arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Kwhyo alianza mashindano kwa target ya kwnda Ueropa🤠🤠...ushabiki mbaya sana...wacha nikupe hii...kuna timu mbili za England mechi zijazo zitafuzu kwnda hatua ya 16 Bora....alaf kuna hzo timu mbili nyingine Sasa...kuna kamoja kataenda Ueropa halafu kuna kamoja katatupa taulo kabisaa yaani hakatotaka tabu....malizieni ni kina nani haoKaka sevila anatafuta nafasi ya yuropa 😆😆😆 yule asenali wasijisifu sanaaaaa kwa ushindi ule,
Arteta, 16 bora asipobadilika sidhani kama atatoboa kuna uwezekano mkubwa akatema bungo😆😆😆 na akipenya hapo robo fainali kituo bayern/barcelona/real madrid/atletico 😆😆😆

#COYG #ARSENAL
