Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal ni kubwa mnoo, nakumbuka msimu uliopita pia mechi yetu dhidi ya City tuliyopoteza 3-1 at Emirates ilishikilia rekodi ya dunia ambayo pia ilivunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na mechi yetu dhidi ya Man utd tuliyopoteza 3-1 pale OT. We're a very Big big club, dunia nzima inatupenda, inafuatilia mechi zetu, achaneni na wapiga mboyoyo wa humu, we're fucking Big.

Arsenal ni kubwa hivyo sishangai kuona wachambuzi na pundits nzala ni wengi tunapopeteza mchezo, timu yako ni ndogo. You're fucking small club, nobody knows you, ndio maana ukifungwa hakuna anayeshituka, huna tag, huna attention. Coyg.
Eti Arsenal ni kubwa mno!!!!!
Timu tokea imeanzishwa karne ya 18 huko haijawahi kushinda kombe lolote la Ulaya,
Timu inaenda mwaka wa 20 bila kushinda Epl halafu unajidanganya Arse-no ni kubwa mnoooo, labda ukubwa wa makombe ya Emirates.
Arse-no ni level moja na kina Brighton huko wote wanahesabika ni mid table team.
Hapo Epl timu kubwa ni kina Liverpool, Man Utd, Chelsea na Man City.
 
Nitakutafuta baada ya mechi kuisha...wale tutakachowafanya kwny press conference Moyes atakuja kukiri kama alivyokiri kocha wa Brighton...yule Paqueta sijui na Kudus mtawasonya kesho🤠🤠🤠....hawajawahi kutusumbua kabisa wale wazee wa counter attack
umeishamtafuta?
 
Baada ya Tembo kudondoka kutoka kwenye Mti naona Jogoo kaamua kutulia yeye anatamba kama kuna mbabe wa kumshusha ajitokeze.
OIG.rl1apsiTFYi7rN1ney.u.jpg
 
Nitakutafuta baada ya mechi kuisha...wale tutakachowafanya kwny press conference Moyes atakuja kukiri kama alivyokiri kocha wa Brighton...yule Paqueta sijui na Kudus mtawasonya kesho....hawajawahi kutusumbua kabisa wale wazee wa counter attack
Mnaendleaje hapo Hale end ???
 
Naamini asenal akipoteza kama ivi inaweza ikawapresh kusajili January lakin wakiendelea kuwa stable wanaeza ona hamna umuhim wakati wanahitaji kikos kilichoshiba kama wanataka ubingwa
 
Kitu unachoshindwa kujua ni kwamba arsenal sio bora kuliko city na liverkuku kama mnavyoaminishana humu. Kuwa kwenu juu msimu huu ni kupoteza form kwa city na liverkuku na bahati mbaya kwenu the two giants are awake now. Mnajipa false hopes kuhusu ubora ila nyie na man utd mko level moja tu sema kiasi mmeboreka ukilinganisha na misimu ya nyuma.
Kwani ubora unapimwa kwa wakati gani? Mechi moja? Msimu mmja? Msimu uliomalizika au misimu 10+????
 
Kwa nafasi aliyokaa Arteta last season katika 1st position for 284 days na Trophy hakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea

Kuna sentence unasema tujadili nini kirekebishike kwani kilichotokea jana na last season refer 10 games za mwisho utofauti wake ni nini sasa?
umemjibu vyema sana huyo jamaa sijui hata ameongea nini yaani
 
Back
Top Bottom