Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Idea ilikua ni kuhakikisha hatuachwi zaidi ya point nne mpaka January na mtu wa kwanza.

Hii timu inaoverdeliver usiku na mchana kwa kikosi kiduchu. Westham wapo high on morale but so are we.
 
Idea ilikua ni kuhakikisha hatuachwi zaidi ya point nne mpaka January na mtu wa kwanza.

Hii timu inaoverdeliver usiku na mchana kwa kikosi kiduchu. Westham wapo high on morale but so are we.
Nyie kondoo endeleeni kijidanganya.
 
Tumewafundisha namna ya kumfunga Luton na Villa na pia tumewaweka walau nafasi ya 1 na ya 2 katika msimamo wa ligi kwa vipindi tofauti tofauti,lakini bado mnatuita nyumba!
Huwa nawashangaa sana Hopers mnavyomuona 10Hag kilaza wakati mfupa unaomshinda tactician ARTETA yeye anauvunja kwa kutumia wachezaji wa academy yetu.
 
Tumewafundisha namna ya kumfunga Luton na Villa na pia tumewaweka walau nafasi ya 1 na ya 2 katika msimamo wa ligi kwa vipindi tofauti tofauti,lakini bado mnatuita nyumba!
Huwa nawashangaa sana Hopers mnavyomuona 10Hag kilaza wakati mfupa unaomshinda tactician ARTETA yeye anauvunja kwa kutumia wachezaji wa academy yetu.
Hongereni jana mmepambana Villa kumfunga sio kitoto
 
Hongereni jana mmepambana Villa kumfunga sio kitoto
Uko serious mkuu kabisa🤠🤠🤠....Sikumbuki ni post namba ngapi kule kwny jukwaa lao...jana kuna mtu nilimwambia Manunu atashinda tena atamfunga Villa vzuri maana ukiwaangalia wale Villa wanakuzwa kuliko uhalisia....ukimiliki mpira ukawa unawapa presha mda mrefu basi wanashindwa kuhimili....walitufunga kwa fluke tu wale maana tulishindwa kutumia nafasi tulizotengeneza pale kwao.....Sasa hii comment tunza....siku Manunu atakayoenda kucheza na wale jamaa tena kama wale Villa watakuwa na kiwango hiki basi Manunu watabutuliwa kuanzia goli 2...jana vilikutana pipa na mfuniko
 
Tumewafundisha namna ya kumfunga Luton na Villa na pia tumewaweka walau nafasi ya 1 na ya 2 katika msimamo wa ligi kwa vipindi tofauti tofauti,lakini bado mnatuita nyumba!
Huwa nawashangaa sana Hopers mnavyomuona 10Hag kilaza wakati mfupa unaomshinda tactician ARTETA yeye anauvunja kwa kutumia wachezaji wa academy yetu.
Huwa nasikitika sana mkiwa mnqongea vtu kama hivi...yaani mna hali mbaya halafu kubahatisha mlikokufanya ndo mnakuja kuvimba hmu....wacha tutafute ratiba yenu tuone mechi tatu zijazo mnacheza na nani Ili tuwaambie kabisa mechi gani mnabutuliwa tena
 
Huwa nasikitika sana mkiwa mnqongea vtu kama hivi...yaani mna hali mbaya halafu kubahatisha mlikokufanya ndo mnakuja kuvimba hmu....wacha tutafute ratiba yenu tuone mechi tatu zijazo mnacheza na nani Ili tuwaambie kabisa mechi gani mnabutuliwa tena
Wanasaka furaha maana wapo hoi

Ngoja tuanze kuwapelekea moto jukwaan kwao

Hiyo kazi naianza week hii
 
Uko serious mkuu kabisa....Sikumbuki ni post namba ngapi kule kwny jukwaa lao...jana kuna mtu nilimwambia Manunu atashinda tena atamfunga Villa vzuri maana ukiwaangalia wale Villa wanakuzwa kuliko uhalisia....ukimiliki mpira ukawa unawapa presha mda mrefu basi wanashindwa kuhimili....walitufunga kwa fluke tu wale maana tulishindwa kutumia nafasi tulizotengeneza pale kwao.....Sasa hii comment tunza....siku Manunu atakayoenda kucheza na wale jamaa tena kama wale Villa watakuwa na kiwango hiki basi Manunu watabutuliwa kuanzia goli 2...jana vilikutana pipa na mfuniko
Umeongea ukweli kabisa
 
Uko serious mkuu kabisa🤠🤠🤠....Sikumbuki ni post namba ngapi kule kwny jukwaa lao...jana kuna mtu nilimwambia Manunu atashinda tena atamfunga Villa vzuri maana ukiwaangalia wale Villa wanakuzwa kuliko uhalisia....ukimiliki mpira ukawa unawapa presha mda mrefu basi wanashindwa kuhimili....walitufunga kwa fluke tu wale maana tulishindwa kutumia nafasi tulizotengeneza pale kwao.....Sasa hii comment tunza....siku Manunu atakayoenda kucheza na wale jamaa tena kama wale Villa watakuwa na kiwango hiki basi Manunu watabutuliwa kuanzia goli 2...jana vilikutana pipa na mfuniko
Ila Arsenal bana hampendi kupitwa,kwamba sie tumebahatisha kumpiga Villa gongo 3! Na pia tumekutana pipa na mfuniko wakati Vila alikuwa aongoze ligi kabla hatujamzuia sisi!
Okay wewe ulikosa bahati kumfunga Villa, je City naye ni pipa na mfuniko kwa Villa?
 
Wanasaka furaha maana wapo hoi

Ngoja tuanze kuwapelekea moto jukwaan kwao

Hiyo kazi naianza week hii
Tukiwa wakweli wa nafsi zetu,hadi sasa United ndiye kamuweka Tembo karibu na kileleni au kesho akae kileleni ingawa napata hofu kama mnaweza kurudi tena pale kwenye tawi mbele ya Hammers.
 
Tukiwa wakweli wa nafsi zetu,hadi sasa United ndiye kamuweka Tembo karibu na kileleni au kesho akae kileleni ingawa napata hofu kama mnaweza kurudi tena pale kwenye tawi mbele ya Hammers.
nyie jamaa mnaongea sana
 
Arsenal will be without Kai Havertz who is serving a one-game suspension which means there is an opening in midfield. Perhaps Thomas Partey is in contention to make a return - to the matchday squad at the very least - after missing the last 14 games across all competitions.

Meanwhile, there might be some transfer talk with the January window set to open shortly and the Gunners being linked with a host of names in an attempt to bolster their squad for the second half of the season.

You can hear what Arteta has to say on all of that and much more with football.london's
 
Idea ilikua ni kuhakikisha hatuachwi zaidi ya point nne mpaka January na mtu wa kwanza.

Hii timu inaoverdeliver usiku na mchana kwa kikosi kiduchu. Westham wapo high on morale but so are we.
I got u
 
Mechi ya kesho naona itaamuliwa kwa kiasi kubwa na wachezaji watatu tu paqueta,bowen na kudus hao watu nafikiri arteta awazuie kimfumo zaid na kwa kukosekana kwa kai arteta kazi anayo,akiachiwa zinchenko pekee yake atalaumiwa mpaka mwakani😂😂😂😂 na kwa akili ya moyes atalazimisha kupitia kwa zinchenko tu😂😂😂 msaada wa martinel inategemea ataamkaje....
Kesho kazini kwa arteta kuna kazi kubwa sana👣
Labda afunge busta la partey,rice na odegaard.

Nafikiri moyes atatumia kanuni ile ya kungoja robo ya mwisho, ziba mianya,pora mali kisha itupe mbavuni kwa adui mshindane mbio na adui,ingia ndani piga,walete kati😂😂😂 (kama nawaona anavyowakaririsha wagonga nyundo tebo ya tatu)

Kesho kwa usalama wa nafsi shabiki wa asenali atarajie lolote lile😂😂😂
 
Back
Top Bottom