Unaongelea consistency mbele ya Newcastle na unaifananisha na westbrom kweli ? Hio case study mbona ya magumashi kiasi icho.
Ngoja nikufundishe kidogo hapa kwenye 10 last game za Newcastle ni hizi
1:Newcastle vs man city 1:0

2:Newcastle vs burnley 2:0

3:Newcastle vs PSG 4:1

4:westham vs Newcastle 2:2

5:Newcastle vs crystal 4:0

6:Newcastle vs Dortmund 0:1

7:wolves vs Newcastle 2:2

8:man utd vs Newcastle 0:3

9:Newcastle vs Arsenal 1:0
10: Dortmund vs Newcastle 2:0
Twende kwa Arsenal
1:Brentford vs Arsenal 0:1

2:Bournemouth vs Arsenal 0:4

3:Lens vs Arsenal 2:1

4:Arsenal vs man city 1:0

5:chelsea vs Arsenal 2:2

6:sevilla vs Arsenal 1:2

7:Arsenal vs Sheffield 5:0

8:westham vs Arsenal 3:1

9:Newcastle vs Arsenal 1:0

10: Arsenal vs sevila 2:0
Katika game 10 ume loss game 3 na Newcastle 2 sasa hizo midteam zilizomfunga Newcastle ni zipi?