Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Goli la kwanza la westham , limeonyesha udhaifu mwingine wa VAR
Hili goli limenikumbusha msiu wa 21/22 dhdi ya Brighton. Kuna chuma alipiga Martinelli, kukawa na utata kaka alikuwa offside au hapana. VAR ilishindwa kupata angle inayoonyesha clear kwamba Martinelli alikuwa offisde.

Hatima yake goli wakalikataa, wakitoa sababu hakukuwa na celar evidence kama Nelli alikuwa onside. Hili la juzi, wanadai hakukuwa na clear evidence kama mpira umetoka. Hapa ndo nachanganyikiwa kabisa na modus operandi ya PGMOL
 
Yani kuna watu hawataki kabisa arsenal itetewe na mashabiki zakee

Kila mtu na mtazamo wake, binafsi hutokuta naikandia team yangu pendwa.

Na Arteta na mkubali vibaya mno

Mchizi angekua mungu ninge muabudu.
Mpira usikupelekee kumkufuru Mungu
Hiyo sentensi ya mwisho,na nyingine za aina hiyo usije ukazirudia tena.

Andika vyovyote ila mambo ya kufuru kwa Mungu achana nayo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi version gan ya Jf ni nzuri zaidi ,kuna muda hii haingii baadhi ya majukwaa
 
Hili goli limenikumbusha msiu wa 21/22 dhdi ya Brighton. Kuna chuma alipiga Martinelli, kukawa na utata kaka alikuwa offside au hapana. VAR ilishindwa kupata angle inayoonyesha clear kwamba Martinelli alikuwa offisde.

Hatima yake goli wakalikataa, wakitoa sababu hakukuwa na celar evidence kama Nelli alikuwa onside. Hili la juzi, wanadai hakukuwa na clear evidence kama mpira umetoka. Hapa ndo nachanganyikiwa kabisa na modus operandi ya PGMOL
Kusipokuwa na clear evidence basi the onfield decision stands.
 
ndio muache mdomo na kujiaminisha kwingi😆😆😆
As long as Manunu... Chelkenge na hata livakuku wanajiaminisha na wako ligi hii na sisi tuna haki hyohyo🤠🤠🤠...Hawa Livakuku kama mpk March watakuwa wa kwanza pale juu basi tusahau ubingwa maana kuna mpira flani watakuwa wanacheza ule wa kupata matokeo na wanaweza....ila sasahv hzi point 2 watakuja kuzitapika pale Imarate...matokeo ya West Ham yasiwadanganye
 
Kwa nafasi aliyokaa Arteta last season katika 1st position for 284 days na Trophy hakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea

Kuna sentence unasema tujadili nini kirekebishike kwani kilichotokea jana na last season refer 10 games za mwisho utofauti wake ni nini sasa?
Sasa nyie mnatokeaga timu ikifanya vibaya,sisi tunaangalia growth ya timu,unazungumza timu kukaa kileleni muda mrefu kama failure ya season,mbona huzungumziii kama success ya season ? timu imetoka kutoka nafasi ya tano mpaka kukaa kileleni muda mrefu hivyo wewe haushangai ? timu ilikuwa na maono ya kupambania nafasi ya kucheza klabu bingwa mpaka kwenda kuwa title contender wewe haushangai ? ziko sababu nyingi zilizopelekea kukosa lile taji ambazo ziko nje ya uwezo wakocha,ikiwemo kutojiandaa kuchukua taji,lakin mwaka jana nimafanikio makubwa sana.kuhusu miaka ambayo amekaa arteta arsenal kama unakili utaanza kumjudge arteta baada ya kuanza kupewa pesa za usajli serious msimu wake wa tatu na wanne,na toka aanze kupewa pesa za usajili kila msimu amepanda viwango toka nafasi ya nane mpaka ya tano mpaka ya pil.kile alichokifanya arteta hata guadiola hajawai kukipitia.

Guadiola alipokwenda barcelo alikuta msingi mzuri sana wa rijikard,amekuta tayari timu inamastaa kibao hakuwa na cha kutengeneza ni mifumo tu.kaenda bayern hivyo hivyo,kaja man city kakuta timu soon imetoka kutwaa ubingwa,walimchkua ili awape taji la ulaya,ila imewachukua miaka nane kuweza kutwaa taji la ulaya,so guadiola hajapitia kabisa mapito ya arteta,arteta anafanya kazi vizuri zaidi,na kwa taarifa yako arsenal wakisema wamuache arteta madrid na barcelona wanamchukua fasta

Msimu huu tumejiandaa vizuri zaidi kwa maana ya upana wa kikosi,na tumepata wachezaji bora zaidi,ndio tuepoteza point lakin naamini kwa upana huu wa kikosi tutaenda mpaka siku ya mwisho ya kugombania ubingwa
 
LIVERPOOL ipi Imeanza Rudi wakati wa RODGRES? Ni Moja ya Walimu Pekee wa Liverpool ambao hawajawahi shinda taji lolote na Timu.
KLOPP kaitengeneza timu ikiwa dhoofu haswa, Haikuwa inashiriki Michezo yoyote ya Ulaya, kaenda nayo fainali za UEL huku anaijenga mpaka kaja chukua kila Kombe, ikiwemo EPL baada ya Miaka 30!

Unasema ARTETA Kaikuta Arsenal Mbovu!! Timu imemaliza nafasi ya 5 na Fainali ya UEL kwa Mara ya kwanza msimu wa kwanza wa Mwalimu Mpya inaachaje kuwa Msimu bora kwa kuanzia.
ARTETA mnampa sifa zilopitiliza na ndo mana huoni wale Wachangiaji wenu wenye MAONI TURUFU ya kutopingwa HAMISI na Genge lake. Mnaaminishana Ujinga sana, ARSENAL miaka yote imekuwa timu ya Mpira MZURI, ila Mpira wa Pasi kama huna MESSI timu zinazopaki Basi lazima zikutoe Jasho. PEP mwenyewe amehitaji Msaada wa "FFP Breaching" Kushinda Treble. ARTETA Msimu wa 5 Sasa unasema mmefanikiwa na Mna Kombe 1!

Ukiingnia Jukwaa la UTD/CHELSEA/LIVER watu wanakuwa na uhalisia Pa kuponda wanaponda, Wanatoa maoni yao kulingana na Uhalisia, Ila hapa unaweza dhani ni AJAX ya LVG, AC MILAN ya SACCHI, BAYERN ya HEYNCKES, ama BARCA ya PEP. KUBALINI UHALISIA NYIE NI PROJECT INAYOENDELEA SIO KITU KILOKAMILIKA.
kama unazumngumza uhalisia utakubali arteta aliikuta timu inahali mbaya,na arteta bado hajafika msimu wa 5,unakumbuka rodgers alikabia kuipa ubingwa liverpool
 
Ona huyu kichaa
Mbona maneno makali mkuu. Sisi na mamacita ndiyo tunausaka huu ubingwa ingawa sisi ujinga umetuzidi. Wa kutuzuia sisi ni ujinga wetu wenyewe. Ila nyie tumewaalika tu mtusindikize kama wapambe kwenye send-off. Mwisho wa siku mzigo tunabeba sie.
 
Sasa nyie mnatokeaga timu ikifanya vibaya,sisi tunaangalia growth ya timu,unazungumza timu kukaa kileleni muda mrefu kama failure ya season,mbona huzungumziii kama success ya season ? timu imetoka kutoka nafasi ya tano mpaka kukaa kileleni muda mrefu hivyo wewe haushangai ? timu ilikuwa na maono ya kupambania nafasi ya kucheza klabu bingwa mpaka kwenda kuwa title contender wewe haushangai ? ziko sababu nyingi zilizopelekea kukosa lile taji ambazo ziko nje ya uwezo wakocha,ikiwemo kutojiandaa kuchukua taji,lakin mwaka jana nimafanikio makubwa sana.kuhusu miaka ambayo amekaa arteta arsenal kama unakili utaanza kumjudge arteta baada ya kuanza kupewa pesa za usajli serious msimu wake wa tatu na wanne,na toka aanze kupewa pesa za usajili kila msimu amepanda viwango toka nafasi ya nane mpaka ya tano mpaka ya pil.kile alichokifanya arteta hata guadiola hajawai kukipitia.

Guadiola alipokwenda barcelo alikuta msingi mzuri sana wa rijikard,amekuta tayari timu inamastaa kibao hakuwa na cha kutengeneza ni mifumo tu.kaenda bayern hivyo hivyo,kaja man city kakuta timu soon imetoka kutwaa ubingwa,walimchkua ili awape taji la ulaya,ila imewachukua miaka nane kuweza kutwaa taji la ulaya,so guadiola hajapitia kabisa mapito ya arteta,arteta anafanya kazi vizuri zaidi,na kwa taarifa yako arsenal wakisema wamuache arteta madrid na barcelona wanamchukua fasta

Msimu huu tumejiandaa vizuri zaidi kwa maana ya upana wa kikosi,na tumepata wachezaji bora zaidi,ndio tuepoteza point lakin naamini kwa upana huu wa kikosi tutaenda mpaka siku ya mwisho ya kugombania ubingwa
Hizi hadithi ndefu ndefu kwa sasa hazihitajiki kwa Big tean kama Arsenal kinachotakiwa ni TROPHIES tu last season ni UZEMBE wa Coach na baadhi ya players tukadrop from 1st position na season hii hakuna cha sijui hela ,sijui nafasi ya 5 au ya 3 ,season hii ni Arsenal abebe EPL trophy sababu uwezo anao hao Leicester alibeba EPL tena bila hela yoyote ya usajili why not Arsenal ambayo inacheza sexy football kwa sasa?Arsenal uwezo wa kubeba EPL anao kwa asilimia 70 but kinachosumbua team inayumba sijajua tatizo ni nini kama muda huu tupo nafasi ya 4 wakati tulitakiwa tuwe wa 1 sababu tulikuwa home vs West ham
 
Mbona maneno makali mkuu. Sisi na mamacita ndiyo tunausaka huu ubingwa ingawa sisi ujinga umetuzidi. Wa kutuzuia sisi ni ujinga wetu wenyewe. Ila nyie tumewaalika tu mtusindikize kama wapambe kwenye send-off. Mwisho wa siku mzigo tunabeba sie.
IMG_20231230_201125.jpeg
 
Back
Top Bottom