Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,607
- 2,441
Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.
Bado naamini Arsenal tim kubwa msimu wa kwanza CL tumetinga roboMsijali msimu ujao kwenye phase 5 mnaenda kukutana nae Madrid, Madrid atachagua mwenyewe apaki basi atolewe kwenye michuano kistaarabu au apishane na Teta ball achezee kono la nyani
![]()
Huu sio msimu wenu wa kwanza CL acheni kudanganyana humu, kikubwa mshukuru tu siku hizi Wajerumani wameanza kua wastaarabu tofauti na miaka 8 iliyopita walipowagonga goli 10.Bado naamini Arsenal tim kubwa msimu wa kwanza CL tumetinga robo
Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.


Kweli Kabisa Asenyo ni timu kubwa sana duniani ambayo haijawahi kubeba kombe lolote la Ulaya zaidi ya kua wasindikizaji.Wanangu mnamaliza phase4 mikono mitupu, kweli nimeamini phasé 5 ndio phase ya makombe
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Mateka makombe yenu yatakua ni pressing na overloading tu.
#Poor Arsenyo
Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.
. Pamoja na kuwa kwenye Pick form lakini makombe yote mnaziacha ivi ivi hapana aisee. Fanyeni juu chini mchukue ipielo lasivyo hamtakuwa na utofauti na burnley anaeshuka daraja🤣🤣🤣Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.
Cheki huyu kukuMjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.




