Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Itunze vizuri.Naitunza hii comment, sisi tunapenda watu wenye mihemko kama wewe, na kazi yetu huwa kuwakumbusha ujuha wenu.
Msimu uliopita kulikuwa na progress kiasi kwamba nilianza kuamini timu inaenda mahali pazuri only tukarudi tulikotoka kwenye michezo nane ya mwisho.
Tangu msimu uliopita uishe nikawa nimeshaelewa arteta ni average coach ambaye hawezi kufika popote. Hana mentality ya ubingwa na hana mbinu za kupigania makombe makubwa.
He must be fired immediately, Arsenal yake ilifikia peak last year, sasa hivi inashuka tu.

hakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea
