Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hahaha hongera,lakini zawadi sikupi kwa sababu ume- Google majibu
Hapana mkuu au nikutajie na ile line up ya fainali na Barca?Hahaha hongera,lakini zawadi sikupi kwa sababu ume- Google majibu
Katika kitu chochote chenye shabiki yoyote wa Wenger orphans mliopo hapa toka mzaliwe amna record ya kutufunga goal hata zaidi ya tatu nyie ni moja ya vibonde wetu ambao hata tuwe tumechoka kiasi gani lazima mje muache point pale OT.Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sana
Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza
Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,
Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake
Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0
Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah
Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,
Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria
Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe to toe
Wenzetu hawapendi haya maneno. Mara Overlap mara sijui overload na positional play. Wao kwao hawana haya mambo ni kama lugha ngeni kwao. Sasa watakuja humu na povu kali...Positional play ni zile movement za Kai, ode na Trossad
Overlap ni movement za white kwa saka
Overload ni pale white anapoingia midfield
Porto akipigwa chini ya tatu, niulizwe mimiView attachment 2910943
Mpige team zote hata 20-0 lakin at the end lazma tuone hizi pichaView attachment 2911178View attachment 2911179View attachment 2911181
Wana hasira sana ndugu zetu🤠🤠...hzi Tano Tano tunazozitoa inaelekea wanatamani wangekua wao maana Wana GD ya 1
Kwani tukiwafunga itakuwa mara ya kwanza??Team ambayo imefika champions league final mara moja inatamba kumpiga bingwa wa kihistoria zaidi ya mara 12 ,hii unaongelea movie sio champions league night , MADRID kwenye Uefa ni dude la kutisha ,ni wanaume kwelikweli
Waje tu na Hilo povu, mapanzia na mashuka ya jf ni machafu sanaWenzetu hawapendi haya maneno. Mara Overlap mara sijui overload na positional play. Wao kwao hawana haya mambo ni kama lugha ngeni kwao. Sasa watakuja humu na povu kali...
Hayo ni makombe ya wanaume Asenyau walitolee wapi?Kama hili mnalo?View attachment 2911238View attachment 2911239



Leo vipi kono la nyani au la jadu?