Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo fofana anaupiga mwingi au yeye ana nguvu?
Physicality na pasi zenye macho....England sasahv watu nyoronyoro watasumbuka sana...yle bwana mdogo ni mzuri sana kwny hzo aspects....Zubimendi is more of Busquets...anajua kupora mpira pasi na kusababisha faulo na pia anapiga pasi zenye macho...lakini ukiniuliza mm ntakwambia Zubimendi tyri profile yake tunaye Declan Rice...so we need Fofana the most...tutakuwa na kiungo chenye nguvu na kumiliki mpira kwa muda mwingi wa mechi hata na hzi timu kubwa
 
Mpira haukutoka hapo tumekubaliana
Offside hamna
Foul hamna

Et bruno hakutakiw kucheza mpaka dk90 ila kai haivertz alipaswa kumaliza dk 90 sio? Basi sawa tufanye mmepata draw ya kusadikika .

Karudie tena kuangalia uchambuzi wa lile goli kwa gary neville na wachambuzi wengine hakuna clear vision ya gordon kuwa offside wala gabriel kuchezewa foul , wapi PGMOL wameomba msamaha kama mlivyojiaminisha humu , Liverpool tuliona na mwaka jana kwa brentford tuliona .

Tatizo mlikuwa na false hope moyoni la unbeaten , now mna false hope la fainali UEFA. ikifika february haya yote yataonekana wazi kuwa ni false hopes . Then mtaingia kwenye false hope ya transfers .
Mwsho wa msimu utarudi kuja kushangilia kombe tutakalokuwa tumebeba na tutakukaribisha kijana wetu🤠🤠🤠...kile kiuzi cha Nyukesto mtakifunga na kupoteana Kila mtu arudi kwny asili yake...na sisi tutakukaribisha maana ONCE A GUNNER ALWAYS A GUNNER
 
Labda kama sifatilii mpira

Uzuri sidanganywi, Madrid huyu aliyetolewa ulimi nje na Sevilla ,

Kitu Cha kwanza ambacho naamini Madrid hawez ku control mechi mbele ya Arsenal

Same to barcelona

Nisiongee Sana ,tutakutana nao ,naomba Sana nikutane na Madrid

Hii Arsenal ya Sasa hasa msimu huu ukipata On target unafurahi ,

Kuna vitu vichache tu vya kufix

Hapo tunawakosa mafundi Kama

Partey Ødegaard Rowe Timber

Uzuri February watakuwa fit ,

Tatizo, ili ku- shine it is subject to availability of certain players in our team, some of them, their availability is unpredictable.
 
Kenge Gang. Humo hawakosekani Allypipi, Ollachuga, Mkohoti, Labyrinth (Huyu wa mwisho yupi huko kwa muda tu, tukibeba ubingwa atarudi)

Ubingwa upi kaka? yaani unawaza ubingwa kwa Arsenal, hivi kweli kuna watu hii dunia wanaamini arsenal atabeba ubingwa kweli?
Kumbukumbu zinatuambiaje kwani?
IMG_1858.jpg

Hii ilikua last year game 19 tayariiii
 
Mwsho wa msimu utarudi kuja kushangilia kombe tutakalokuwa tumebeba na tutakukaribisha kijana wetu...kile kiuzi cha Nyukesto mtakifunga na kupoteana Kila mtu arudi kwny asili yake...na sisi tutakukaribisha maana ONCE A GUNNER ALWAYS A GUNNER

Kombe gani mkuu mbona unafanya ivi ? tafadhali acha kuwa na false hope ya namna hii nyinyi this year ni kama last year hamtachukua kombe lolote na wala hamtafika fainali yoyote ile.
Ni swala la muda tu kama ilivyokuwa unasubiri maumivu ya Newcastle yaani tumewavuruga sana mpaka saivi zikilitwa takwimu za previous matches mnatolea za home tu maana mnajua away mlikula chuma kimoja cha kijana wetu ollie gordon .
 
Kombe gani mkuu mbona unafanya ivi ? tafadhali acha kuwa na false hope ya namna hii nyinyi this year ni kama last year hamtachukua kombe lolote na wala hamtafika fainali yoyote ile.
Ni swala la muda tu kama ilivyokuwa unasubiri maumivu ya Newcastle yaani tumewavuruga sana mpaka saivi zikilitwa takwimu za previous matches mnatolea za home tu maana mnajua away mlikula chuma kimoja cha kijana wetu ollie gordon .
Furahi tu kwamba recently tunaongea kuhusu kupambania ubingwa na hata kuuchukua. Juzi juzi tu hapa hata kuingia europa ilikuwa shida. wacha tuenjoy na jiunge nasi tupooze koo
 
Furahi tu kwamba recently tunaongea kuhusu kupambania ubingwa na hata kuuchukua. Juzi juzi tu hapa hata kuingia europa ilikuwa shida. wacha tuenjoy na jiunge nasi tupooze koo

ndo furaha pekee mtakayokuwa nayo msimu mzima ndo kitu mnachoweza kujitengenezea false hope (sifa kubwa ya false hope lazima iletee furaha lakini at the end ni huzuni , ugomvi , laiti na inge zinakuwa nyingi) .

Hatushangai wewe kuwa na furaha kuhusu habari za ubingwa na si ubingwa wenyewe maana wewe ni miongoni mwa false hopers.
 
Humu mbona zimetawala habari za transfers vipi kwani january tayarii ?

Wakati june inaingia kwenye thread ya man city au habari kwa ujumla ilikuwa jinsi gani grealish analewa siku 3 mfululizo kwa furaha ya ubingwa wa EPL, FA CUP na UEFA wala kulikua hakuna tetesi sijuii za usajili kwenye thread yao ni vile halland anamwagia champagne bernado silva .

Huku kwenye thread ya False hopers ilikua ni tetesi za usajili sijuiii rice mara kai havertz mara raya 24/7 , muda wa kushangilia ubingwa zilikua ni tetesi za usajili muda wa kutafuta ubingwa bado tu mpo na tetesi za usajili mara toney mara zubimendi mara douglas luiz .

Rice ,raya, Jorginho, timber na kubwa la maadui kai havertz mmewapata lakini bado mpo na tetesi za usajili utafikiri tushafika january , ina maana kikosi bado hakitoshi tu false hopers.

Tuko bize na kutafuta ubingwa nyie mpo bize na usajili kama hamuamini rudi june angalia picha za page za timu nyingine then uangalie na arsenal au thread za humu ndani tu
 
Labda kama sifatilii mpira

Uzuri sidanganywi, Madrid huyu aliyetolewa ulimi nje na Sevilla ,

Kitu Cha kwanza ambacho naamini Madrid hawez ku control mechi mbele ya Arsenal

Same to barcelona

Nisiongee Sana ,tutakutana nao ,naomba Sana nikutane na Madrid

Hii Arsenal ya Sasa hasa msimu huu ukipata On target unafurahi ,

Kuna vitu vichache tu vya kufix

Hapo tunawakosa mafundi Kama

Partey Ødegaard Rowe Timber

Uzuri February watakuwa fit ,
Hamis unavuka mipaka mzee, kweli Madrid hawezi ku control mchezo mbele yetu ndani ya UCL?

Tunaweza Ku win possession lkn haimanishi Real hawezi ku control mechi, Real Madrid is built to control each game state( chaos) in this competion ( Tactical intent + individual quality), sisi kinachotupa kiburi ni kwamba tuna kocha mzuri lakini haimaanishi tunaweza ku dominate mechi tutakavyo, have some respect bro.
 

Mpaka hapa kama kuna false hoper bado anabisha lile si goal basi tutawapa point 1 .

Halafu incident ya kwanza kabisa ni ya kai havertz so technically kama angepewa red card game ingekuwa imeishaa pale pale na hata hio incident ya bruno isingetokea .

Ila tuliwapigia pira la kibabe sana false hopers yaani baada ya havetz kucheza ile rafu tukaanza kupiga pira la kiume haswa , sasa watoto wadogo wakina martineli na saka wakaingia mafichoni mwa trippier na livarmento.

Eddie howe kashasema lile ndo pira lililotakiwa kupigwa na ana furaha tele kwa pira lile .

Arteta yeye kabaki analalamika tena inabidi baada ya hii review akakae jukwaani kule wamle ban hata ya match 2 au mnasemaje false hopers review ndo hio imetoka au bado mnabisha tu.
 
Mpaka hapa kama kuna false hoper bado anabisha lile si goal basi tutawapa point 1 .

Halafu incident ya kwanza kabisa ni ya kai havertz so technically kama angepewa red card game ingekuwa imeishaa pale pale na hata hio incident ya bruno isingetokea .

Ila tuliwapigia pira la kibabe sana false hopers yaani baada ya havetz kucheza ile rafu tukaanza kupiga pira la kiume haswa , sasa watoto wadogo wakina martineli na saka wakaingia mafichoni mwa trippier na livarmento.

Eddie howe kashasema lile ndo pira lililotakiwa kupigwa na ana furaha tele kwa pira lile .

Arteta yeye kabaki analalamika tena inabidi baada ya hii review akakae jukwaani kule wamle ban hata ya match 2 au mnasemaje false hopers review ndo hio imetoka au bado mnabisha tu.
Sitakiwi kukukumbusha kitakachotokea.

Nimeshabikia mpira kwa muda mkubwa kiasi najua classic signs za timu inayoenda omega, yenye homa ya vipindi na mid table team.

Nilivyosema nyukesto ni westham yenye pesa I meant it
 
Sitakiwi kukukumbusha kitakachotokea.

Nimeshabikia mpira kwa muda mkubwa kiasi najua classic signs za timu inayoenda omega, yenye homa ya vipindi na mid table team.

Nilivyosema nyukesto ni westham yenye pesa I meant it

Newcastle ni westham yenye pesa kwa kuangalia muktadha upi ? Hizi game ulizokutana nazo ama?

Recently umecheza na hao westham na Newcastle kwani matokeo yalikuaje ?

Team inayoenda omega ndo imekufunga sasa sijui wewe utakuwa nani kama sio mwenda tezi na omo bora kuwa na homa ya vipindi kuliko kuwa na false hopes . Unaposema midtable team una maana gani mzee maana navyojua huko mid table hatupo toka mwaka jana na mpaka sasa.

Yote kwa yote
IMG_1899.jpg

Hii picha ilipigwa after the game against Arsenal na itapigwa tena pale emirates au unabisha tena kama mwanzo kabla ya game?
 
Back
Top Bottom