Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Iishe mara ngapi?Umekuja huku hata game yenu haijaisha kufanya nini kama siyo kupiga domo?
Tushahamia game ingine wazee wa kunyetoka mnamangamanga tu uwanjani.
Iishe mara ngapi?Umekuja huku hata game yenu haijaisha kufanya nini kama siyo kupiga domo?
Msaada wa nini?POLE SANA, Ulikuwa una tegemea msaada kwa LUTON tena ANFIELD????
Timu yako inacheza lini UEFA??kabla ya kuandika UCHOKO wako jibu hili kwanzaNyie kondoo nawakumbusha mpk half tym hamna hata on target moja, na hao ni porto tu. Hapo hamjaletewa Madrid mlokua mnawataka.
MAsingeli aachage kuwadanganya kuwa mtaweza kumfunga madrid, mwombeni mungu awaepusheni nao msije mkatutia aibu mkafungwa magoli y basketi.
Game imeboa sana hiiMaliza mpira nikalale
Game imeboa sana hii