IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,083
Duuh mshavurugwa akili.Arsenal vs Blackpool
Wigan athletic vs Arsenal
Blackburn rover vs Arsenal
Arsenal vs Swansea city
Queen park rangers vs Arsenal
Duuh mshavurugwa akili.Arsenal vs Blackpool
Wigan athletic vs Arsenal
Blackburn rover vs Arsenal
Arsenal vs Swansea city
Queen park rangers vs Arsenal
ndio muache mdomo na kujiaminisha kwingi😆😆😆Sijamtafuta....tumedundwa shehe🤠🤠
Hili goli limenikumbusha msiu wa 21/22 dhdi ya Brighton. Kuna chuma alipiga Martinelli, kukawa na utata kaka alikuwa offside au hapana. VAR ilishindwa kupata angle inayoonyesha clear kwamba Martinelli alikuwa offisde.Goli la kwanza la westham , limeonyesha udhaifu mwingine wa VAR
January ni keshokutwaNaimani unakumbuka ahadi yako, nakuambia hautaamini ligi tukiianza pale January
Mpira usikupelekee kumkufuru MunguYani kuna watu hawataki kabisa arsenal itetewe na mashabiki zakee
Kila mtu na mtazamo wake, binafsi hutokuta naikandia team yangu pendwa.
Na Arteta na mkubali vibaya mno
Mchizi angekua mungu ninge muabudu.
Kusipokuwa na clear evidence basi the onfield decision stands.Hili goli limenikumbusha msiu wa 21/22 dhdi ya Brighton. Kuna chuma alipiga Martinelli, kukawa na utata kaka alikuwa offside au hapana. VAR ilishindwa kupata angle inayoonyesha clear kwamba Martinelli alikuwa offisde.
Hatima yake goli wakalikataa, wakitoa sababu hakukuwa na celar evidence kama Nelli alikuwa onside. Hili la juzi, wanadai hakukuwa na clear evidence kama mpira umetoka. Hapa ndo nachanganyikiwa kabisa na modus operandi ya PGMOL
Browser ndio mwisho wa matatizo.Hivi version gan ya Jf ni nzuri zaidi ,kuna muda hii haingii baadhi ya majukwaa
Kaka asenali imefungwa kwa figisu au arteta kazidiwa mbinu na Moyes kwenye mechi tatu walizokutana hv karibuni?Tunarudi mzigoni kesho
Tutashinda ,hatupo mbali na 1st place Hilo ndio muhimu pamoja na figisu zote
As long as Manunu... Chelkenge na hata livakuku wanajiaminisha na wako ligi hii na sisi tuna haki hyohyo🤠🤠🤠...Hawa Livakuku kama mpk March watakuwa wa kwanza pale juu basi tusahau ubingwa maana kuna mpira flani watakuwa wanacheza ule wa kupata matokeo na wanaweza....ila sasahv hzi point 2 watakuja kuzitapika pale Imarate...matokeo ya West Ham yasiwadanganyendio muache mdomo na kujiaminisha kwingi😆😆😆
Sasa nyie mnatokeaga timu ikifanya vibaya,sisi tunaangalia growth ya timu,unazungumza timu kukaa kileleni muda mrefu kama failure ya season,mbona huzungumziii kama success ya season ? timu imetoka kutoka nafasi ya tano mpaka kukaa kileleni muda mrefu hivyo wewe haushangai ? timu ilikuwa na maono ya kupambania nafasi ya kucheza klabu bingwa mpaka kwenda kuwa title contender wewe haushangai ? ziko sababu nyingi zilizopelekea kukosa lile taji ambazo ziko nje ya uwezo wakocha,ikiwemo kutojiandaa kuchukua taji,lakin mwaka jana nimafanikio makubwa sana.kuhusu miaka ambayo amekaa arteta arsenal kama unakili utaanza kumjudge arteta baada ya kuanza kupewa pesa za usajli serious msimu wake wa tatu na wanne,na toka aanze kupewa pesa za usajili kila msimu amepanda viwango toka nafasi ya nane mpaka ya tano mpaka ya pil.kile alichokifanya arteta hata guadiola hajawai kukipitia.Kwa nafasi aliyokaa Arteta last season katika 1st position for 284 days na Trophyhakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea
Kuna sentence unasema tujadili nini kirekebishike kwani kilichotokea jana na last season refer 10 games za mwisho utofauti wake ni nini sasa?
kama unazumngumza uhalisia utakubali arteta aliikuta timu inahali mbaya,na arteta bado hajafika msimu wa 5,unakumbuka rodgers alikabia kuipa ubingwa liverpoolLIVERPOOL ipi Imeanza Rudi wakati wa RODGRES? Ni Moja ya Walimu Pekee wa Liverpool ambao hawajawahi shinda taji lolote na Timu.
KLOPP kaitengeneza timu ikiwa dhoofu haswa, Haikuwa inashiriki Michezo yoyote ya Ulaya, kaenda nayo fainali za UEL huku anaijenga mpaka kaja chukua kila Kombe, ikiwemo EPL baada ya Miaka 30!
Unasema ARTETA Kaikuta Arsenal Mbovu!! Timu imemaliza nafasi ya 5 na Fainali ya UEL kwa Mara ya kwanza msimu wa kwanza wa Mwalimu Mpya inaachaje kuwa Msimu bora kwa kuanzia.
ARTETA mnampa sifa zilopitiliza na ndo mana huoni wale Wachangiaji wenu wenye MAONI TURUFU ya kutopingwa HAMISI na Genge lake. Mnaaminishana Ujinga sana, ARSENAL miaka yote imekuwa timu ya Mpira MZURI, ila Mpira wa Pasi kama huna MESSI timu zinazopaki Basi lazima zikutoe Jasho. PEP mwenyewe amehitaji Msaada wa "FFP Breaching" Kushinda Treble. ARTETA Msimu wa 5 Sasa unasema mmefanikiwa na Mna Kombe 1!
Ukiingnia Jukwaa la UTD/CHELSEA/LIVER watu wanakuwa na uhalisia Pa kuponda wanaponda, Wanatoa maoni yao kulingana na Uhalisia, Ila hapa unaweza dhani ni AJAX ya LVG, AC MILAN ya SACCHI, BAYERN ya HEYNCKES, ama BARCA ya PEP. KUBALINI UHALISIA NYIE NI PROJECT INAYOENDELEA SIO KITU KILOKAMILIKA.
Ona huyu kichaaTunarudi mzigoni kesho
Tutashinda ,hatupo mbali na 1st place Hilo ndio muhimu pamoja na figisu zote
















Mbona maneno makali mkuu. Sisi na mamacita ndiyo tunausaka huu ubingwa ingawa sisi ujinga umetuzidi. Wa kutuzuia sisi ni ujinga wetu wenyewe. Ila nyie tumewaalika tu mtusindikize kama wapambe kwenye send-off. Mwisho wa siku mzigo tunabeba sie.Ona huyu kichaa![]()
Kumbe ndo inaenda hivi. Si mchezo.Kusipokuwa na clear evidence basi the onfield decision stands.
Binafsi kuna ka-utamu fulani hivi kanapotea kwa browser.Browser ndio mwisho wa matatizo.
Hizi hadithi ndefu ndefu kwa sasa hazihitajiki kwa Big tean kama Arsenal kinachotakiwa ni TROPHIESSasa nyie mnatokeaga timu ikifanya vibaya,sisi tunaangalia growth ya timu,unazungumza timu kukaa kileleni muda mrefu kama failure ya season,mbona huzungumziii kama success ya season ? timu imetoka kutoka nafasi ya tano mpaka kukaa kileleni muda mrefu hivyo wewe haushangai ? timu ilikuwa na maono ya kupambania nafasi ya kucheza klabu bingwa mpaka kwenda kuwa title contender wewe haushangai ? ziko sababu nyingi zilizopelekea kukosa lile taji ambazo ziko nje ya uwezo wakocha,ikiwemo kutojiandaa kuchukua taji,lakin mwaka jana nimafanikio makubwa sana.kuhusu miaka ambayo amekaa arteta arsenal kama unakili utaanza kumjudge arteta baada ya kuanza kupewa pesa za usajli serious msimu wake wa tatu na wanne,na toka aanze kupewa pesa za usajili kila msimu amepanda viwango toka nafasi ya nane mpaka ya tano mpaka ya pil.kile alichokifanya arteta hata guadiola hajawai kukipitia.
Guadiola alipokwenda barcelo alikuta msingi mzuri sana wa rijikard,amekuta tayari timu inamastaa kibao hakuwa na cha kutengeneza ni mifumo tu.kaenda bayern hivyo hivyo,kaja man city kakuta timu soon imetoka kutwaa ubingwa,walimchkua ili awape taji la ulaya,ila imewachukua miaka nane kuweza kutwaa taji la ulaya,so guadiola hajapitia kabisa mapito ya arteta,arteta anafanya kazi vizuri zaidi,na kwa taarifa yako arsenal wakisema wamuache arteta madrid na barcelona wanamchukua fasta
Msimu huu tumejiandaa vizuri zaidi kwa maana ya upana wa kikosi,na tumepata wachezaji bora zaidi,ndio tuepoteza point lakin naamini kwa upana huu wa kikosi tutaenda mpaka siku ya mwisho ya kugombania ubingwa
tu last season ni UZEMBE wa Coach na baadhi ya players tukadrop from 1st position na season hii hakuna cha sijui hela ,sijui nafasi ya 5 au ya 3 ,season hii ni Arsenal abebe EPL trophy
sababu uwezo anao hao Leicester alibeba EPL tena bila hela yoyote ya usajili why not Arsenal ambayo inacheza sexy football kwa sasa?Arsenal uwezo wa kubeba EPL anao kwa asilimia 70 but kinachosumbua team inayumba sijajua tatizo ni nini kama muda huu tupo nafasi ya 4 wakati tulitakiwa tuwe wa 1 sababu tulikuwa home vs West hamMbona maneno makali mkuu. Sisi na mamacita ndiyo tunausaka huu ubingwa ingawa sisi ujinga umetuzidi. Wa kutuzuia sisi ni ujinga wetu wenyewe. Ila nyie tumewaalika tu mtusindikize kama wapambe kwenye send-off. Mwisho wa siku mzigo tunabeba sie.




