Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sana

Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza

Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,

Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake


Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0

Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah

Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,

Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria


Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe to toe
Katika kitu chochote chenye shabiki yoyote wa Wenger orphans mliopo hapa toka mzaliwe amna record ya kutufunga goal hata zaidi ya tatu nyie ni moja ya vibonde wetu ambao hata tuwe tumechoka kiasi gani lazima mje muache point pale OT.

shabiki wa asenyani yoyote mwenye ana matokeo ya asenyani kutufunga hata goal 4 toka EPL ianze aje DM kuchukua elfu 10

Poor Wenger orphans.
1689476232207.jpg
 
Positional play ni zile movement za Kai, ode na Trossad

Overlap ni movement za white kwa saka

Overload ni pale white anapoingia midfield


Porto akipigwa chini ya tatu, niulizwe mimiView attachment 2910943
Wenzetu hawapendi haya maneno. Mara Overlap mara sijui overload na positional play. Wao kwao hawana haya mambo ni kama lugha ngeni kwao. Sasa watakuja humu na povu kali...
 
Team ambayo imefika champions league final mara moja inatamba kumpiga bingwa wa kihistoria zaidi ya mara 12 ,hii unaongelea movie sio champions league night , MADRID kwenye Uefa ni dude la kutisha ,ni wanaume kwelikweli
Kwani tukiwafunga itakuwa mara ya kwanza??
 
jorginho kwa uzoefu alionao.. sidhani kama arteta ataenda bila yeye kwenye XI yake leo.

jamaa ni mchezaji wa mechi kubwa na zenye presha.. anasaidia sna kuwatuliza wenzake na kuwapa maelkezo muhimu.
 
Back
Top Bottom