Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Matokeo yakibaki hivi ni advantage kwa Arsenal.

Ndiyo sababu Porto wamechangamka pia muda huu
 
Nyie kondoo nawakumbusha mpk half tym hamna hata on target moja, na hao ni porto tu. Hapo hamjaletewa Madrid mlokua mnawataka.

MAsingeli aachage kuwadanganya kuwa mtaweza kumfunga madrid, mwombeni mungu awaepusheni nao msije mkatutia aibu mkafungwa magoli y basketi.
Timu yako inacheza lini UEFA??kabla ya kuandika UCHOKO wako jibu hili kwanza
 
Against Westham
Tumepiga kona nne kwa mtindo tofauti

Hapa tumepata kona 9
Zote tumepiga kwa namna moja

Goli la Porto
Long shot.

Our long shot taker asipopiga yeye ndiyo hapigi mwingine.
Una fowards watatu na hakuna anayewazia hilo.

Juzi Reddit kuna jamaa alisema haoni kama tunahitaji ST ila tuboreshe jinsi tunavyocheza. Natamani nimuone muda huu.

Leo kwa forwards huna wa kusema amekosea. Wote walikua utumbo

Kitakwimu za ligi sisi ni wazuri away. Kwa UEFA tupo average kotekote.

Now aliyedhania Odegaard anaweza vaa viatu vya Kelvin aone leo Odegaard alichofanya. Afikirie pia angekua Kelvin nini angeweza kufanya.

Leo ndiyo nimejua wapinzani watu wanaposhindwa kupata on target shot hua wanajisikiaje. Imagine hii timu City, liva, wote wameshindwa chukua ushindi kaja kuchukua Porto
 
Copy and paste:

I don't think Arsenal did a lot wrong and I don't think 1-0 will be enough for Porto going to the Emirates.

You have to credit Porto, they had an excellent defensive structure, worked really hard, Arsenal matched them in those areas to be fair.

At 0-0 there is always that potential for a deflection or a wonder goal like we've seen tonight. It was a wonder strike from Galeno
 
Arteta mechi ya leo katuuza kabisa huwezi fungwa kizembe namna hii uefa tena injury time na timu za ureno ambazo zinasifika kwa kulea vipaji.
Unaweza jiuliza how come kai hervetz martinell na saka wamemaliza dk 90 kama wachezaji walichoka ilikuwa kufanya subs tu waingie wengine wenye energy ys kupush kupata matokeo au sare.
Utofauti pekee wa kufungwa kwetu ni sisi kuendelea kuwawabishi kufny sub huku porto wakijaribu kutafuta means ya kujarb kupata ushindi kwa kuingiza wachezsji zaid ya wa5 huku sisi akiingia mmoja tu
 
Back
Top Bottom