Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Odegard fundi zaidi
Alkifika peak ni zaidi ya KDB,,
Maneno ya walevi haya
Alkifika peak ni zaidi ya KDB,,
Maneno ya walevi haya
| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal:
“Of course they have the weak points. I'm not going to tell what we are going to do.
“If they are the favourites (to win the Champions League) they need to show us they are one of the favourites.”
[Hayters TV]
Hii comment nitaji-tag mida ya saa 6 usiku
Wenger orphans na akili ni vitu viwili tofauti kabisa.Porto huko walipo wanajiuliza watawazuia vipi saka, martianeli, Kai na odegard?
Na kinachowaumiza zaidi watatoboa vipi ukuta wa arsenal?
View attachment 2908062
Imedhaminiwa na umoja wa Nyumbu na Kenge


Porto achague moja. Aje mbele ale za uso au akae nyuma akinge za uso. Uamuzi ni wake!View attachment 2911368
Arteta alisema sahihi leo mchana.
Arsenal hatuna uzoefu ila tuna imani.
Our best playmaker ni Raya, forwards wanafanya bluff runs ila Odegaard hapeleki long balls (juzi tunamuongelea Kelvin)
Wingers hawajaonyesha creativity.
Porto wanacheza na macho ya refa kwa ufasaha kutuzidi.
Ngoja tukusaidie kutag🔥😂| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal:
“Of course they have the weak points. I'm not going to tell what we are going to do.
“If they are the favourites (to win the Champions League) they need to show us they are one of the favourites.”
[Hayters TV]
Hii comment nitaji-tag mida ya saa 6 usiku

Wenger orphans bwana hapa saizi tumaini lao ni moja tu kuwa watamaliza game nyumbani sasa kama porto mmeshindwa kupiga hata on target hata moja je mtauweza mziki wa inter milan au atletco madrid kweli.😂😂😂😂😂Hayo ni makombe ya wanaume Asenyau walitolee wapi?
Labda waliibe, asenyo makombe yao ni haya hapaView attachment 2911343
wapi mkorea| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal:
“Of course they have the weak points. I'm not going to tell what we are going to do.
“If they are the favourites (to win the Champions League) they need to show us they are one of the favourites.”
[Hayters TV]
Hii comment nitaji-tag mida ya saa 6 usiku


ili jukwaa ni la comedy sana inabidi wasafi iwe inakuja kuchukua vipaji hapa kuvipeleka kwenye cheka tu.Positional play ni zile movement za Kai, ode na Trossad
Overlap ni movement za white kwa saka
Overload ni pale white anapoingia midfield
Porto akipigwa chini ya tatu, niulizwe mimiView attachment 2910943




Pingapinga akina Mkorea wanakwambia tunashinda tuNikikumbuka wakati pinga pinga fans niliposema Porto anaweza kutuletea matatizo wakawa wanakuja na maelezo ya mambo ya system ya uchezaji huku wanabisha kuwa timu tishio UCL ni Real Madrid and Manchester City naishia kucheka tu anyway we still have 90 minutes pale Emirates za kucheza sema Arsenal ataingia na presha ya kutaka results na Porto atakuwa anacheza counter attack sijui itakuwaje?but lazima game tuiangalie COYG!
Ndio maana tunawaita FALSE HOPES F.CCopy and paste:
I don't think Arsenal did a lot wrong and I don't think 1-0 will be enough for Porto going to the Emirates.
You have to credit Porto, they had an excellent defensive structure, worked really hard, Arsenal matched them in those areas to be fair.
At 0-0 there is always that potential for a deflection or a wonder goal like we've seen tonight. It was a wonder strike from Galeno
Kwa nilichoona janaNikikumbuka wakati pinga pinga fans niliposema Porto anaweza kutuletea matatizo wakawa wanakuja na maelezo ya mambo ya system ya uchezaji huku wanabisha kuwa timu tishio UCL ni Real Madrid and Manchester City naishia kucheka tu anyway we still have 90 minutes pale Emirates za kucheza sema Arsenal ataingia na presha ya kutaka results na Porto atakuwa anacheza counter attack sijui itakuwaje?but lazima game tuiangalie COYG!
La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
KDB yupo kwenye level nyingine, kuna vitu inabidi uweke ushabiki pembeni ili uone uhalisia wa vitu. Siyo Bruno wala Ø anafikia uwezo alionao KDB.La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
Vijana wangu mlioanza kushabikia arsenal miaka ya 2010s msiache kuwa mnasoma hii post. Itakuwa inawasaidia from time to time.Hapa duniani timu ninayoipenda kuliko zote ni Arsenal FC ikifuatiwa na Simba SC na national teams za Tanzania na France.
Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.
Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.
Barcelona iliweza kubeba makombe kwasababu walikuwa na Messi, Xavi na Iniesta, pia Puyol, Alves, Bosquet, Pique, Villa etc. Mara kadhaa walicheza kwa kasi na kupiga counter lakini mostly walitegemea hao wachezaji hatari.
Sasa hapa kwetu Arsenal kuna wachezaji sita ambao angalau wana winning mentality ni Rice, Saliba, Martinelli, Trossard, Partey na Saka. Na hawa wote ukiondoa Saliba na Rice ni normal players, sio exceptional.
Wachezaji ambao nawaona ni squad players na watakupa output ya kueleweka mostly kwenye mechi ndogo ni Odegaard, Magalhaes, White, Zinchenko, Tomiyasu na Gabriel Jesus. Nawapa muda Kiwior na Raya.
Wachezaji mizigo ni Elneny, Nelson, Havertz, Vieira, Nketiah, Rowe, Ramsdale na Soares. Hawa waondolewe haraka maana hawana faida yoyote. Akina Lokonga na Marquinhos waliopo mkopo wasirudi.
Kwahiyo katika hali hii nategemea Arsenal tutatolewa UCL kwenye robo fainali na tutaingia top 4 ya EPL kwa tabu sana. Tutatolewa FA siku chache zijazo.
Mwezi huu wa December tunaweza kupata point chache sana maana tumeshapoteza kwa aston villa na hapo bado broghton, liverpool, westham na fulham.
January apatikane beki wa kati, winga wa kulia na mshambuliaji hatari ili angalau kuokoa jahazi lisizame kuanzia February 2024.
Arteta na Edu waache kuleta wachezaji laini na waache huu mpira slow slow.