arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Shida yake ana maneno ya shombo🤠🤠....juzi anasema ile mechi ya arsenal alistahili kushinda na ile ya Liver pia...hapo baada ya kumtwanga Aston Villa ndo katoa kauli hzo....jamaa comedian sanaBaba ubaya ameamua mpira awaachie wenyewe. Yeye point 3 tu azipate.

| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal: