Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hesabu za hapo ni ndogo sana, Luiz hawezi kucheza lone #6 akamzidi Rice, elite #6 ni wachache kuliko #8, yani kumtumia Rice kama #8 wakati ana potential ya kuwa the best #6 itw ni kitu hakimake sense.

City walitaka kumtumia kama #8 coz wana Rodrigo, na rice ni generational ambaye angeweza kuziba gap la De bruyne akiwa injury km Sasa, lakini hata City walimuona Rice kama #6 that's why walianza na Jude kama priority baada ya Jude kwenda Real Madrid ndio majeshi yakarudi kwa Rice, na hii ni baada ya kuona ana potential ya kuwa the best #8, hii inatosha kukuonesha Rice's best position ni #6, yeye mwenyewe umemnukuu amekiri hapo, anakuwa excited kucheza #8 lakini haimaanishi ndio his best position, kinachotokea sasa ni kwamba Arsenal haina top LCM kitu ambacho kina Affect our attacking dynamics, that's why Arteta analazimika kumtumia Rice as #8, na kauli ya kusema Arsenal wanamuona anapiga A+ kama #8 ni kauli ya hovyoo, usitake kuniambia Arteta alikuwa hajui kwamba Rice anaweza kucheza #8, wakati dunia inajua wazi kabisa Pep alimtaka Rice kwa position hiyo ya #8.
Mbona unaongea Kama ugomvi, Kuna sehemu nimekwambia Rice ni natural 8?

Hata Partey akiwa mzima ,Kuwatumia wote ,Rice atacheza LCM

Na Douglas Luiz sio elite kwa LCM kuliko Rice

Simple tu Luiz akija ili uwatumie wote na Rice ,itakubidi umtumie Rice as LCM

Kitu Kama hiki hakihitaji akili nyingi kujua
 
Kilichomshinda last season Nini Hadi anakula 4-0 na total dominance Ni Nini


Msiishi kwa mazoea Sana , Ubora wa Madrid , Barcelona ,Bayern umepungua sana

Bora Bayern waliwahi mapema wakasajili a World class CF Harry Kane na Neur karudi ,Sasa hata Cleansheet wanapata
Walipoteza cuz the game conditions were unfavourable to them, not individual quality may be it was a tactical intent, na sio kwamba kila siku Ancellot will get it wrong, football ni elimu bro tuelimishane, hatugombani.
 
Mbona unaongea Kama ugomvi, Kuna sehemu nimekwambia Rice ni natural 8?

Hata Partey akiwa mzima ,Kuwatumia wote ,Rice atacheza LCM

Na Douglas Luiz sio elite kwa LCM kuliko Rice

Simple tu Luiz akija ili uwatumie wote na Rice ,itakubidi umtumie Rice as LCM

Kitu Kama hiki hakihitaji akili nyingi kujua
Shida ni kwamba hampendi kukubali new ideas, yani mtu akiandika tofauti na ulichoandika unahisi kama anakukosoa, no, vitu haviendi hivyo, ni elimu tu bro tunajifumza.
 
Mbona unaongea Kama ugomvi, Kuna sehemu nimekwambia Rice ni natural 8?

Hata Partey akiwa mzima ,Kuwatumia wote ,Rice atacheza LCM

Na Douglas Luiz sio elite kwa LCM kuliko Rice

Simple tu Luiz akija ili uwatumie wote na Rice ,itakubidi umtumie Rice as LCM

Kitu Kama hiki hakihitaji akili nyingi kujua
Hamis anasema Luiz hawezi kucheza LCM wakiwa pamoja na Rice, sisi waga tunawakumbusha.
 
Arsenal ndio most fearless team ulaya ukibisha bisha

Ndio inaongoza kupakiwa Basi

Lakini ina backline ngumu kuifungua

Haya Ni magoli manne jinsi Arsenal alivyofungwa mech zilizopita



Three dodgy calls not over turned by VAR.

Fluke cross

Generous penalty

Horrible mistake by Jorginho gifting a goal

Kwa Sasa ukifanikiwa kutengeneza XG vs Arsenal ya 1.0 wewe mwanaume

Hapo Kuna injuries za key players hawapo

Martin Ødegaard
Partey
Timber
Smith Rowe
Kenge gang (nyumbu & vyura fc) hawatakuelewa
 
Humu mbona zimetawala habari za transfers vipi kwani january tayarii ?

Wakati june inaingia kwenye thread ya man city au habari kwa ujumla ilikuwa jinsi gani grealish analewa siku 3 mfululizo kwa furaha ya ubingwa wa EPL, FA CUP na UEFA wala kulikua hakuna tetesi sijuii za usajili kwenye thread yao ni vile halland anamwagia champagne bernado silva .

Huku kwenye thread ya False hopers ilikua ni tetesi za usajili sijuiii rice mara kai havertz mara raya 24/7 , muda wa kushangilia ubingwa zilikua ni tetesi za usajili muda wa kutafuta ubingwa bado tu mpo na tetesi za usajili mara toney mara zubimendi mara douglas luiz .

Rice ,raya, Jorginho, timber na kubwa la maadui kai havertz mmewapata lakini bado mpo na tetesi za usajili utafikiri tushafika january , ina maana kikosi bado hakitoshi tu false hopers.

Tuko bize na kutafuta ubingwa nyie mpo bize na usajili kama hamuamini rudi june angalia picha za page za timu nyingine then uangalie na arsenal au thread za humu ndani tu
Kwani mkuu una tatizo gan mbna unaonekana unaichukia sana arsenal kuna sehemu imekukosea nin?
 
mpira wa sasa sio about numbers au positions za wachezaji bali ni majukumu
yapi wanayoyafanya uwanjani kulingana
na namna timu inataka icheze dhidi ya mpinzani.

kwa namna arsenal inavocheza ;ni ngumu sana luiz kufanya majukumu ya rice mana inatakiwa ku cover distance kubwa zaidi uwanjani na uwe mzuri zaid kiukabaji.

so.. kama utataka wote waanze.. itabidi luiz agewe kipande kidogo cha uwanja na asiwe anapanda sana juu bali awe anacheza zaidi na beki wawili wa kati.. ila rice anabaki kama anavocheza saivi.. zile panda shuka na kuja kukaba wakti timu inashambuliwa.
 
Nyie kondoo punguzeni kulialia, hakuna siku VAR ilishawahi kuwafavour?, mlilalamika?
sisi hatulii tunataka consistency.. kwa nini mpira ule kwa Rushford ulihesabika umetoka na kwetu imekua goli na kingine ambacho hujui uiengereza inaongoza kwa kuwa na bookmarkers wengi wa kamari game zinakua hazina fairness...
nenda YouTube tafta zile sauti za var operators wanavyobishanaga utanielewa
 
Ila akirudi...Arteta aendelee na back 4...mambo ya kumuweka nje toto tundu Malgalhaes hatutaki kabisa...Zinny ndo aanzie nje...yle mjapani wetu atakuwa anapokezana na Benny white a.k.a Blanco....ila natamani sana Kiwior awe anapewa 90 mins hzi mechi ndogondogo kama na kina Manunu au Chelkenge
tomiyasu anazidi kuiva siku hadi siku
 
Shida ni kwamba hampendi kukubali new ideas, yani mtu akiandika tofauti na ulichoandika unahisi kama anakukosoa, no, vitu haviendi hivyo, ni elimu tu bro tunajifumza.
Na wewe hivo hivo hampend kuheshimu mawazo ya wenzenu

Mimi nimeamua kukubaliana kutokubaliana
 
inatafutwa £100m ili timu iweze kumnunua Toney next January.Four players could be sold in order to raise the needed cash:
ESR
Partey
Ramsdale
Nketiah
Source: Athletic
ESR ni asset nzuri majeraha yamemueka nje ila naamini sana kwenye ubora wake
 
Hamis anasema Luiz hawezi kucheza LCM wakiwa pamoja na Rice, sisi waga tunawakumbusha.
Sijasema hawez ,nimesema Rice Ni LCM mzuri kuliko Luiz,

Ndio maana hata Partey , Jorginho ,ukitaka uwachezeshe na Rice ,uta opt Rice acheze LCM,sababu atakupa mahitaji yote ,tofut na umeweke Jorg au Partey as LCM ,
 
Nipo katika group of death na still nina chance ya kutoboa , usilinganishe geodie fans na false hopers .

Tukienda ueropa ndo kabisa tunahesabu tayariii kombe 1 kabatini team pekee ambayo tutaenda kwa umakino ni Liverpool tu wengine tunapiga .

Halafu kwanza huko europa hatuendiii na hata tukienda ni poa tu kuliko kuwa kama nyinyi mnatoka 16 bora.
ukitana na bayern leverkusen anakuchapata nje ndani vizurii tu yanii...... sasa uyo kopehageni game ya kwanza mlichomoa penalty mkambeba onana kama lulu afu game ya pil umekufa... europa ina watu wake kule sio kinyonge
 
mpira wa sasa sio about numbers au positions za wachezaji bali ni majukumu
yapi wanayoyafanya uwanjani kulingana
na namna timu inataka icheze dhidi ya mpinzani.

kwa namna arsenal inavocheza ;ni ngumu sana luiz kufanya majukumu ya rice mana inatakiwa ku cover distance kubwa zaidi uwanjani na uwe mzuri zaid kiukabaji.

so.. kama utataka wote waanze.. itabidi luiz agewe kipande kidogo cha uwanja na asiwe anapanda sana juu bali awe anacheza zaidi na beki wawili wa kati.. ila rice anabaki kama anavocheza saivi.. zile panda shuka na kuja kukaba wakti timu inashambuliwa.
Ni Kama tunavyomtumia Jorginho Sasa

Ila nikupe habari ,Luiz ana cover eneo kubwa vzr tu Kama Partey
 
Siku hizi strikers hawafungi wanawaachia mid fielders
20231111_134444.jpg
 
️ Arteta on Havertz:

"I can tell you that I'm really pleased with the way he's performing".

“Looking at the numbers of what he's producing in front of goal, those have to be improved... but in many other areas of the pitch, what he gives to the team is really important".
20231110_131311.jpg
 
Nyie sijui mnaangalia mpira upi

Madrid ile tishio iliishia pale alipoondoka Benzema

Hii ya sasa ya kawaida ,naomba tukutane nao uone kipigo watakachopewa

Bayern ,amerud Neur wameanza ku keep Cleansheet

Madrid nataman Sana tukutane nao aisee,

Hizi Vita ndogo ndogo sana
Sharti tu ! ,Mkipewa kisago cha mbwa mwizi Msikimbie jukwaa na kuanza kutukanana humu ,maana hii ndio tabia yenu washabiki wa asenyeto

Mna kidomo domo sana ninyi , mtajileta magetoni Bernabeu ,mtaona moto
 
Back
Top Bottom