Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta claims Kai Havertz has probably been Arsenal’s best player over the last three games against West Ham, Newcastle United and Sevilla.

The German looks to finally be finding his feet in North London. #afcView attachment 2809561
Kama kweli hii ni mentality ya kocha wetu
Tumekwishaaaa

Ivi Pep anawezaje kuwa na quality player almost kikosi kizima???
 
Kama kweli hii ni mentality ya kocha wetu
Tumekwishaaaa

Ivi Pep anawezaje kuwa na quality player almost kikosi kizima???
Taaluma za watu ziheshimiwe

Tukikupa hata Majimaji unaweza kuifundisha hata mechi moja ikapata matokeo?

Je unaweza hata ku profile mchezaji ?

Tuheshimu taaluma za watu

Kama mchezaji humpemdi kausha
 
William Saliba hasn't been booked in the last 41 games for club and Country.

For a CB that's an insane stat
Definition of Generational Talent
20231111_135130.jpg
 
️ Arteta on Havertz:

"I can tell you that I'm really pleased with the way he's performing".

“Looking at the numbers of what he's producing in front of goal, those have to be improved... but in many other areas of the pitch, what he gives to the team is really important".View attachment 2810492

Nope, I guess Arteta is better than his hypothesis on Kai
 
Hamis unavyoipamba hii timu, inabidi ikitokea ajira ya uhamasishaji tufanye namna.
Yani kama Arsenal ina UEFA 7 kabatini.
Jamaa anafaa sana kuwa semaji la chama, yaani Masingeli misifa na mifalse hopes anayoitoa humu utafikiri Arsenyau ni timu ya maana yenye makombe kadhaa ya Uefa na Epl, Maskini ya Mungu kumbe timu yenyewe ni kwangu pakavu nitilie mchuzi.
Misifa yote anayoiweka humu ila Masingeli shida yake mwisho wa msimu hua analikimbia jukwaa na kuwaachia wenzie msala
 
Taaluma za watu ziheshimiwe

Tukikupa hata Majimaji unaweza kuifundisha hata mechi moja ikapata matokeo?

Je unaweza hata ku profile mchezaji ?

Tuheshimu taaluma za watu

Kama mchezaji humpemdi kausha
Masingeli banaaa yaani anawaziba midomo arsenyau wenzie wasithubutu hata kidogo kuhoji mapungufu ya wazi ya Arteta.
Humu ukitaka kuhoji kuhusu kocha Masingeli anataka uonyeshe kwanza timu ya kanisa unayoifundisha ndio uhoji.
Masingeli punguza udikteta banaaa hili ni jukwaa la burudani hebu waachie na wenzio wapumue basi, yaani shabiki wa Arsenyo humu kabla ya kuhoji hua kwanza anamfikiria Masingeli na Co-wokers jinsi watakavyo mshambulia.
 
Jamaa anafaa sana kuwa semaji la chama, yaani Masingeli misifa na mifalse hopes anayoitoa humu utafikiri Arsenyau ni timu ya maana yenye makombe kadhaa ya Uefa na Epl, Maskini ya Mungu kumbe timu yenyewe ni kwangu pakavu nitilie mchuzi.
Misifa yote anayoiweka humu ila Masingeli shida yake mwisho wa msimu hua analikimbia jukwaa na kuwaachia wenzie msala
Yaani anavyoiongelea hii asenyeto as if ni the galactico flani hivi
Kumbe kikundi cha wachoma mkaa flani porini sikonge huko
 
Kilichomshinda last season Nini Hadi anakula 4-0 na total dominance Ni Nini


Msiishi kwa mazoea Sana , Ubora wa Madrid , Barcelona ,Bayern umepungua sana

Bora Bayern waliwahi mapema wakasajili a World class CF Harry Kane na Neur karudi ,Sasa hata Cleansheet wanapata
Bayern, Barca na Madrid wana majina makubwa CL.

Bayern na Madrid wanaweza wakakusurprise CL.

Barca kapotea kabisa CL.

Bayern wameanza kushinda bila clean sheet mara nyingi kuanzia msimu mmoja nyuma. Best LB wao wanamuuza, he is young na tunakumbuka alivyoifanya Barca.

Bayern namna yao ya kusajili imewafikisha hapo walipo.

Madrid kwa sasa akicheza na Arsenal halafu Arsenal akipaki basi nitashangaa. Wana mid nzuri ya Camavinga na Bellingham, wana talents nzuri ila hawana ST, Vini sifa zimemzidia, Tchouamen namuona siyo wa kutishia amani kiasi hicho.

Barca wote tumemshuhudia crisis yake.

Bayern na Madrid kwa zilipofikia zinaweza kufungwa na yeyote. Kwa Arsenal ya sasa sioni kwanini nione tunatakiwa kuhofia kukutana nazo, they have big names kwenye CL ila naamini Arsenal ana chance against them
 
Taaluma za watu ziheshimiwe

Tukikupa hata Majimaji unaweza kuifundisha hata mechi moja ikapata matokeo?

Je unaweza hata ku profile mchezaji ?

Tuheshimu taaluma za watu

Kama mchezaji humpemdi kausha
Bro mpira mchezo wa wazi
lets wait and see
 
Kama kweli hii ni mentality ya kocha wetu
Tumekwishaaaa

Ivi Pep anawezaje kuwa na quality player almost kikosi kizima???
Kaka kocha anatengeneza confidence ya mchezaji hapo.

Kwani unadhani akiwa anamiss open chance au anapoteza mipira hamuoni?

Au anavyofanya upande wake usiwe lethal haoni?

Mfano juzi kocha wa nyukesto angesema timu yangu ni ya hovyo imeshambulia mara 2 mechi nzima ila ni vyema tumepata points 3 wachezaji wake wangejisikiaje?

Muangalie Erik alivyomuongelea Sancho, Ronaldo, De Gea na walipofikia
 
Watu wanashindwa kuelewa. Hizi takwimu za Opta hazipangwi na mtu au kikundi cha watu, ni AI ndio inahusika.

Sasa ukimwambia shabiki wa nyumbu kuwa Arsenal ni miongoni mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kuchukua UEFA, wanakasirika!
 
Kenge gang msipotutukana Sasa hivi hapo baadae mtaona Wana gunners Kama tunajisifu Sana

Burnley anapigwa mkono leo
Kampany katengeneza timu ya kupenda kuuchezea mpira
Na akijiroga kutaka kupishana atakufa nyingi
 
Bayern, Barca na Madrid wana majina makubwa CL.

Bayern na Madrid wanaweza wakakusurprise CL.

Barca kapotea kabisa CL.

Bayern wameanza kushinda bila clean sheet mara nyingi kuanzia msimu mmoja nyuma. Best LB wao wanamuuza, he is young na tunakumbuka alivyoifanya Barca.

Bayern namna yao ya kusajili imewafikisha hapo walipo.

Madrid kwa sasa akicheza na Arsenal halafu Arsenal akipaki basi nitashangaa. Wana mid nzuri ya Camavinga na Bellingham, wana talents nzuri ila hawana ST, Vini sifa zimemzidia, Tchouamen namuona siyo wa kutishia amani kiasi hicho.

Barca wote tumemshuhudia crisis yake.

Bayern na Madrid kwa zilipofikia zinaweza kufungwa na yeyote. Kwa Arsenal ya sasa sioni kwanini nione tunatakiwa kuhofia kukutana nazo, they have big names kwenye CL ila naamini Arsenal ana chance against them
Wewe umenielewa

Na unazifatilia hizo timu vzr na ndicho ninachozungumza humu kila siku

Tatizo watu hawafatilii timu nyingine wanakaa kupiga kelele


Madrid msimu huu game nyingi tu anapakishwa Basi kwa vipind tofauti

Muamuzi wa mechi amekuwa Jude Bellingham
 
Kaka kocha anatengeneza confidence ya mchezaji hapo.

Kwani unadhani akiwa anamiss open chance au anapoteza mipira hamuoni?

Au anavyofanya upande wake usiwe lethal haoni?

Mfano juzi kocha wa nyukesto angesema timu yangu ni ya hovyo imeshambulia mara 2 mechi nzima ila ni vyema tumepata points 3 wachezaji wake wangejisikiaje?

Muangalie Erik alivyomuongelea Sancho, Ronaldo, De Gea na walipofikia
Mbona kaweka wazi hapo kwenye attacking anatakiwa ku improve

Utakuwa kipofu Kama huoni kwasasa Kai anacheza Roles ya Ødegaard na anaitendea haki

Na kwasasa naweza kusema tumepata angalau Mtu wakucheza nafasi ya Øde pale anapokuwa hayupo

RCM Ni nafasi ambayo Kai anaiweza kuliko nafasi zote anazotumika

Ndio maana kocha kasema vs Newcastle ,n.k alifanya vzr

Tatizo mnataka kumuhukumu kwa magoli ,Lakini Soma alichosema kocha hapo umuhimu wake maeneo mengine

Confidence,Kai alishaipata ,

Tumeona alipokuwa anakosekana Øde ,alikuwa akicheza Vieira hafit angalau Smith Rowe, Lakini Kai anacheza Sasa mechi ya 4 hii as RCM,
 
Watu wanashindwa kuelewa. Hizi takwimu za Opta hazipangwi na mtu au kikundi cha watu, ni AI ndio inahusika.

Sasa ukimwambia shabiki wa nyumbu kuwa Arsenal ni miongoni mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kuchukua UEFA, wanakasirika!
Wanachukia kabisa ,

Wakati ukweli hizo timu nyingine Kama Barca ,Bayern na Madrid , sio zile za miaka mitatu minne nyuma
 
Kaka kocha anatengeneza confidence ya mchezaji hapo.

Kwani unadhani akiwa anamiss open chance au anapoteza mipira hamuoni?

Au anavyofanya upande wake usiwe lethal haoni?

Mfano juzi kocha wa nyukesto angesema timu yangu ni ya hovyo imeshambulia mara 2 mechi nzima ila ni vyema tumepata points 3 wachezaji wake wangejisikiaje?

Muangalie Erik alivyomuongelea Sancho, Ronaldo, De Gea na walipofikia
Ukisema hivyo nakubali 100%
 
Bayern, Barca na Madrid wana majina makubwa CL.

Bayern na Madrid wanaweza wakakusurprise CL.

Barca kapotea kabisa CL.

Bayern wameanza kushinda bila clean sheet mara nyingi kuanzia msimu mmoja nyuma. Best LB wao wanamuuza, he is young na tunakumbuka alivyoifanya Barca.

Bayern namna yao ya kusajili imewafikisha hapo walipo.

Madrid kwa sasa akicheza na Arsenal halafu Arsenal akipaki basi nitashangaa. Wana mid nzuri ya Camavinga na Bellingham, wana talents nzuri ila hawana ST, Vini sifa zimemzidia, Tchouamen namuona siyo wa kutishia amani kiasi hicho.

Barca wote tumemshuhudia crisis yake.

Bayern na Madrid kwa zilipofikia zinaweza kufungwa na yeyote. Kwa Arsenal ya sasa sioni kwanini nione tunatakiwa kuhofia kukutana nazo, they have big names kwenye CL ila naamini Arsenal ana chance against them
Arsenal hawezi kupaki Basi kwa yeyote hapo ,

Bayern alishtuka mapema kumleta Kane na Neur karudi sitaki kukutana nao mapema ,japo wanafungika vzr Sana ,


Madrid huyu namuomba aisee


Barcelona sihitaji kumzungumzia ,

Uzuri February

Mashine zitakuwa zimerudi
 
pelekeni UCHOKO wako huko na CHOKO mwenzio HAMIS77,kazi kudanganya watu humu MACHOKO nyinyi,pelekeni UCHOKO wenu huko MASHOGA ninyi,wadanganyeni MACHOKO wenzenu huko na sio kwenye Jukwaa hili

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Haujajibu swali mkuu
Dadamlamayo lakini muandiko wa kiume. Nijue napangua hoja za jinsia gani
 
Back
Top Bottom