Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe jamaa unaongeaga ukweli mchungu sana ambao asilimia kubwa ya mafalse hopes ya humu hua hayapendi kuusikia, mara nyingi hua unaongelea uhalisia wa timu yenu ilivyo kitu ambacho kinasababisha wanazi wasiopenda kusikia madhaifu ya timu yao wakuchukie, humu wengi wanataka kusikia mazuri ya timu tu, ukiongelea mapungufu watu wanakuona ni mamluki au haujui kitu kuhusu mpira.
Sitaki kuamini kujenga timu ni rahisi namna hiyo
 
Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.
 
Msijali msimu ujao kwenye phase 5 mnaenda kukutana nae Madrid, Madrid atachagua mwenyewe apaki basi atolewe kwenye michuano kistaarabu au apishane na Teta ball achezee kono la nyani
Bado naamini Arsenal tim kubwa msimu wa kwanza CL tumetinga robo
 
Mnachojua ni kufuga makalio tu, wajalaana nyie
Screenshot_20240324-115801_Chrome.jpg
 
Yani hawa watoto wasiokua!!!!! Utasikia kwamba "Mwakani tuatakua na Kikosi kizuri zaidi na tutachukua Champion League". Wengine utakuta wameshaenda kujificha Mapangoni tayari. Hali ikishatulia watakuja humu na kuendelea kufarikiana tena eti wanakikosi kipana.
 
Hongereni gunners, ni sehemu ya mpira. Huenda makosa yalitendeka first leg, tungetoka na positive results emirates ingekuwa rahisi huko Allianz arena kuwadhibiti.

Our time will come, that's for sure!!
 
Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.

Si amini kama na msimu huu mnatoka mikono mitupu. Pamoja na kuwa kwenye Pick form lakini makombe yote mnaziacha ivi ivi hapana aisee. Fanyeni juu chini mchukue ipielo lasivyo hamtakuwa na utofauti na burnley anaeshuka daraja
 
Hivi kweli dunia nzima ina watu Bilioni nane. Nyie kwenye kutafuta attacking mid wa maaana mkaona Odegaard if all the players in the world kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom