Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta alisema sahihi leo mchana.

Arsenal hatuna uzoefu ila tuna imani.

Our best playmaker ni Raya, forwards wanafanya bluff runs ila Odegaard hapeleki long balls (juzi tunamuongelea Kelvin)

Wingers hawajaonyesha creativity.

Porto wanacheza na macho ya refa kwa ufasaha kutuzidi.

Ninyi bado underdog kwenye uefa
 
[emoji2788]| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal:

“Of course they have the weak points. I'm not going to tell what we are going to do.

“If they are the favourites (to win the Champions League) they need to show us they are one of the favourites.”

[Hayters TV]

Hii comment nitaji-tag mida ya saa 6 usiku
Ngoja tukusaidie kutag🔥😂
 
Welcome back Thomas Partey

Pray for PortoView attachment 2910102
[emoji16][emoji16] Wenger orphans bwana hapa saizi tumaini lao ni moja tu kuwa watamaliza game nyumbani sasa kama porto mmeshindwa kupiga hata on target hata moja je mtauweza mziki wa inter milan au atletco madrid kweli.
Screenshot_20240222-054327.jpg
 
[emoji2788]| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal:

“Of course they have the weak points. I'm not going to tell what we are going to do.

“If they are the favourites (to win the Champions League) they need to show us they are one of the favourites.”

[Hayters TV]

Hii comment nitaji-tag mida ya saa 6 usiku
wapi mkorea [emoji16][emoji16][emoji16]ili jukwaa ni la comedy sana inabidi wasafi iwe inakuja kuchukua vipaji hapa kuvipeleka kwenye cheka tu.
 
Nikikumbuka wakati pinga pinga fans niliposema Porto anaweza kutuletea matatizo wakawa wanakuja na maelezo ya mambo ya system ya uchezaji huku wanabisha kuwa timu tishio UCL ni Real Madrid and Manchester City naishia kucheka tu anyway we still have 90 minutes pale Emirates za kucheza sema Arsenal ataingia na presha ya kutaka results na Porto atakuwa anacheza counter attack sijui itakuwaje?but lazima game tuiangalie COYG!

La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
 
Nikikumbuka wakati pinga pinga fans niliposema Porto anaweza kutuletea matatizo wakawa wanakuja na maelezo ya mambo ya system ya uchezaji huku wanabisha kuwa timu tishio UCL ni Real Madrid and Manchester City naishia kucheka tu anyway we still have 90 minutes pale Emirates za kucheza sema Arsenal ataingia na presha ya kutaka results na Porto atakuwa anacheza counter attack sijui itakuwaje?but lazima game tuiangalie COYG!
Pingapinga akina Mkorea wanakwambia tunashinda tu
Walevi wa matokeo
 
Copy and paste:

I don't think Arsenal did a lot wrong and I don't think 1-0 will be enough for Porto going to the Emirates.

You have to credit Porto, they had an excellent defensive structure, worked really hard, Arsenal matched them in those areas to be fair.

At 0-0 there is always that potential for a deflection or a wonder goal like we've seen tonight. It was a wonder strike from Galeno
Ndio maana tunawaita FALSE HOPES F.C
Hapa unaonyesha ni jinsi gani nyinyi KONDOO ni VICHWA VYA PANZI. Msimu ulopita na SPORTING LISBON mshasahau kabisa.

Porto anaweza kuja kwenu hapo, na kufanya defensive work kama ya first hapa, na shughuli ikaishia hapo.
 
Nikikumbuka wakati pinga pinga fans niliposema Porto anaweza kutuletea matatizo wakawa wanakuja na maelezo ya mambo ya system ya uchezaji huku wanabisha kuwa timu tishio UCL ni Real Madrid and Manchester City naishia kucheka tu anyway we still have 90 minutes pale Emirates za kucheza sema Arsenal ataingia na presha ya kutaka results na Porto atakuwa anacheza counter attack sijui itakuwaje?but lazima game tuiangalie COYG!

La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
Kwa nilichoona jana

Brighton
Westham
Liva
City

Zote zikicheza kama Porto alivyocheza zinaweza kuchukua points.

Against Liva au City hua wanaacha beki wawili nyuma wakiwa wanapiga kona au set piece yoyote. Porto alikua anaacha wanne na kiungo mmoja. Hupigi counter.

Saka anakutana na beki anamkaba traditional na nyuma ya huyo beki kuna mabeki wawili huku kiungo anakuja kucommit na pressing.

Mbele haendi akitoa sidewaypasi yule kiungo kafika.

Sasa Porto aliamua kupaki basi, kumsusia mpira ili afunguke ngumu ana watu wana pace si mchezo. Jorginho kwakua anagawa mipira vizuri ilibidi aingie mapema, Trossard asitoke, Jorginho afocus na kusambaza mipira ulinzi afanye Rice.

I honestly think walichotuzidi Porto ni nidhamu ya defense, roho mbaya, kumdanganya refa and then basi. That's it
 
La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
KDB yupo kwenye level nyingine, kuna vitu inabidi uweke ushabiki pembeni ili uone uhalisia wa vitu. Siyo Bruno wala Ø anafikia uwezo alionao KDB.
 
Hapa duniani timu ninayoipenda kuliko zote ni Arsenal FC ikifuatiwa na Simba SC na national teams za Tanzania na France.

Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.

Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.

Barcelona iliweza kubeba makombe kwasababu walikuwa na Messi, Xavi na Iniesta, pia Puyol, Alves, Bosquet, Pique, Villa etc. Mara kadhaa walicheza kwa kasi na kupiga counter lakini mostly walitegemea hao wachezaji hatari.

Sasa hapa kwetu Arsenal kuna wachezaji sita ambao angalau wana winning mentality ni Rice, Saliba, Martinelli, Trossard, Partey na Saka. Na hawa wote ukiondoa Saliba na Rice ni normal players, sio exceptional.

Wachezaji ambao nawaona ni squad players na watakupa output ya kueleweka mostly kwenye mechi ndogo ni Odegaard, Magalhaes, White, Zinchenko, Tomiyasu na Gabriel Jesus. Nawapa muda Kiwior na Raya.

Wachezaji mizigo ni Elneny, Nelson, Havertz, Vieira, Nketiah, Rowe, Ramsdale na Soares. Hawa waondolewe haraka maana hawana faida yoyote. Akina Lokonga na Marquinhos waliopo mkopo wasirudi.

Kwahiyo katika hali hii nategemea Arsenal tutatolewa UCL kwenye robo fainali na tutaingia top 4 ya EPL kwa tabu sana. Tutatolewa FA siku chache zijazo.

Mwezi huu wa December tunaweza kupata point chache sana maana tumeshapoteza kwa aston villa na hapo bado broghton, liverpool, westham na fulham.

January apatikane beki wa kati, winga wa kulia na mshambuliaji hatari ili angalau kuokoa jahazi lisizame kuanzia February 2024.

Arteta na Edu waache kuleta wachezaji laini na waache huu mpira slow slow.
Vijana wangu mlioanza kushabikia arsenal miaka ya 2010s msiache kuwa mnasoma hii post. Itakuwa inawasaidia from time to time.

Aina yetu ya mpira kamwe hatuwezi kubeba makombe makubwa. Kaeni chini msikilize tunachowaambia maana tumeshabikia arsenal kwa karibu miaka 30 sasa.
 
✍🏻
Unaweza kubadili mfumo lakini sio msingi wa mawazo yako ambao ni : COMPACT : Hakikisha wachezaji wanakuwa karibu karibu sana iwe kwenye kushambulia na kuzuia hii inasaidia timu kuwa imara uwanjani , FC Porto wameonesha hili kwa ustadi wa hali ya juu sana
1: Compact 4-4-2 hakuna space kabisa katikati ya mistari yao yote mitatu na kuwalazimisha Arsenal kwenda pembeni kutumia wingers
2: Uzuri kwa Porto fullbacks wao wazuri kwenye 1v1 na pia hata Arsenal wakifanikiwa kupiga krosi Pepe , Otavio na Golikipa wao Costa wanacheza mipira yote wao tu .... goli linatokea wapi ???
3: Viungo wawili wa kati Nico na Varella walikuwa muda wote wame switch ON kuzuia namba 8 wawili wa Arsenal Kai na Odegaard ( Track runners ) na hata wakipata mali wanapasia vizuri sana , ni msingi mzuri wa kufanya counter attacks
✍🏻
Arsenal walifanya kila kitu kwa usahihi , rotations za wachezaji uwanjani , Trossard akishuka , Kai anasogea juu hivyo hivyo wanabadilishana , Odegaard alishuka kuwa karibu na Rice , Ben White anasogea juu ili tu kujaribu kuharibu muundo wa ulinzi wa Porto , kufungua spaces ili wapate kupita ndani zaidi badala ya pembeni . Lakini pongezi unawapa Porto kwa ustadi wao . Porto wamefanya Arsenal wacheze vile leo hii . Full Stop
NOTE
1: Kwenye timu hutakiwi kuwa na abiria kama unataka matokeo mazuri tena kwenye mechi za daraja la juu Ulaya , Porto wamefanya hivyo
2: Odegaard akiwa na mali mguuni , kafundi sana kale kajamaa
3: Saka , Martinelli ,Trossard na Kai kazi yao ilikuwa ngumu sana leo
4: Diogo Costa : Mipira ya hewani alikuwa anaicheza vizuri sana na akiwa na mali mguuni kushoto au kulia bila wasiwasi anapiga mipira vizuri
5: Galeno kwanza alivyogongesha nguzo halafu baadae alivyomtungua Raya ... umaliziaji mzuri sana .!
6: Arsenal wamemaliza mechi bila shot on target hata moja
FT: FC Porto 1-0 Arsenal
#ambangille
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom