Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah!! Kummke walai kai 😂🤣😂😂 dk 2 nyuma kachoma.
Dk mbili mbele kapasiwa ndani ya box anazuia mpira kama mlevi, utafikiri ni mtu wa miaka 50+ kuwa mwili umechoka.
 
Wapinzani nawaambia safari hii ni bora ugongwe na gari kuliko kukutana na Arsenal!😁
 
Back
Top Bottom