walikuwa zone ya Brighton
20240406_234911.jpg
 
Unajua nini bro...

Ushasikia mtu anaitwa "kibonge mwepesi"? Yaani mtu ana mwili lakini matendo yake katika mambo flani hayaendani na mwili wake na kukushangaza?

Kai naye anakitu kama ukibonge wepesi kwa jinsi alivyo alivyo tu. Kwa wembamba wake anaonekana kama hana nguvu lakini anazo vizuri tu na anaenda bega kwa bega na kina VVD.
Anavyokimbia ni kama hana mbio lakini anazo. Anaopopokea mipira anaonekana kama hana ball control nzuri ila ball control yake si haba (tena sometimes anakuwa under pressure ya mabeki).

Anakasura ka upole na ka kizembe zembe ila uwanjani jamaa ni mhuni mhuni na katili, kama Saliba na Gabriel. Nilishangaa kuona jamaa ana kadi 8 za njano. Marefa wakimuadhibu kwa faulo au kumpa kadi unaona kama wanamuonea.

Maybe, kama ilivyokuwa kwa Ozil, jinsi jamaa alivyo alivyo tu unawafanya watu wa mjudge tofauti na uhalisia. Ndiyo maana mimi najitahidi kuangalia uchezaji wake zaidi ya jinsi alivyo alivyo, na kuna mambo jamaa huwa anafanya yanaudhi mashabiki balaa 😄.

Nilishakiri kuwa miongoni mwa wasiomkubali Kai na huwa natafuta na kuona machache mabaya anayofanya kwenye game kati ya mengi mazuri anayofanya 😄😄
Na hii ndo modern football inavyotaka...Mwalimu anachokutuma unakifanya🤠🤠..hawezi kuwa na quality kama ya Henry au Van Persie au Ozil...lakini ukimwambia nataka wale mabeki 2 wa pale kati wasiwe na siku nzuri basi watakuwa na siku mbaya siku hiyo🤠🤠....unapofanya chaos unatengeneza room of error kwa timu pinzani mara nyingi na hiyo Ina create nafasi kwa timu yako....angalia magoli mengi ya Arsenal msimu huu...kama hajahusika kwny kufunga au kutoa assist basi either mpira ulipita kwake au kuna room of error aliilazimisha kwa timu pinzani....na hiki ndo kinamfanya awe panga pangua hakosekani uwanjani
 
Ki

Kifupi ubovu wa kai unafichwa na matokeo ya arsenal.
Kai ana matatizo mengi kuliko mazuri yake.
Nadhani uko sahihi pia. Tunabebana. Nataka mengi zaidi kutoka kwa Kai. Na siku hizi nawadai zaidi Martinelli, Saka, Trossard, Jesus na Odegaard. Naamini wako gia #3 na wanaweza kwenda #4 na #5.
 
Ww Sasa naona una kakampeni Kako🤠🤠...wachezaji Wana miili ya kawaida kama sisi ila Wana mazoezi sana..Sasa huku kuwadai kwako unataka wacheze kama Shaolin soccer sio🤓🤓...watazidi ku improve as long as wapo pale jino kwa jino na mandevu Klopp....yaani huu mbinyo tunaoutoa na pressing anayofanya Odegaard especially kama jana na yy bdo unamsakama....nimekushindwa mkuu
Nadhani uko sahihi pia. Tunabebana. Nataka mengi zaidi kutoka kwa Kai. Na siku hizi nawadai zaidi Martinelli, Saka, Trossard, Jesus na Odegaard. Naamini wako gia #3 na wanaweza kwenda #4 na #5.
 
Saka is too good. Mechi zake 3 mpaka 5 za mwisho huenda sio Saka yule tunayemjua, maybe anatupa 65% ya kiwango chake.

Lakini hiyo 65% ndo same na 100% ya baadhi ya wachezaji wa timu fulani fulani hivi
 
Ww Sasa naona una kakampeni Kako🤠🤠...wachezaji Wana miili ya kawaida kama sisi ila Wana mazoezi sana..Sasa huku kuwadai kwako unataka wacheze kama Shaolin soccer sio🤓🤓...watazidi ku improve as long as wapo pale jino kwa jino na mandevu Klopp....yaani huu mbinyo tunaoutoa na pressing anayofanya Odegaard especially kama jana na yy bdo unamsakama....nimekushindwa mkuu
hahahahaha hapana bro. Mimi si nawaona uwanjani...najua wanaweza kufanya mambo.
Labda nimemiss tu kupiga watu 5-0 na 6-0. Jana Brighton alipaswa kula angalau 5.
 
De Zerbi "The penalty was clear..."

Angekuwa yule fraud mwenye Kipara, angeleta blaah blaah kama zote
20240407_091215.jpg
 
0-3 vs. Brighton
2-0 vs. Luton
0-0 vs. Man City
2-1 vs. Brentford
0-6 vs. Sheffield Utd
4-1 vs. Newcastle
0-5 vs. Burnley
0-6 vs. West Ham
3-1 vs. Liverpool
1-2 vs. Nottingham Forest
5-0 vs. Crystal Palace

31/33 #PL points in 2024 for Arsenal.

To make stats clear:
11 matches;
38 goals scored
04 goals conceded
07 clean sheets
01 goal conceded away from home
3.5 average goals per game

On top of the premier league table, ladies and gentlemen this is Asenali!!
 
Kuwashabikia man u Leo nikutafuta magonjwa ya moyo yasiyo na lazima, Mabeki wao waliofit ni Maguire na kambwala , Wana abiria sio chini ya wanne ,

Plus mbinu za Erik Ten hag, kila baada ya dk 1 wanapelekewa moto

Kama unataka kumuona Prof. Janabi ,shabikia Manjesta leo
 
Msimu jana tulimaliza ligi na points 84, GD 45.

Msimu huu mpaka sasa tuna points 71, GD 51.

Tukishinda mechi zote zilizobakia tutamaliza na points 92.

Pamoja na kuchelewa kuwasha moto msimu huu ukichangiwa na dhulma za marefa na kushuka form kidogo, naweza kusema kuna mambo mazuri msimu huu yametokea ya kufanya tuseme tunazidi kupanda.

Tukimaliza na points nyingi zaidi ya msimu jana itakuwa poa sana. Tukibeba kombe itakuwa poa zaidi. Ila tusishindwe kutambua kuwa tunapanda na tunapaswa kuendelea kukomaa na kupanda zaidi.
 
Back
Top Bottom