Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,497
- 2,219
Sitaki kuamini kujenga timu ni rahisi namna hiyoWewe jamaa unaongeaga ukweli mchungu sana ambao asilimia kubwa ya mafalse hopes ya humu hua hayapendi kuusikia, mara nyingi hua unaongelea uhalisia wa timu yenu ilivyo kitu ambacho kinasababisha wanazi wasiopenda kusikia madhaifu ya timu yao wakuchukie, humu wengi wanataka kusikia mazuri ya timu tu, ukiongelea mapungufu watu wanakuona ni mamluki au haujui kitu kuhusu mpira.




. Pamoja na kuwa kwenye Pick form lakini makombe yote mnaziacha ivi ivi hapana aisee. Fanyeni juu chini mchukue ipielo lasivyo hamtakuwa na utofauti na burnley anaeshuka daraja