hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
Mbona unaongea Kama ugomvi, Kuna sehemu nimekwambia Rice ni natural 8?Hesabu za hapo ni ndogo sana, Luiz hawezi kucheza lone #6 akamzidi Rice, elite #6 ni wachache kuliko #8, yani kumtumia Rice kama #8 wakati ana potential ya kuwa the best #6 itw ni kitu hakimake sense.
City walitaka kumtumia kama #8 coz wana Rodrigo, na rice ni generational ambaye angeweza kuziba gap la De bruyne akiwa injury km Sasa, lakini hata City walimuona Rice kama #6 that's why walianza na Jude kama priority baada ya Jude kwenda Real Madrid ndio majeshi yakarudi kwa Rice, na hii ni baada ya kuona ana potential ya kuwa the best #8, hii inatosha kukuonesha Rice's best position ni #6, yeye mwenyewe umemnukuu amekiri hapo, anakuwa excited kucheza #8 lakini haimaanishi ndio his best position, kinachotokea sasa ni kwamba Arsenal haina top LCM kitu ambacho kina Affect our attacking dynamics, that's why Arteta analazimika kumtumia Rice as #8, na kauli ya kusema Arsenal wanamuona anapiga A+ kama #8 ni kauli ya hovyoo, usitake kuniambia Arteta alikuwa hajui kwamba Rice anaweza kucheza #8, wakati dunia inajua wazi kabisa Pep alimtaka Rice kwa position hiyo ya #8.
Hata Partey akiwa mzima ,Kuwatumia wote ,Rice atacheza LCM
Na Douglas Luiz sio elite kwa LCM kuliko Rice
Simple tu Luiz akija ili uwatumie wote na Rice ,itakubidi umtumie Rice as LCM
Kitu Kama hiki hakihitaji akili nyingi kujua

Three dodgy calls not over turned by VAR.


️ Arteta on Havertz: