Hakuna sehemu nimesema tunachukua UCL , mbona mnakurupukaga hivo
Toka hata makundi hayajapangwa ,nimekuwa nikisema group letu tutamaliza na ponits 15-18
But Kama tutafuzu na kuongoza mapema kundi tunàweza maliza na 12-15
Nikasema mwaka huu tunacheza Wembley sababu Timu nyingi UCL hazina ubora huo ,nikatoa na mifano dhahiri kabisa
Nikasema kwa UCL anayeonekana msumbufu kwa timu yetu Labda mancity ambaye tumecheza nae dakika 180 amepata shots on target 1
Nikasema Nusu fainal uhakika ,ili kucheza fainal tunahitaji ongezeko la viungo tu ,hasa Partey awepo na Timber ,
Siku kadhaa mbele ,Opta ,na makampuni makubwa ya takwimu yakasema Arsenal Ni timu ya 4 inayopewa nafasi kubeba UCL
Tena Madrid na Bayern wanakaa juu ya Arsenal sababu tu ya uzoefu Lakini sio kwamba wanaizid Arsenal Quality
Na ndio uhalisia ambao niliuona
Kwa Sasa sio Siri kupata On target kwa Arsenal ufanye kazi haswa au usubiri VAR ikusaidie
Hapo naongea hayo tuna injury Kama 5 za first team
Ndicho makampuni makubwa ya kukusanya takwimu, Simulation computer ,n.k yakaja kuthibitisha kile nilichokisema
View attachment 2809673