Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 563
- 856
Tuongeze GoalExpected goal ni 0.00
Hawa sevila wanaweza wasirudi uwanjaniView attachment 2808274
Goal moja sio uhakika
Tuongeze GoalExpected goal ni 0.00
Hawa sevila wanaweza wasirudi uwanjaniView attachment 2808274
Hiyo yote kwavile hampo uefa? Kakae kwa nyumbuMabundi tumeweka kambi hapa siku ya leo, tupo na nyie mpk siku inaisha.View attachment 2807869
Kipindi Cha pili zipo 3 Kama wakicheza kwa nidhamuTuongeze Goal
Goal moja sio uhakika
Tumemaliza kazi mkuu...kawatoeni uwanjani Sevilla hawataki kuondoka🤠🤠🤠Hatutaki lawama badae kw VAR, Jorgihno wala Lord KAI. hao ndio ng'ombe wenu wa kafara.
Wamepata moja dk ya 97Hawa lazima warudi na 0 Shots OFF na ON TargetMaanainaa
Zero Shots Off/On Target kulaaalekiHawa lazima warudi na 0 Shots OFF na ON TargetMaanainaa