Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,404
Eti Arsenal ni kubwa mno!!!!!Arsenal ni kubwa mnoo, nakumbuka msimu uliopita pia mechi yetu dhidi ya City tuliyopoteza 3-1 at Emirates ilishikilia rekodi ya dunia ambayo pia ilivunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na mechi yetu dhidi ya Man utd tuliyopoteza 3-1 pale OT. We're a very Big big club, dunia nzima inatupenda, inafuatilia mechi zetu, achaneni na wapiga mboyoyo wa humu, we're fucking Big.
Arsenal ni kubwa hivyo sishangai kuona wachambuzi na pundits nzala ni wengi tunapopeteza mchezo, timu yako ni ndogo. You're fucking small club, nobody knows you, ndio maana ukifungwa hakuna anayeshituka, huna tag, huna attention. Coyg.
Timu tokea imeanzishwa karne ya 18 huko haijawahi kushinda kombe lolote la Ulaya,
Timu inaenda mwaka wa 20 bila kushinda Epl halafu unajidanganya Arse-no ni kubwa mnoooo, labda ukubwa wa makombe ya Emirates.
Arse-no ni level moja na kina Brighton huko wote wanahesabika ni mid table team.
Hapo Epl timu kubwa ni kina Liverpool, Man Utd, Chelsea na Man City.





hakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea