Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The last four Premier League goals Arsenal have conceded.

Three dodgy calls not over turned by VAR.

Fluke cross

Generous penalty

Horrible mistake by Jorginho gifting a goal
 
Kuna jamaa wanaongea kishenzi mpka wanakera,,sisi arsenal wa kawaida sana iyo hype sasa.....nketiah,harvertz cjui jesus...mziki na madrid dah,,,,,anyway lbda sababu mpira unadunda
Madrid ana mziki gani aisee

Madrid kwasasa Ni timu ya kawaida ,sijakulazimisha uniamini ila muda Ni rafiki

Vita ndogo ndogo hizi huwa nashinda ,najiamini ninachokisema
 
Madrid ana mziki gani aisee

Madrid kwasasa Ni timu ya kawaida ,sijakulazimisha uniamini ila muda Ni rafiki

Vita ndogo ndogo hizi huwa nashinda ,najiamini ninachokisema
Odegaard bdo yupo Wodini au na Nketiah naye vp....wanataka kuanza kula mishahara ya bure hawa watu
 
Humu humu watu walishaipa Spurs u title contender

After G15 ,Spurs atakuwa na kina Astonvilla wanagombea top 4
 
Hamis na genge lake anakwambia Madrid mdebwedo Tu
Nyie sijui mnaangalia mpira upi

Madrid ile tishio iliishia pale alipoondoka Benzema

Hii ya sasa ya kawaida ,naomba tukutane nao uone kipigo watakachopewa

Bayern ,amerud Neur wameanza ku keep Cleansheet

Madrid nataman Sana tukutane nao aisee,

Hizi Vita ndogo ndogo sana
 
Kuna mechi vs Braga kaangalie hiyo mechi

Ujue wengi mnatembea na jina tu Kama Barcelona

Braga alimdominate Madrid sehemu kubwa ya mchezo kabla Belligham hajafunga

Hata mechi na Barcelona ,the same

Halafu wanaruhusu Sana magoli

Angalau Bayern Munich ,Neur karejea ,wameanza kupata hata cleansheet
Ndo maana nikasema Madrid imeundwa ku control chaos, na ndio maana ni mabingwa wa kihistoria UCL, yani cheza unavyocheza ila matokeo lazima yawe upande wao. Control sio possession tu bro, tena kwenye knockout anayepita ni yule anayecontrol hali yoyote ya mchezo bila kuangalia umiliki wa mpira, sasa unahisi Madrid hii hawawezi ku control game state dhidi yetu?
 
Odegaard bdo yupo Wodini au na Nketiah naye vp....wanataka kuanza kula mishahara ya bure hawa watu
Martin Odegaard's absence and, before that, fitness struggles have impacted Arsenal's attack. Unlikely to play today, but full belief he will be back post international break. Issue picked up in training last Friday unrelated to hip injury.

Nketiah kapona
 
Ndo maana nikasema Madrid imeundwa ku control chaos, na ndio maana ni mabingwa wa kihistoria UCL, yani cheza unavyocheza ila matokeo lazima yawe upande wao. Control sio possession tu bro, tena kwenye knockout anayepita ni yule anayecontrol hali yoyote ya mchezo bila kuangalia umiliki wa mpira, sasa unahisi Madrid hii hawawezi ku control game state dhidi yetu?
Mwaka Jana ilikuwaje akala chuma 4 kwa City ?

Nilibishana na watu humu walikuwa wanasema hayo hayo maneno ,

Ukiwa Bora utabondwa tu

Madrid sio mbaya Lakini sio timu ikikutana na Arsenal hii ita control mech ,never

Madrid ile tishio ishaondoka ,sijui kwanini hamuelewi hata Hili

Ndio maana hata laliga kule haongozi ligi

Kacheza na Braga juzi hapa muda mwingi Braga alikuwa anawa control Madrid ,kaiangalie hiyo mechi
 
Ndo maana nikasema Madrid imeundwa ku control chaos, na ndio maana ni mabingwa wa kihistoria UCL, yani cheza unavyocheza ila matokeo lazima yawe upande wao. Control sio possession tu bro, tena kwenye knockout anayepita ni yule anayecontrol hali yoyote ya mchezo bila kuangalia umiliki wa mpira, sasa unahisi Madrid hii hawawezi ku control game state dhidi yetu?
Kilichomshinda last season Nini Hadi anakula 4-0 na total dominance Ni Nini


Msiishi kwa mazoea Sana , Ubora wa Madrid , Barcelona ,Bayern umepungua sana

Bora Bayern waliwahi mapema wakasajili a World class CF Harry Kane na Neur karudi ,Sasa hata Cleansheet wanapata
 
Arsenal ndio most fearless team ulaya ukibisha bisha

Ndio inaongoza kupakiwa Basi

Lakini ina backline ngumu kuifungua

Haya Ni magoli manne jinsi Arsenal alivyofungwa mech zilizopita



Three dodgy calls not over turned by VAR.

Fluke cross

Generous penalty

Horrible mistake by Jorginho gifting a goal

Kwa Sasa ukifanikiwa kutengeneza XG vs Arsenal ya 1.0 wewe mwanaume

Hapo Kuna injuries za key players hawapo

Martin Ødegaard
Partey
Timber
Smith Rowe
 
After GW15-19

Spurs atakuwa anagombea nafasi ya Kuingia top 4

Nilipoona anacheza na Liverpool wamebaki wachezaji 11vs9 na wanashindwa kuwafungua

Nilihitimisha Hawa sio title contender material
 
After international break kutakuwa na mechi Mancity vs Liverpool


Ndio muda muafaka wakukaa pale juu Lakini ,

Kesho Chelsea vs Mancity

Chelsea abondwe washakuwa na mdomo wakati timu Lao limepitwa Hadi manjesta
 
Hamis unavyoipamba hii timu, inabidi ikitokea ajira ya uhamasishaji tufanye namna.
Yani kama Arsenal ina UEFA 7 kabatini.
 
Mashabiki wa manjesta wanamuona Kama Anthony masebene
20231109_164641.jpg
 
Hamis unavyoipamba hii timu, inabidi ikitokea ajira ya uhamasishaji tufanye namna.
Yani kama Arsenal ina UEFA 7 kabatini.
Naipamba au naweka fact? Why usipingane na mm kwa fact?

Kwahiyo unataka nikae hapa niungane na mamluki kutukana na kukejeri timu

Kwanini wewe usichukue jukumu la kuponda timu

Kila mtu afanye wajibu wake

Yaani nikae hapa niponde timu bila fact?
 
Kwanini kishindikane ,mbona Rice kila siku Arsenal anacheza LCM na DM ,Ni kocha anaamua Leo zima DM kesho zima LCM

Luiz anacheza Lone DM vzr Sana ,

Rice Ni long term DM ,but sitashangaa akija Luiz au Zubimendi ,bado akaendelea kucheza LCM maana anatoa A+

Luiz hawez kuzima LCM kwa ufasaha Kama Rice

Partey akiwa fit ,Rice anacheza LCM
Successor wa Partey Ni Luiz

Kinachofanya Rice acheze LCM Ni moja ya wachezaji wachache duniani anakupa A performance kwenye DM na LCM

hata umpeleke pale mancity itakulazimu umtumie Kama LCM ,

Rice anasema

“I think my best position is probably as a number 6. As a number 8 I do get a bit excited. My biggest strength is breaking up the play and taking the ball from deep. I do get excited when I play number 8 though. I get to show the other side of my game. I didn't stop running tonight(Vs Sevilla)!”

[TNT via BBC
Hesabu za hapo ni ndogo sana, Luiz hawezi kucheza lone #6 akamzidi Rice, elite #6 ni wachache kuliko #8, yani kumtumia Rice kama #8 wakati ana potential ya kuwa the best #6 itw ni kitu hakimake sense.

City walitaka kumtumia kama #8 coz wana Rodrigo, na rice ni generational ambaye angeweza kuziba gap la De bruyne akiwa injury km Sasa, lakini hata City walimuona Rice kama #6 that's why walianza na Jude kama priority baada ya Jude kwenda Real Madrid ndio majeshi yakarudi kwa Rice, na hii ni baada ya kuona ana potential ya kuwa the best #8, hii inatosha kukuonesha Rice's best position ni #6, yeye mwenyewe umemnukuu amekiri hapo, anakuwa excited kucheza #8 lakini haimaanishi ndio his best position, kinachotokea sasa ni kwamba Arsenal haina top LCM kitu ambacho kina Affect our attacking dynamics, that's why Arteta analazimika kumtumia Rice as #8, na kauli ya kusema Arsenal wanamuona anapiga A+ kama #8 ni kauli ya hovyoo, usitake kuniambia Arteta alikuwa hajui kwamba Rice anaweza kucheza #8, wakati dunia inajua wazi kabisa Pep alimtaka Rice kwa position hiyo ya #8.
 
Hamis unavyoipamba hii timu, inabidi ikitokea ajira ya uhamasishaji tufanye namna.
Yani kama Arsenal ina UEFA 7 kabatini.
Sipambi tu, yaani unataka kuifananisha arsenal na kina chelkenge au manjesta?

Hizo timu Ni mbovu

Sergio Ramos walicheza na Madrid wakatoa sare 1-1

Wakacheza na Arsenal wakala 2-1 akasema ule mziki wa Arsenal sio poa

Ila wewe upo kiembe samaki unataka kuiweka Arsenal hii ya sasa na timu Kama kina manjesta,kenge fc, huo Ni umamluki
 
Back
Top Bottom