HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Tumeharibu leo wala si siriNo shot on target,mnategemea nini. Kuna baadhi ya wachezaji walipotea kuanzia kipindi Cha kwanza, lakini wakabaki uwanjani.
Tumeharibu leo wala si siriNo shot on target,mnategemea nini. Kuna baadhi ya wachezaji walipotea kuanzia kipindi Cha kwanza, lakini wakabaki uwanjani.



Nani kala za uso? 🤣Porto achague moja. Aje mbele ale za uso au akae nyuma akinge za uso. Uamuzi ni wake!View attachment 2911368
🤣🤣🤣🤣🤣 False hope fc. Huwa mnadanganyana sana.Jumatano tunawakaribisha kwny jambo letu pale nchini Ureno....tunaenda kutoa shule ya soka kwa kina Pepe na wenzie 🤠🤠🤠...karibuni sana
Hili mkuu mbona lipo wazi.Next up ni Newcastle ambao wameanza kurudi form. Arsenal mnaonekana kuanza kuchoka baada ya kupata matokeo mazuri mfululizo. Jumamosi tena mtakandwa na Anthony Gordon.