Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wamchukue na kocha wao kabisaaa
Screenshot_20240222-115705.jpg
 
Porto hakijawahi kuwa kiwanja chetu kirahisi,na wao wakijaga london kula tano ni kawaida
 
Changamoto hii hapa

Msimu uliopita nani alijua Sporting atatusumbua?

Na atatutoa?

Mpaka sasa hivi kitakachotokea ni kwamba Porto atakuja anawaza mpira ule ule.

Basi na kaunta. No any other issue.

Watatukamata kwa kushtukiza wakicheza kwa nguvu angalau kwa dk 20 za kipindi cha kwanza.

Porto walidondoka kila walipoguswa. Kipa wao walimkanyaga wenyewe na bado refa akawa anaitafutia Arsenal pa kuichoma.

But hivyo ndivyo mpira wa CL ulivyo. Zile dondoka dondoka zote added time ni 4 minutes 😅

We were horrible
 
Changamoto hii hapa

Msimu uliopita nani alijua Sporting atatusumbua?

Na atatutoa?

Mpaka sasa hivi kitakachotokea ni kwamba Porto atakuja anawaza mpira ule ule.

Basi na kaunta. No any other issue.

Watatukamata kwa kushtukiza wakicheza kwa nguvu angalau kwa dk 20 za kipindi cha kwanza.

Porto walidondoka kila walipoguswa. Kipa wao walimkanyaga wenyewe na bado refa akawa anaitafutia Arsenal pa kuichoma.

But hivyo ndivyo mpira wa CL ulivyo. Zile dondoka dondoka zote added time ni 4 minutes 😅

We were horrible
Sema record yao Emirates inawahukumu kwahiyo wanapaswa kuja kwa nidhamu zaidi ili kulinda walichokipata vinginevyo mambo yanaweza kuwageuka
 
Kenge na nyumbu msimalize maneno

Nawapeni tahadhari tu[emoji120]
View attachment 2912156
Unataka kutuaminisha nini kaka😂😂😂,
Binafsi sipendi itokee ila arteta na michuano ya ulaya ni mafuta na maji....bado inamsumbua sana.
Jana kazidiwa na hizi wiki mbili kabla marudio asipo kuwa kajifunza kitu matokeo atakayopata hayatavuka hapa 1-0,1-1,2-1....
 
Nyie KENGEEEEEE mpooo
 

Attachments

  • 1531215611.mp4
    1,018.9 KB
Wazee wa False hopes kwenye ubora wao.
Mmeshindwa kuwin msimu uliopita wakati mmeongoza ligi kwa siku 258 ndio mje kuwin msimu huu?

Mmeshindwa kuwin msimu ulioisha kipindi ambacho Chelsea, Liverpool, Man Utd wanachechemea huku City ikiwa tiamaji tiamaji ndio mje kuwin msimu huu Liver na City gari limewaka?

Mmeshindwa kuwin msimu ulioisha wakati zimebaki mechi 8 kumalizika ligi nyinyi mnaongoza kwa points 8 mbele ya City alie nafasi ya pili, halafu imebaki mechi moja ligi kuisha City anaongoza kwa points 8 mbele yenu ndio mje mshinde msimu huu ambao kati anaeshika nafasi ya kwanza na wapili hakutakua na gape zaidi points 3?

Kweli nimeamini kua shabiki tu wa Arsenyau tayari unakua comedian by nature, ndugu yangu Masingeli kwa kutambua IQ yenu amewaambia muanze tu kushangilia kabisa maana Uefa msimu huu tayari ni mali halali ya Asenyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2909999
Asenyetoz ni comedians

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom